Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jamaa mjinga kweli, kuna watu huko walikua wanasema jamaa ana akili za kitoto na ni mjinga. Na mimi naanza kuamini

Inakuaje tena anatoka out na Asmah mbele ya akina Hilda tena anasema Asmah alikua anadeka mbele ya akina Hilda, kitu ambacho Iryn anamaind kila wakati na mara ya Mwisho Iryn alimwashia kuhusu kulala na Asmah
Punguza kutoa USHAURI kama wewe sio mjinga toa stori yako ya ukweli tutakuja kuisoma.

Unachotakiwa kufanya ni kutuondolea nzi hapa. tuache sisi tunywe hii chai kwa bagia. wewe nenda kanywe wanzuki kwa mabumunda.
 
Mkuu umeongea na kuandika facts za ukweli. Wanaosoma huu uzi wengi walishapigwa matukio hasa ya kuzalishwa na kuachwa sasa wakisoma huu uzi na wakiona vile INSIDER MAN anavyokula pisi za maana wanaanza kutoa na ku comment reply za makasiriko. Kama unaona chai na story haikupendezi pita kimya kimya tu. Kujiko mentisha hapa na kukosoa kuna kutia aibu tu.
Watu wana wivu na maisha ya watu. Unakuta kama ugali mchana haelewi anakuja iutoa nyongo ugali ushuke. .
 
Aisee hii ni hatari huna hela hata akili ya kupambanua mambo nayo hauna???
That's life bro. Watu wanapenda wengine waishi kama wao.

Kuna kipindi nilipata kazi kampuni inalipa mshahara mnono, kila mtu akawa ananishauri anataka niishi wanavyotaka wao.

Wengine wanadai ninunue gari, wengine fungua biashara, wengine kiwanja, wengine oa....kila mtu anakushauri kiuhalisia ukicheki anakishauri kwa mahitaji yake not yours
 
Back
Top Bottom