Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

pole mkuu ila acha yeye anijibu.
 
Kitendo cha INSIDER MAN kukubali kutafutiwa kiwanja na baba mkwe na yeye kukubali alikosea.
 
Unaweza usiwe umemaanisha au lengo limetimia. Ila hiyo paragraph ya tatu haikupaswa kuwepo. Hiyo ni direct attack kwa mzee baba anayetufanya tuwe hapa.
 
Haha kama unahisi kuna viashiria vya ushoga na unajipeleka huogopi?

Sumu haionjwi kwa kidole
 
Habari wanajamvi!..., Natumai Ni wazima.

Kwa wazazi wanaopenda wanao wasome nje ya nchi, NASHAURI:-

✓ Mpambanie akasome Western countries, sababu kuu Ni uwepo wasl fursa nyingi; japo kwa uchache tu:-

¶ Uwepo wa scholarship nyingi za full funded. SI scholarship ya Sweden(masters), Uk za kutosha, USA na Canada , German, Australia. n.k

¶ Anaweza akasoma Huku akifanya kazi, na uzuri chumi na sheria nyingi za Western coutries zinaruhusu hili. Hii itamjenga, haswa wenye lengo la kubaki huko.

Kwa uchache tu, Ni hayo..
 
India bei nafuu sana mkuu hasa kwa MD, Scholarship nyingi ni kwa Postgraduate
 
alexkaria@tiktok
 
EBM scholars @ youtube
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…