Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

So bado upo na Mama J.... Hongera!!!
Washamlainisha kiuno vijana wa mjini 😂😂😂, wanawake wana visasi vby sana...

Nilikuwaga na demu wangu ana kinyaa balaa tukaja tukapotezeana..., tulivokuja kurudiana tena anakula koni balaa na wazungu wakija haachii hata mmoja aende pembeni, woote anawameza... Nikasema lahaulaaaaa vijana wa mjini hawafai
 
Duh, kumbe kupika ni ushoga, hakika uko mbali na dunia ya leo, na inaonekana wazazi wako hawajafanikiwa kukulea katika mazingira ya kujitegemea na kujisimamia wewe kama wewe, bado uko na safari ndefu sana ya kujikomboa kifikra ndg, na pia itapendeza kama utamtaka radhi ndg insider kwa kauli yako yenye ukakasi juu yake,
He has expressed differently in words Ila lengo lake ni kuwa wanaume wanaoweza kufanya ama kuonyesha tabia za kike,mfano kupika,kujipiga marashi,kunukia,kunyoa Ile dizaini wadada wanapenda yaani kwa kiufupi ni kuwa unajiweka ponzi ambalo wanawake wanalipenda ,kuonekana gentleman kwao,kujaribu kuvaa uhusika wao,wakiongea uwe kimya uwasikilize hisia zao.
Yaani Kama unawajua saikolojia yao watakupenda mno.
Yaani ukiwa ponzi Fulani ivi Halafu pia ukishakuwa na mwanamke mkali mno hata kwao,labda let say hata uwe na mzungu hapa bongo hizi k zingine zinakuwa zinajileta zinakubembeleza uzile
 
He has expressed differently in words Ila lengo lake ni kuwa wanaume wanaoweza kufanya ama kuonyesha tabia za kike,mfano kupika,kujipiga marashi,kunukia,kunyoa Ile dizaini wadada wanapenda yaani kwa kiufupi ni kuwa unajiweka ponzi ambalo wanawake wanalipenda ,kuonekana gentleman kwao,kujaribu kuvaa uhusika wao,wakiongea uwe kimya uwasikilize hisia zao.
Yaani Kama unawajua saikolojia yao watakupenda mno.
Yaani ukiwa ponzi Fulani ivi Halafu pia ukishakuwa na mwanamke mkali mno hata kwao,labda let say hata uwe na mzungu hapa bongo hizi k zingine zinakuwa zinajileta zinakubembeleza uzile
Mwanamme kupika sio ushoga rafiki, na utanashati kunukia sio ushoga, yaan ww sijui umekula maharage ya wapi
 
Jamaa amekuwa muwazi uzembe ambao wanaume tunaweza jikuta tunafanya bila kutarajia. Mwanamke analewa anafanya matukio ambayo hukutarajia huenda hata kwa makusudi kama ilivyokuwa kwa Irene kwenda kwa mama J. Nafikiri hujawahi kutana na visa vya wanawake. Huwezi fikiri kuwa Asmah aliona Hilda anampenda Insider akaona atapoteza mechi ni bora kuua move mapema. Defensive mechanism za wanawake ni za kujilipua mno
Mkuu umeongea point nzito sana.
Mikasa ipo Mikali sana tunaogopa codes..

Matukio ya INSIDER ni ya kawaida kwa Wanaume flani flani hivi...ndio maana tunakufa mapema.

Juzi tu tumeamua case moja matata...mtu unawatoto tisa na wanawake wakali mbaya😀😀😀😀😀😀

Shetani atusamehe...
 
Back
Top Bottom