Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Wamekazana chai afu hawa banduki. Sema inatufundisha namna binadamu walivyo wa aina mbali mbali
 
Rudia kusoma nilicho andika. Mkuu maana eeh
 
Unapenda sana kutumia maneno "kwa upande mwingine" 😁😁

Kwa upande mwingine nawaza kamanda ataweza kutulia na Iryn wakati ameshaambiwa Mary anampenda?

Huku naona Kuna chembechembe za mahaba zinataka kujitokeza kati yule Mdogo wake na Mjamzito wa Mbweni na INSIDER MAN

Kwa upande mwingine Mama J na Iryn mahusiano Yao yanachukua mwelekeo gani Kwa Sasa baada ya Mwamba kutuheshimisha Kwa Iryn?

Iryn anampenda Junior na kaondoka na picha yake, vipi kama ajenda yake ni kupata mtoto na Insider?
 
Kiaz kibichi
 

Mary kwasasa ndo wakuhofiwa, jamaa hawezi chomoka hapa. Kwa juhudi zote alizoonesha msibani, Mary anapoint 10 tayari, Master plan ni Jane. Insider hachomoki hapa.

Vicky simwofii

Asmah- kidogo

Prisca ni kama kapotea tayari

Mary ndo anakuja kuwa starring sasa.
 
So sad
 
Ukweli mchungu huu
 


Wew Ni mpumbavu Sana unatetea ujinga na utapeli kwa hoja zako dhaifu eti Hakuna hata mmoja anamjulia Hali insider wako pumbavu kbsa toka lini tumeanza kuamkia watot kisa vinaleta story hapa ,, nonsense kbsa

Shortly story hi ilipazwa kuhitimishwa August 31 sas Hadi leo ipo na haijulikani itaisha lini kwa kifupi amalize story target yakeimefeli Kam atalazimisha anaochotaka yeye

Mwambie amalize story hi haraka Sana
 

Pumbavu wewe ambaye unaleta ass yako hapa kulilia story, this time ulitakiwa uwe unapelekewa moto na boy wako unakuja kujitongozesha kwenye thread za watu.

Tafuta kitu cha kufanya sio kuja kushake ass yako kwenye thread za watu [emoji706][emoji706]
 
Kama ningekuwa mimi ndio Melo basi nyuzi kama hizi ningeweka na matangazo humu humu ndani, halafu awalipe since viewers ni wengi.
 
"kwa upande mwingine nimeingia kila sekunde humu jukwaani kuangalia mwendelezo sijafanikiwa, ila nikisoma comments nakuta watu wanapopoana,kusema ukweli nilikasirika sana muda huu"
 
Wivu tu....
 
Kuna namna Fulani Moderate wanaweza kuja na idea ya kupiga mpunga kwenye nyuzi km hizi, maana vya burebure vinakosa heshima kabisa, mtu kajitolea kuwatoa upweke afu mmnakuja kumzengua kwamba Ohoo INSIDERMAN analinga na Uzi wake.
Kwa ufupi mngejua gharama ya kuandika Uzi ni kiasi Gani mmngetulia tu.
Kungekuwa na katozo Fulani ndo usome huu Uzi basi kungekuwa na displine kiasi Fulani.
 
Kabisa aisee. Jamaa alisema mwanae anaumwa wachache wakampa pole afu majitu yamekaa na roho mbaya zao hata kuuliza kwa mhusika hata ndani ya uzi hapo hapo kuhusu maendeleo ya mwanae hawaulizi wao wanakuja na kejeli za kipuuz
Pia nilijifunza Humu jf ukiwa na ile roho laini ya upendo, care humu sio mahali pake

Pia watu wanapenda kusikia habari za kuachwa na mpenzi, kufukuzwa kazi ,unapitia maisha magumu , mademu hawakupendi hapo ndio utakua rafiki yao

Ila ukionesha wewe pisi hazikusumbui, ndoa umeiweza ni tamu, maisha yako matam aisee jiandae kusaikolojia kwa upinzani utakao kutana nao humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…