Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

INSIDER MAN Una talent ya uandishi wenye mtiririko mzuri wa matukio, it's like a real movie but written on a paper, I wish kama watu ulokutana nao kama kina mzee Pama wangekua ndio wapo hollywood na wao ndio wakushike mkono kurudi Shule kama walivyochochea kurejea kubukua kitabu, Na badala yake Shule unayopiga iwe ni elimu ya kwenye industry ya movies I.e script writing and directing. Hakika ungepika movies/series tamu sana.
 
INSIDER MAN
Kusema kweli kwa upande wangu umeni inspire sana, Ombi langu ukimaliza hii story. Uanzishe thread ya kuwa unatufanyia mentoring pale tutakapokuwa tunauliza maswali au utakuwa unaandika makala sio ya maisha ya kimapenzi ila ilenge sana kwenye biashara, uchumi, uwezekezaji na utunzaji wa fedha. Na sisi tutauliza maswali ili utupatie ufafanuzi.
Ombi langu 🙏
INSIDER MAN hili ombi naomba ulifanyie kazi asee itamsaidia sana bro wangu ambae mwakani anatimiza 18 yrs😁 yupo JF humu ila acha niwe mkimya tu


and of course me too it will help somehow
 
ID yako ibadili sasa maana haiendani na ulichoandika, unataka watu waishi kama babu zetu? , haya niambie kipi kikubwa hao babu zetu walifanya ambacho leo hii tunajivunia,au ndio hio Katiba ya Tanganyika ambayo yenyewe tulipewa muundo?,ki ufupi hakuna na angalau walistaarabishwa na hao wenye tamaduni unazobeza.Mwanaume ni mtu aliekamilika maana yake ni kwamba kila shughuli ya kibinadamu anaiweza kwa ufanisi wa asilimia mia moja iwe ni kupika na mengineyo . Mwanamke yeye ni kiumbe ambacho kinatafuta kukamilika maana yake kuna shughuli ambazo anafanya mwanaume yeye haziwezi kamwe na ili zifanyike lazima awe na mwanaume.

Shida ya wabongo wengi exposure ndogo na mnaona miaka 90 iliopita ni sawa na sasa. Hebu google angalia wapishi(Chef) wakubwa duniani wenye 3 Michelin Star wengi ni wanaume au wanawake.?
Ushawahi kushiriki Shughuli kubwa kama maharusi , Vipaimara au Maulid?. Asilimia kubwa wapishi ni wanaume , huu utaratibh haujaanza leo ni wa miaka kamuulize babu yako kama yupo hai , usije ukasema kwasabu wana nguvu za kupika chakula kingi maana haina mashiko.
Mwanaume unapaswa kujua kila kitu ambacho ni muhimu(Chakula kitamu katika orodha) kwako kwa asilimia mia moja , yaani ikitokea hata wanawake wotoweke ghafla hukosi chakula kitamu unachopenda kwa ujinga wako.
Kwa taarifa yako wanaume ndio wanaojua kupika kuliko wanawake , mfano angalia historia ya Pizza , Burger ,Sushi N.k
Man up bro , Remember .Ego is your enemy.
Nyie ndio mnaolia kilio mkiachwa , Ukikumbuka Pishi la Mwajuma jinsi ulivyokuwa ukilifurahia mpaka kububujikwa na machozi na Mwajuma kakuacha unalia kwa kugalagaza miguu[emoji51][emoji1787]
bora umepata nguvu za kuandika, maana mimi niliishia kumwonea huruma huyo jamaa!
anaona kupika kazi ya mwanamke? ni hasara kuwa na vijana aina hii....
 
ID yako ibadili sasa maana haiendani na ulichoandika, unataka watu waishi kama babu zetu? , haya niambie kipi kikubwa hao babu zetu walifanya ambacho leo hii tunajivunia,au ndio hio Katiba ya Tanganyika ambayo yenyewe tulipewa muundo?,ki ufupi hakuna na angalau walistaarabishwa na hao wenye tamaduni unazobeza.Mwanaume ni mtu aliekamilika maana yake ni kwamba kila shughuli ya kibinadamu anaiweza kwa ufanisi wa asilimia mia moja iwe ni kupika na mengineyo . Mwanamke yeye ni kiumbe ambacho kinatafuta kukamilika maana yake kuna shughuli ambazo anafanya mwanaume yeye haziwezi kamwe na ili zifanyike lazima awe na mwanaume.

Shida ya wabongo wengi exposure ndogo na mnaona miaka 90 iliopita ni sawa na sasa. Hebu google angalia wapishi(Chef) wakubwa duniani wenye 3 Michelin Star wengi ni wanaume au wanawake.?
Ushawahi kushiriki Shughuli kubwa kama maharusi , Vipaimara au Maulid?. Asilimia kubwa wapishi ni wanaume , huu utaratibh haujaanza leo ni wa miaka kamuulize babu yako kama yupo hai , usije ukasema kwasabu wana nguvu za kupika chakula kingi maana haina mashiko.
Mwanaume unapaswa kujua kila kitu ambacho ni muhimu(Chakula kitamu katika orodha) kwako kwa asilimia mia moja , yaani ikitokea hata wanawake wotoweke ghafla hukosi chakula kitamu unachopenda kwa ujinga wako.
Kwa taarifa yako wanaume ndio wanaojua kupika kuliko wanawake , mfano angalia historia ya Pizza , Burger ,Sushi N.k
Man up bro , Remember .Ego is your enemy.
Nyie ndio mnaolia kilio mkiachwa , Ukikumbuka Pishi la Mwajuma jinsi ulivyokuwa ukilifurahia mpaka kububujikwa na machozi na Mwajuma kakuacha unalia kwa kugalagaza miguu[emoji51][emoji1787]
Mimi Kama daktari wa wakimama na ni kidume.
 
Hiyo Kabul pilao unatulisha roho za mauti nini? Ni sawa na jamaa muvaa jezi imeandikwa Sanda.

Kwanini usingetumia lugha nyingine sister japo hiyo picha nyingine ya viazi na hilo sotojo, dah umeamsha minyoo yangu asubuhi hii.
Usiongee kitu usicho kijua
Unataka nitumie lugha ipi wakati ndo jina lake si uende google🔍
Ni Kabul sio Kaburi.
Kabul ni mji
Kaburi anazikwa mtu vitu 2 tofauti.
 
Muda wa lunch umekwisha sasa… mtawanyike kurudi maofisini

15people are here……
 
Back
Top Bottom