Muuu vp mweye Diploma ya Accounts?Shida ni kuwa karibu na mazingira nayofanyia kazi naona itakuwa shida. Kama niliwapa namba yangi watu na wakaanza kuni expose what do you think?.
Vitu vingi tutaongea nikimaliza Season, kwa mtu mwenye degree ya Finance/Accounting/BA kidogo na Tax, Una CPA afu huna mchongo ni DM.
Private CPA ina matter sana
Bado washindi wa Kizoka (25k).
Atakaye tabiri vzr kilicho endelea na Asmah kwa Chapter 15 atapata 50k.
Chapter 1-14 ilikuwa ni kupoteza muda. Chapter 15 story ndo inaanza na matukio yangu yataishia June 2023.
Asmah nayeye alishindwa ugwadu alokua nao mkapiga mechi so unamla asmah kimya kimya.Bado washindi wa Kizoka (25k).
Atakaye tabiri vzr kilicho endelea na Asmah kwa Chapter 15 atapata 50k.
Chapter 1-14 ilikuwa ni kupoteza muda. Chapter 15 story ndo inaanza na matukio yangu yataishia June 2023.
Naomba Nichek pm, pm yako imefungwa chiefShida ni kuwa karibu na mazingira nayofanyia kazi naona itakuwa shida. Kama niliwapa namba yangi watu na wakaanza kuni expose what do you think?.
Vitu vingi tutaongea nikimaliza Season, kwa mtu mwenye degree ya Finance/Accounting/BA kidogo na Tax, Una CPA afu huna mchongo ni DM.
Private CPA ina matter sana
Asmah ataingia ligi na Hilda yani watagombana au kununiana kisa wewe Asmah naye atataka umpeleke Zanzibar ili mkaenjoy!Bado washindi wa Kizoka (25k).
Atakaye tabiri vzr kilicho endelea na Asmah kwa Chapter 15 atapata 50k.
Chapter 1-14 ilikuwa ni kupoteza muda. Chapter 15 story ndo inaanza na matukio yangu yataishia June 2023.
Nami nakuja kuomba namba za Mary, bila shaka hauna wivu... Au mdogo wake JanePM iko open, kama una sifa tajwa hapo juu nitumie CV asap. Huko PM kuweni serious, ndomana nimeacha kuzisoma, unakuta mesage zote ni ujinga tu. Mtu anaomba picha ya Iryn mara mtu anaomba namba ya Prisca, mara Asmah, kuna wengine hata siwajui wananitukana huko DM πππΏ. How come unamtukana mtu hata humjui na haja kukosea kitu?.
Nina dada yangu, hayupo JF amehitim last year account.PM iko open, kama una sifa tajwa hapo juu nitumie CV asap. Huko PM kuweni serious, ndomana nimeacha kuzisoma, unakuta mesage zote ni ujinga tu. Mtu anaomba picha ya Iryn mara mtu anaomba namba ya Prisca, mara Asmah, kuna wengine hata siwajui wananitukana huko DM πππΏ. How come unamtukana mtu hata humjui na haja kukosea kitu?.
Asante G wangu πToka nile pilau kabul sijawahi kuona pilau nyingine ni tamu.
Napenda ubunifu wako kwenye mapishi. Uko vizuri sana.
Shangazi huyooo mlete mpenzi wako ashonewe halafu Ijumaa unaagiza Biryan au Kabul Pulao ππ€£Ni lishangazi lenye rangi yake eenh?? Em siku ukijipost unitag na mimi,hakika ntaagizia jipilau Kabul ofisi nzima mpaka mlinziππ
He! Pole sanaShida ni kuwa karibu na mazingira nayofanyia kazi naona itakuwa shida. Kama niliwapa namba yangi watu na wakaanza kuni expose what do you think?.
Vitu vingi tutaongea nikimaliza Season, kwa mtu mwenye degree ya Finance/Accounting/BA kidogo na Tax, Una CPA afu huna mchongo ni DM.
Private CPA ina matter sana
Shangazi umeenda shule, yaani umenyooka.. ningekuwa Bongo, ningekutafuta mahali ulipo.Shangazi huyooo mlete mpenzi wako ashonewe halafu Ijumaa unaagiza Biryan au Kabul Pulao ππ€£
#Inafutwa
Nimekujibu PMSister ulisema upo maeneo gani?
Asante Mjomba π ukija nitafute uniungishe Biryani halafu mpenzi wako ashone nguo na biashara 2 chakula kama part time job kila ijumaa fashion designer ndo mishe zangu za siku zote.Shangazi umeenda shule, yaani umenyooka.. ningekuwa Bongo, ningekutafuta mahali ulipo.
TUmekutana eeh... Interest sawa....Nami ndo kilichonikuta
Bado tunahitaji kuwa anonymous wewe tegemea wateja muda wowote, hasa hilo eneo la chakula. Nguo nazo huu ndio muda wake kushona, kama una mdogo wa kike mshonee nione atakavyopendeza na afae kuitwa mke.. nakuja kulipia.Asante Mjomba π ukija nitafute uniungishe Biryani halafu mpenzi wako ashone nguo na biashara 2 chakula kama part time job kila ijumaa fashion designer ndo mishe zangu za siku zote.
Asmah kwa chapter 15 natabiri aliamishwa company ile nyingine ya usafi ya mama janety au alifukuzwa kazi ili ireny awatenganisheBado washindi wa Kizoka (25k).
Atakaye tabiri vzr kilicho endelea na Asmah kwa Chapter 15 atapata 50k.
Chapter 1-14 ilikuwa ni kupoteza muda. Chapter 15 story ndo inaanza na matukio yangu yataishia June 2023.