CAPABLE GOD
JF-Expert Member
- Dec 5, 2020
- 258
- 278
Nope mkuu, namaanisha nchi za kimagharibi,.... India Ni ngumu Sana...Kwa India unaweza soma na kufanyakazi at the same time? Wana opportunities za kazi huko? Maana wahindi wengi wanakimbilia kwetu kufanyakz
Tunakusubiria Dr ktk groupNipo na mimi namsoma Insider@Annie X6
Kitendo cha INSIDER MAN kukubali kutafutiwa kiwanja na baba mkwe na yeye kukubali alikosea.
So bado upo na Mama J.... Hongera!!!Mchaga wangu kabadilika aisee, sahivi kiuno laini kama feni. Akikaa juu lazima uelewe shooπ
Washamlainisha kiuno vijana wa mjini πππ, wanawake wana visasi vby sana...So bado upo na Mama J.... Hongera!!!
Kwa nchi za Asia ni nchi gani naweza soma na nikafanyakazi? Malaysia je ikoje?Nope mkuu, namaanisha nchi za kimagharibi,.... India Ni ngumu Sana...
Hii imetoka moyoni
Kailete ata me naisubiri πNaenda kutafuta page ya agent nione picha mliyopiga
He has expressed differently in words Ila lengo lake ni kuwa wanaume wanaoweza kufanya ama kuonyesha tabia za kike,mfano kupika,kujipiga marashi,kunukia,kunyoa Ile dizaini wadada wanapenda yaani kwa kiufupi ni kuwa unajiweka ponzi ambalo wanawake wanalipenda ,kuonekana gentleman kwao,kujaribu kuvaa uhusika wao,wakiongea uwe kimya uwasikilize hisia zao.Duh, kumbe kupika ni ushoga, hakika uko mbali na dunia ya leo, na inaonekana wazazi wako hawajafanikiwa kukulea katika mazingira ya kujitegemea na kujisimamia wewe kama wewe, bado uko na safari ndefu sana ya kujikomboa kifikra ndg, na pia itapendeza kama utamtaka radhi ndg insider kwa kauli yako yenye ukakasi juu yake,
Mwanamme kupika sio ushoga rafiki, na utanashati kunukia sio ushoga, yaan ww sijui umekula maharage ya wapiHe has expressed differently in words Ila lengo lake ni kuwa wanaume wanaoweza kufanya ama kuonyesha tabia za kike,mfano kupika,kujipiga marashi,kunukia,kunyoa Ile dizaini wadada wanapenda yaani kwa kiufupi ni kuwa unajiweka ponzi ambalo wanawake wanalipenda ,kuonekana gentleman kwao,kujaribu kuvaa uhusika wao,wakiongea uwe kimya uwasikilize hisia zao.
Yaani Kama unawajua saikolojia yao watakupenda mno.
Yaani ukiwa ponzi Fulani ivi Halafu pia ukishakuwa na mwanamke mkali mno hata kwao,labda let say hata uwe na mzungu hapa bongo hizi k zingine zinakuwa zinajileta zinakubembeleza uzile
Mkuu umeongea point nzito sana.Jamaa amekuwa muwazi uzembe ambao wanaume tunaweza jikuta tunafanya bila kutarajia. Mwanamke analewa anafanya matukio ambayo hukutarajia huenda hata kwa makusudi kama ilivyokuwa kwa Irene kwenda kwa mama J. Nafikiri hujawahi kutana na visa vya wanawake. Huwezi fikiri kuwa Asmah aliona Hilda anampenda Insider akaona atapoteza mechi ni bora kuua move mapema. Defensive mechanism za wanawake ni za kujilipua mno