Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Sikia mkuu INSIDER MAN watu wengi wanaogopa kuzaa watoto wengi ksbb ya uchumi. Sasa wewe kwa Iryn mama yao uchumi umesimama. Hapo ungepiga watoto double double hata 8 mkuu wa kiume kwa wa kike,mpaka yeye mwenyewe aseme pooh. Watoto ni faraja sana. Na wana msaada sana huko mbele. Bahati kwako hawatakupa shida kila kitu kiko sawa
 
Kabisa. Asiachie kazi pale kwa Iryn kwa mawazo ya kujishusha kupata mshahara. Mshahara ni sehemu tu. Yeye asifikirie habari za mshahara,ila afikirie kuiendeleza kampuni ya mkewe Iryn.

Hata kama watafungua kampuni nyingine INSIDER MAN na Iryn bado anaweza kuendelea kuwa manager kwenye kampuni za Iryn mbona hakuna ubaya kabisa?. Mtu amemwamini na kwa namna ya story yeye ndio anaimudu vizuri kampuni. Mimi sioni sababu kwa nini aichie kampuni,inaweza kuyumba.

Jambo la pili usijaribu kwenda kumtambulisha Iryn kwenu kwa haraka namna hii,kama wengi wanavyoshauri,hata kama utaongezea nae watoto,endelea kuifanya siri kwanza. Muda mwingine mpaka hiyo siri iendelee kudumu tu. Kwani kuna haja gani ya kufanya hivyo sasa wakati maisha yanaendelea vizuri tu?. Nina uhakika ukiliweka wazi hili tu kwa mama J,fahamu lazima ukubariene na masharti kuachia kazi kwenye hiyo kampuni pia masharti kuacha kabisa mawasiriano na Iryn. Mimi nasema hata hao wachache unaowaamini wasijue kwanza hii siri kabisa. Endelea kubuy time.
 
Akaushe tu mpaka watakavyojua wenyewe,ndio ataanda utetezi. Tena utetezi wake utakuwa simple tu. Kutotaka kukuumiza mama J.
 
Ni sawa kabisa iendelee tu kuwa siri. Iendelee kuwa siri kama ilivyo kuwa mwanzo,na ikiwezekana siri tu ya kudumu. Kwani kuna shida. Kizuri zaidi Iryn anajimudu kwa kila kitu. Kitendo tu cha kuweka wazi kwa mama J maana yake akubariane na kuachana kabisa ma Iryn. Vinginevyo afanye kukaidi masharti ya mama J
 
@INSIDER MAN Fuata ushauri huu tu. Usijaribu kumvuruga mama J kabisa. Hata home usiwaambie. Iryn mfanye mchepuko wako wa siri. Wachache sana wajue. Bahati nzuri hataishi hapa Tz. Endelea kufanya siri milele,wajuage mbele mwamba
 
@INSIDER MAN Fuata ushauri huu tu. Usijaribu kumvuruga mama J kabisa. Hata home usiwaambie. Iryn mfanye mchepuko wako wa siri. Wachache sana wajue. Bahati nzuri hataishi hapa Tz. Endelea kufanya siri milele,wajuage mbele mwamba
Mzee Kwa uzoefu wetu wengine sio kinadharia nashauri amtambulishe kwao Example kwake ni Mzee Pama situation ni the same Kuna mambo haya kwepeki mama j anaweza subiri ila sio Kwa wazazi wake
 
Kabisa mkuu. Mimi nasema wasipelekwe kabisa hata kwa wazazi. Uzuri Iryn ni muelewa. Hili swala libaki siri hivi hivi liendelee kudumu katika hali ya hii ya usiri
 
Mzee Kwa uzoefu wetu wengine sio kinadharia nashauri amtambulishe kwao Example kwake ni Mzee Pama situation ni the same Kuna mambo haya kwepeki mama j anaweza subiri ila sio Kwa wazazi wake
Kumtambulisha saa hizi ni kuhatarisha mahusiano yake na mkewe. Huwezi kulinganisha umri wa mzee Pama na mkewe na umri wa Inside na mkewe. Kuna mambo mawili yanaweza kutokea kwa umri huo. Mwanamke anaweza kuchana na ndoa au mwanamke anaweza kukubariana kwa nje ili mradi tu ipite,lakini moyoni akawa sio yule wa siku zote.

Hata mapenzi hapo yatakuwa yamekwisha kimoja kwa inside. Atabaki tu hapo ksbb tu yupo kwenye ndoa. Pili anaweza kuweka masharti aache kazi pia asionane kabisa na Iryn.

Aifanye tu iwe siri kama ilivyo mpaka hapo baadae. Umri wa Pama wameshaona mengi,ni rahisi kusamehe,lakini sio umri wa Inside.
 
Nzugu Yes, Chamwino Yes, Ntyuka sipapend, ila kwa kuanzia nzuguni, ihumwa, mtumba huko ni pazuri sanaa maana ndio ulipo mji wa Serikal na maofisi yote ya kimataifa ukiangalia ramani, nitakusaidia mtu wa ardh umcheck akusaidie, na kama uko Dodoma unaweza kufika ofcn kwake utapata control namba nadhani unaweza lipia for 90 days ila huyo anaweza pia kukusaidia kwa ushauri pia
 
Huu msala nitausovu, 2033 nitakuwa na majibu tuombe uzima. [emoji120]
Mwambie Dada yako mkubwa siri yako, utakuja kunishukuru, tena umtambulishe kwa Irene utanielewa tuu maana yangu, wanajua kutetea sana hapo baadae lakn huwa faraja kwa wifi zao, yule dada yako Muhindi mtambule awajue shangazi zake,. Achana na habari za mwaka 2033 kwani una MKATABA NA MUNGU?? Ongea vzr na dada yako, na ikiwezekana awe anakwenda kumsalimia huko sauziafrika.

Sijui kama unanielewa lakni wewe Baba Ariana?
 
Mwanaume una njaa kali, huna pride, u are cheap and easy japo stori ya uongo ila inakera
 
HV hi story haijaisha jmn au Kuna muendelezo mnk naona iko live kila wakt

Any update mr insider man
 
Coco beach kwenye mihogo
 
Kwanza hii story nimetumia mwez kuimaliza ✍️✍️🙏
Pili nimejfunza mambo lukuki.. Kama kijana nimejfunza kuhandle madem pia nimejfunza mamb mengine yanayohusu tamaaa

Mambo ya kua mvumilivu
Kuwa mkwel na kuheshm vtu hata kama ni vdogo
Namengne meng ciwez kuandka yote
 

Attachments

  • FB_IMG_16995958208479932.jpg
    58.2 KB · Views: 36
Teh nilitaka nifoke episode ya mwisho siioni kumbe bidhaa ilitoka kitambo

😇😇
Tusubirie
Nilivyompata mrembo wa ajabu nikiwa masomoni marekani😃
 
Kakuelewaa shangazi Ariana
 
Sio kila kitu lazima kusema....
Iryn alijijua ni mchepuko toka mwanzo basi endelea kumficha.
Subiri hata uzeeni huko ndo uje ulipue hilo bomb,
Otherwise kuwa tayari kupoteza mmojawapo, na ukimpoteza mama J hata Irene huwezi kumfaidi sababu hakai bongo na ana mambo yake, utakua unatanga tanga tu mjini Daslam bila stability.
 
Huu sasa ndo ushauri. Mama J aheshimiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…