Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Wewe utakuwa ndo Prisca story inakera?? Umetumwa Usome?? Mastory yaliyojaa humu unasema story inakera are you crazy?????
Wote sio mashoga kama wewe so hatuwez fanana kimtizamo bibie yes mimi ni prisca nipeleke kwa babako
 
Mnaendeleaje wadau, shule imebana [emoji1544].

Mwenye swali lolote, uliza nikujibu. Karibuni.
Umesahau kufungua code ya jinsi ulivyotoka kuwa mzee wa sekunde kadhaa mpaka kuwa the best on bed....! Fungua code vijana tupate madini
 
Brother uko vizuri sana ushauri huu nimzuri kwa bwana insiderman
 

Alielezea kwamba huyo maza hakuwa na noma...
 
Kuna mambo

Mengi sana ya kujifunza ikiwa hujapata lolote wewe sio chochote yaani Ni empty mind
Yaani unaushia kusema mengi tu hutaji nimambo gani umejifunza kupitia hii story au ndio kufata mkumbo wawatu.
 
Humbleness
Fighting spirit
Self confidence
Risk taking
Essence of being a man of people
,kusema ukweli hii nisimulizi nzuri sana sibishi ila nakiri kusema labda wenye interest na biashara ya uber ndio watakua wamechukua nondo zakufa mtu hapa lkn hii ni personal life experiences tu ambapo kamwe hatuwezi kupitia wote kama insderman, never ever hata kama uki-imitate each and everything alivyosimulia hapa huwezi kua kama yy.kila mtu ananjia yak,na experiences zake,maisha ni hadithi tu(refer mzee alli hassan Mwinyi).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…