Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Rudia story bro .mpambano ulianzia kwenye kuwapikia ma dog 🐕 ya uncle
 
Rudia story bro .mpambano ulianzia kwenye kuwapikia ma dog 🐕 ya uncle
Itabidi wewe ndo urudie story mie ni Sis sio bro 😂 kaanzia kwenda na mjomba wake kwenye ishu za mabegi mbwa baadae na pia siwezi mention kila kitu.
 
Dah INSiDER MAN kaitaja Gran Meliá kanikumbusha mbali, once nililala Meliá Arusha ,hizo hotel ni balaa buffet ,rooms kila kitu automated ,lights ,shower ,TV ni balaa. I still dream about the hotel
Hotel nzuri sana hizi, nimelala kama mara 3 hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…