uliupiga mwingi hapa Hadi mwanzo ikahusikaMimi: Biblia inasema utapata wa kuendana nae kama wewe ni mlevi utapata hivyohivyo mlevi mwenzio, sio unataka mwanaume anayetambua afu wewe hujitambui, thubutu!
Nilikuwa Rombo huko nakula Bata. Nimerudi nahangaika na hospital mkweo anaumwa.
INSIDER MAN hili ombi naomba ulifanyie kazi asee itamsaidia sana bro wangu ambae mwakani anatimiza 18 yrs😁 yupo JF humu ila acha niwe mkimya tuINSIDER MAN
Kusema kweli kwa upande wangu umeni inspire sana, Ombi langu ukimaliza hii story. Uanzishe thread ya kuwa unatufanyia mentoring pale tutakapokuwa tunauliza maswali au utakuwa unaandika makala sio ya maisha ya kimapenzi ila ilenge sana kwenye biashara, uchumi, uwezekezaji na utunzaji wa fedha. Na sisi tutauliza maswali ili utupatie ufafanuzi.
Ombi langu 🙏
Acha njaa dogo utakuja lawitiwa.Mkuu nimeishinda hiyo alafu punguza shobo kama mimi ni mwenye njaa unapungukiwa na nini?
Hiyo Kabul pilao unatulisha roho za mauti nini? Ni sawa na jamaa muvaa jezi imeandikwa Sanda.Biryani yenyewe 😋😋😋😋
Hamna kitu,request chache na nauli ni ndogo mnoBolt Dodoma inalipa?
bora umepata nguvu za kuandika, maana mimi niliishia kumwonea huruma huyo jamaa!ID yako ibadili sasa maana haiendani na ulichoandika, unataka watu waishi kama babu zetu? , haya niambie kipi kikubwa hao babu zetu walifanya ambacho leo hii tunajivunia,au ndio hio Katiba ya Tanganyika ambayo yenyewe tulipewa muundo?,ki ufupi hakuna na angalau walistaarabishwa na hao wenye tamaduni unazobeza.Mwanaume ni mtu aliekamilika maana yake ni kwamba kila shughuli ya kibinadamu anaiweza kwa ufanisi wa asilimia mia moja iwe ni kupika na mengineyo . Mwanamke yeye ni kiumbe ambacho kinatafuta kukamilika maana yake kuna shughuli ambazo anafanya mwanaume yeye haziwezi kamwe na ili zifanyike lazima awe na mwanaume.
Shida ya wabongo wengi exposure ndogo na mnaona miaka 90 iliopita ni sawa na sasa. Hebu google angalia wapishi(Chef) wakubwa duniani wenye 3 Michelin Star wengi ni wanaume au wanawake.?
Ushawahi kushiriki Shughuli kubwa kama maharusi , Vipaimara au Maulid?. Asilimia kubwa wapishi ni wanaume , huu utaratibh haujaanza leo ni wa miaka kamuulize babu yako kama yupo hai , usije ukasema kwasabu wana nguvu za kupika chakula kingi maana haina mashiko.
Mwanaume unapaswa kujua kila kitu ambacho ni muhimu(Chakula kitamu katika orodha) kwako kwa asilimia mia moja , yaani ikitokea hata wanawake wotoweke ghafla hukosi chakula kitamu unachopenda kwa ujinga wako.
Kwa taarifa yako wanaume ndio wanaojua kupika kuliko wanawake , mfano angalia historia ya Pizza , Burger ,Sushi N.k
Man up bro , Remember .Ego is your enemy.
Nyie ndio mnaolia kilio mkiachwa , Ukikumbuka Pishi la Mwajuma jinsi ulivyokuwa ukilifurahia mpaka kububujikwa na machozi na Mwajuma kakuacha unalia kwa kugalagaza miguu[emoji51][emoji1787]
Mimi Kama daktari wa wakimama na ni kidume.ID yako ibadili sasa maana haiendani na ulichoandika, unataka watu waishi kama babu zetu? , haya niambie kipi kikubwa hao babu zetu walifanya ambacho leo hii tunajivunia,au ndio hio Katiba ya Tanganyika ambayo yenyewe tulipewa muundo?,ki ufupi hakuna na angalau walistaarabishwa na hao wenye tamaduni unazobeza.Mwanaume ni mtu aliekamilika maana yake ni kwamba kila shughuli ya kibinadamu anaiweza kwa ufanisi wa asilimia mia moja iwe ni kupika na mengineyo . Mwanamke yeye ni kiumbe ambacho kinatafuta kukamilika maana yake kuna shughuli ambazo anafanya mwanaume yeye haziwezi kamwe na ili zifanyike lazima awe na mwanaume.
Shida ya wabongo wengi exposure ndogo na mnaona miaka 90 iliopita ni sawa na sasa. Hebu google angalia wapishi(Chef) wakubwa duniani wenye 3 Michelin Star wengi ni wanaume au wanawake.?
Ushawahi kushiriki Shughuli kubwa kama maharusi , Vipaimara au Maulid?. Asilimia kubwa wapishi ni wanaume , huu utaratibh haujaanza leo ni wa miaka kamuulize babu yako kama yupo hai , usije ukasema kwasabu wana nguvu za kupika chakula kingi maana haina mashiko.
Mwanaume unapaswa kujua kila kitu ambacho ni muhimu(Chakula kitamu katika orodha) kwako kwa asilimia mia moja , yaani ikitokea hata wanawake wotoweke ghafla hukosi chakula kitamu unachopenda kwa ujinga wako.
Kwa taarifa yako wanaume ndio wanaojua kupika kuliko wanawake , mfano angalia historia ya Pizza , Burger ,Sushi N.k
Man up bro , Remember .Ego is your enemy.
Nyie ndio mnaolia kilio mkiachwa , Ukikumbuka Pishi la Mwajuma jinsi ulivyokuwa ukilifurahia mpaka kububujikwa na machozi na Mwajuma kakuacha unalia kwa kugalagaza miguu[emoji51][emoji1787]
Nikavizia picha ya mpishi wee nikaikosa😌😌Biryani yenyewe 😋😋😋😋
Na hauwezi kuja kuiona labda INSIDER MAN ampost Irene 😂🤣Nikavizia picha ya mpishi wee nikaikosa😌😌
Usiongee kitu usicho kijuaHiyo Kabul pilao unatulisha roho za mauti nini? Ni sawa na jamaa muvaa jezi imeandikwa Sanda.
Kwanini usingetumia lugha nyingine sister japo hiyo picha nyingine ya viazi na hilo sotojo, dah umeamsha minyoo yangu asubuhi hii.
Huyo anajiita Mzee wa hovyo ataongea cha maana?Usiongee kitu usicho kijua
Pole Mungu amponyeshe kwa haraka.Nilikuwa Rombo huko nakula Bata. Nimerudi nahangaika na hospital mkweo anaumwa.
Nimetulia nitakupigia simu kesho.
Kupika mbona ni kazi nzuri tu tena yenye heshima.Mm ni mwanaume lakini napenda kupikabora umepata nguvu za kuandika, maana mimi niliishia kumwonea huruma huyo jamaa!
anaona kupika kazi ya mwanamke? ni hasara kuwa na vijana aina hii....
Uko wapi?Biryani yenyewe 😋😋😋😋