Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Usipende kutetea ujinga, simu zina Apps za kuficha mambo yako nuhimu eg Dropbox, kwanini hizo picha hakuziweka huko?
You have your beautiful wife and a beautiful sidechick Iryn, why should you go for Asmah, Mary, and Bhoke?
Issue ya kupigwa pingu siwezi kukoment mpaka nijue kilichotokea. Whatever the case alifanya kosa kumpa hela pili akanunue simu, very stupid mistake.
Story nzuri inafundisha mambo mengi
 
Sidhani watu wote wanajua Dropbox. According to jamaa anasema alificha kwenye “hidden folder”. Ni kweli Iphone wana hii kitu, na kufunga mpaka uwe na Passcode au face ID. Kwa mtu ambaye anauelewa na iphone ni rahisi kuiona hio folder, pia unaweza kuhide kwenye settings isionekane kwenye gallery, hata mimi nafanyaga hivi.

Mwisho wa siku za mwizi ni Arobaini, jamaa mwenyewe anakubali ni mzembe kwenye suala la simu.
 
naomba nikwambie sonona inachangia sana kutowaza kama kawaida au kuenenda katika mfumo wakawaida pia insider bado kijana mdogo sana 27 kwa wakati huo vitu vingi ndo anavipitia kwa mara ya kwanza au uzoefu hana najua wengi mtasema chai ila ni mnahukumu tu wenyewe lakini vaeni viatu vyake muone moto lakini kizuri sisi yakwetu maneno tu
 
Tatizo la kuwajua madem ukubwani, alishasema alichelewa kuanza kwichi kwichi. Umri nao ni mdogo afu kazishika hela mapema.
 
Kwakweli tuamini hivo tu af jmn jokes aside mtu gani pesa kwake zinamiminika yani gafla mume wa sista anaagwa juu kwa juu na mkewe wanaenda sauz anakubali fasta na milioni juu ha ha we insaida wewe unatudharau sana aisee
Mimi nilipata mashaka , nilikuwa wa kwanza kutabiri tukio kubwa la asmah kuacha kazi ghafla. Namna nimenyimwa zawadi eti hakuna mshindi, hapa nilibaki na question mark. Kwa mtu ambaye kushindana kupo moyoni sio kwa njaa,ila namna alisolve hili jambo ilinipa mashaka kama kweli anayosimulia ya kweli au na yeye ni mgaagaa na upwa .???...
LAkini simulizi ni nzuri sana, inahamasisha, haichoshi,ina mafunzo na kuburudisha pia. I like it since day1.
 
Wewe una comment kwa sababu hayajawahi kukutokea. Sin unaona hata Mashabiki wa mpira wanavyowatukuna Wachezaji ni kwa sababu wao ni Watazamaji lakini ukiwa ndani ya uwanja ndio utaelewa.
 
Mkuu umeongea na kuandika facts za ukweli. Wanaosoma huu uzi wengi walishapigwa matukio hasa ya kuzalishwa na kuachwa sasa wakisoma huu uzi na wakiona vile INSIDER MAN anavyokula pisi za maana wanaanza kutoa na ku comment reply za makasiriko. Kama unaona chai na story haikupendezi pita kimya kimya tu. Kujiko mentisha hapa na kukosoa kuna kutia aibu tu.
 
UI mzuro
 
Dah, ila mwana uko na matukio mengi sana ya hatari, linatoka hili linakuja lile, sasa hapo sababu ya mama mkwe wako, (pili) kukukàmatisha kwa police ni amehisi kwamba unatembea na binti yake au amepatwa na tatizo gani mpaka kuamua kukufanyia hivyo,
Na hiyo case utamweleza nani ambaye anaweza kukusaidia au kukuamini kama kweli ikiwa alikutuhumu unatembea na binti yake, maana kiuhalisia Jane, huwezi mwomba msaada, marry, asamah, Lucy, Hilda, labda mtu pekee wakukusaidia bila kuhoji maswali mengi hapo ni prisca, ila ngoja tuone nini kilitokea baada ya hapo
 
hyo haijawa konfirmed kama n pili au.laaah babu kwaio.tuliza mtulinga hapo
 
huo mchezo Mzee Juma anaumaliz
a
 
Makarisiko ya Waliotelekezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…