Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Naomba muendelezo kuna kitu najifunza hapa mkuu....

Nina kesi ila Dah

Nilimlamba beki3. Kwa sasa ana mtoto hatujui mimba ni ya nani.

Katika kupelelewlza wakti namla bikira kuna mjanja aliishaitoa, huyo ni kijana wa mtaani, muuza duka. ..katika kumbana akamtaja, ila mimi nilikula vile vile..... kuuza duka alkubali baadae akasepa...


Hii kitu inaniuma kwa sababu mtoto hana hatia..

Nawaza nikubali au nikatae

Pembeni kuna wapambe kibao wanasubiri Saudi ya nimekubali




Mtoto ana miaka mitatu..inaniuma isije akawa damu yangu...

Hata kama sio bali mtoto hana hatia.

Mytake..sitakuja kumpa mimba mtu asiye au nisiye mipango naye
 
😃😃😃 Bwana mkubwa Yesu
 
hii 'story' ya zambia ni mimi peke yangu au na nyie wenzangu mmegundua ni 'kamba'?
 
Thanks God result imetoka vizuri mpaka sasa nina 1st class imenyooka, still hata research ikija vibaya nina uhakika wa 1st class.

Mwakani sikosi cheti cha Best student 🙏

Kwa kusherehekea results, kesho tutaendelea na mwendelezo.
Nasubiri Mtanange wa Sister v Iryn sijui nani alishinda🤦🏻‍♂️
 
hii 'story' ya zambia ni mimi peke yangu au na nyie wenzangu mmegundua ni 'kamba'?
Ni wewe peke yako, maeneo yote nayajua hakuna alikokosea hata moja, kujichanganya kupo kwa mgeni, but yuko sahihi. Nandos restaurant nimeshapata dinna pale, maeneo karibu yote nayajua. Victoria falls amekwenda mlemle,
 
Hii simulizi ni noma sana
 
Hapa mtakula pesa yangu tu, anyway naweka vocha ya 5k kama vocha kwa watu wa2 wa mwanzo kupatia.
Utabiri wangu next episode baada ya kufika south ilikuwa usiku hivyo kesho yake ndio mlianza kumtafuta mtamkutia irene hospital akitaka kufanya abortion ndio wewe utaomba msamaha pia sista ako atachangia kwa irene kubadili maamuzi ya kufanya abortion

Done!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…