Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Punguza kutoa USHAURI kama wewe sio mjinga toa stori yako ya ukweli tutakuja kuisoma.Jamaa mjinga kweli, kuna watu huko walikua wanasema jamaa ana akili za kitoto na ni mjinga. Na mimi naanza kuamini
Inakuaje tena anatoka out na Asmah mbele ya akina Hilda tena anasema Asmah alikua anadeka mbele ya akina Hilda, kitu ambacho Iryn anamaind kila wakati na mara ya Mwisho Iryn alimwashia kuhusu kulala na Asmah
Mzee juma unamshirikishaje mambo ya kitoto kama hayo, siatakuona hujitambui aloohuo mchezo Mzee Juma anaumaliz
a
Watu wana wivu na maisha ya watu. Unakuta kama ugali mchana haelewi anakuja iutoa nyongo ugali ushuke. .Mkuu umeongea na kuandika facts za ukweli. Wanaosoma huu uzi wengi walishapigwa matukio hasa ya kuzalishwa na kuachwa sasa wakisoma huu uzi na wakiona vile INSIDER MAN anavyokula pisi za maana wanaanza kutoa na ku comment reply za makasiriko. Kama unaona chai na story haikupendezi pita kimya kimya tu. Kujiko mentisha hapa na kukosoa kuna kutia aibu tu.
Aisee hii ni hatari huna hela hata akili ya kupambanua mambo nayo hauna???Watu wana wivu na maisha ya watu. Unakuta kama ugali mchana haelewi anakuja iutoa nyongo ugali ushuke. .
sijaona cha kujifunza hapa, si kila kitu kinafundishaVijana hii story ina mambo mengi ya kutufundisha msisome kama gazeti tu
Hisia zenu tu, kwakua ugali ni issue kwako unafikiri ni issue kwa wote. Mkuu unawaza ugali??? Unawaza chini sanaWatu wana wivu na maisha ya watu. Unakuta kama ugali mchana haelewi anakuja iutoa nyongo ugali ushuke. .
Msipende kuwakashifu watu wanapo eleza mitazamo yao, msitake mawazi yenu yawe ndio yao. Wewe mwenye na/au akil kutwa unatafuta nini mitansaoni?Aisee hii ni hatari huna hela hata akili ya kupambanua mambo nayo hauna???
Kila mtu na mtazamo wakesijaona cha kujifunza hapa, si kila kitu kinafundisha
Unapenda ligi.Hisia zenu tu, kwakua ugali ni issue kwako unafikiri ni issue kwa wote. Mkuu unawaza ugali??? Unawaza chini sana
Poa poa Kijana naona watu wana dis sana humu lakini wapotezee tu shusha mzigoTukutane Badae
Roho ya wivu tu raia humuUnapenda ligi.
Enjoy the story, iwe ya uwongo au ya ukweli kuna kitu cha kujifunza
Unatumia nguvi nyingi boss ukiwa umeshiba pilau
That's life bro. Watu wanapenda wengine waishi kama wao.Aisee hii ni hatari huna hela hata akili ya kupambanua mambo nayo hauna???
Wivu uwe wa maendeleo sio wa kichawi.Roho ya wivu tu raia humu
Alafu wanatamani kuishi life la INSIDER MAN ? Kwa akili za wengi humu hamna hawezi ni life gumu sana sijui wanapo soma ameenda viwanja fulani, amefanya shopping ya Magari, Iphones, wanaona ni simple life kumbe ? 🤣🤣🤣Wivu uwe wa maendeleo sio wa kichawi.
Kaka insider yawe y kwel tufurahi na Watu ambao wanaamni ni chai ila bado wanavutiwa kuifuatliaTukutane Badae
Hapana bwana , mi niko nafuatilia kila nipatapo nafas ila kaz yoyote ya sanaa lazima iwe criticised so waacgen huru wanaokosoa piaUnapenda ligi.
Enjoy the story, iwe ya uwongo au ya ukweli kuna kitu cha kujifunza
Unatumia nguvi nyingi boss ukiwa umeshiba pilau