Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Tamaa, hasira za kuachwa na Iryn zilimtawala. Hakuwa anajielewa au naye ni kama wewe maana mmeenda sana hayo.

Sasa si analeta kuendeleza, subiri agandweeee na Mary kiwivu, mwanafunzi wa Jane mdangaji aliyebobea anamfunza.
Hapa ukweli umemuonea dogo. Hakufanya hivo kwasababu ya kuachwa na yeyote; aliamua ku move on na kua busy na biashara zake; though ukimsoma again, alikua na uhakika na mkewe kwamba atarudi tu home. Ungenambia kuhusu Asmaa ningekuelewa kwamba alikua na hasira, tena hasira za mama J na sio Iryn; ukimsoma btn the line, wanawake ambao kawapenda sana humu huyu jamaa ni hawa wafuatao (kwa mtazamo wangu according to the story) wa kwanza ni mama Jr, Mary, Asmaa. Iryne jamaa hajampenda kiviiile zaidi ya kumsifia sana uzuri wake. Mapenzi yake kwake yamekuzwa na mtoto mtarajiwa but not her. Ila Mary jamaa kamuelewa sana; Asmaa mapenzi yamepunguzwa kidogo kwasababu ya ushauri aliopewa na chawa pro max da Lucy wa Michael Chain (Mikocheni ). If kama utakumbuka vizuri, "usimdanye mtoto wa watu akajenga hisia kali na wewe wakati huna mpango nae" hi statement mdogo wetu aliielewa sana.
Tuendelee kuburudika na vijana endeleeni kujifunza
 

Umeandika kama vile sijasoma na mimi!!! Eeeh Mary tabia mbaya sana amefanya. Hata uandike novel, tabia mbayaaaaaaa sanaaaaa, shameful woman.
 
Umeandika kama vile sijasoma na mimi!!! Eeeh Mary tabia mbaya sana amefanya. Hata uandike novel, tabia mbayaaaaaaa sanaaaaa, shameful woman.
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…πŸ€£ to make the story short; kila mtu abaki na msimamo wake bhana; bado kwangu mimi Mary is a wife materials; ambacho tu sijakipenda kwa INSIDER MAN kutaka kumzalisha; Mary deserve better man than a married one though kama baba Jr angekua hajaoa, yes this could be a better couple than ever
 

Umejipata sasa kiupande fulani

Superb πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Habari yakk mshangazi, naona hapa wewe na mumeo hamfiki December, nicheki dm tuone tunafanyaje
 
Nakuona Dada yake Marry unampambania mdogo wako πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜
 
Kuna watu malofa sana humu duniani akiwemo huyo mumeo. Kwahiyo kaanza mechi akiwa ameshafungwa goli 2 bila.

Yaani unaenda kuoa mwanamke mwenye watoto 2 na unaacha vigoli vibichiiiiii. Aiseeeee, huyo atakuwa msukuma tu maana sio kwa ushamba huo.

Natania japo u mstaarabu hutukani watu humu JF. Mshangazi niuzie biriani badi.
 
Shusha vitu nipo hapa since day one na tutamaliza pamoja ..insider ukija kikuyu dom nicheki mwamba tupeane tano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…