Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

INSIDER MAN naomba mbinu ya kuwapata warembo wa Ethiopia.
Kama unahitaji wa kuanzisha nao mahusino ni ngumu sana kwa strangers. Madem wa Ethiopia hawana shobo kwa wageni, so kuanzisha nao mahusiano ni ngumu sana, otherwise uwe mwenyeji unaishi kule au mgeni uliyehamia.

Kupata wa hook nao, utawapata ila zingatia yafuatayo:
1. Jua tamaduni zao.
2. Jua kutumia lugha yao- Amharic, atleast ujue kusalimia na baadhi ya maneno muhimu. Wengi wao ngeli hawajui, wanatumia Amharic, ndio lugha yao.
3. Uwe na mwenyeji wa kule
4. Uwe na Pesa.

Ukitaka hoes wapo nenda clubs kama, Club H20, Redsea lounge, The Vault nknk. Lakini kama hujazoea mazingira, tafuta mwenyeji ili uyazoee mazingira. Ukizoea mazingira utawala sana hadi bhasi, cha muhimu pesa, wengi kule wana maisha ya kawaida sana.

Asilimia kubwa ya wanawake wa Kule wana maadili sana, huwezi fananisha na magube ya huku Tanzania.

Pia madem wa kule wanaushamba fulani hivi, hawajawa affected sana na globalization, hasa ukiwakuta wale wa ndani ndani. Unaweza kutana na pisi kali, ila sasa alivyovaa hadi kero.
 
Wakristo hawaruhusiwi Kiowa wake wawili, je wazazi WA mama j huoni kuwa wanaweza kumrudisha binti yao nyumbani na wewe kurudishiwa mahari yako?
Mama J kwasasa hayuko chini ya wazazi ni above 18. Ana maamuzi yake kama mtu mzima, kuhusu ukristo naweza kuswitch nakuwa muslim. Akina Seleman walioa wake 700 sembuse mimi wake wawili tu?
 
Mama J kwasasa hayuko chini ya wazazi ni above 18. Ana maamuzi yake kama mtu mzima, kuhusu ukristo naweza kuswitch nakuwa muslim. Akina Seleman walioa wake 700 sembuse mimi wake wawili tu?
Mkuu INSIDER MAN vipi kuhusu fursa za biashara hapa Tanzania ulisema utatupatia

 
mambo ya Mondo haya🙌🏿🙌🏿
 

Attachments

  • IMG_6313.jpeg
    809.9 KB · Views: 33
  • IMG_6311.jpeg
    821.6 KB · Views: 31
Kihistoria sababu kubwa ni kuwa Ethiopia haikuwahi kuwa koloni la beberu yoyote. Kwahiyo hamna 'influence' aidha kwa lugha au tamaduni za kigeni za wazungu/waarabu nk.
 
Boss kipande gani hiko Iryn alilewa chakari ?
 
I had to take Mama J out for lunch before I travel to South Africa. I told her I’m going to Zambia for research, and she wished me all the best.

She doesn’t know anything about me expecting a second child with Iryn. She also doesn’t know that Iryn is due to deliver another baby this week.

I feel karma might catch up with me. When she finds out the truth, I don’t know what will happen. 💔
 
Mkuu shukrani na hongera kwa viunzi ulivyovivuka Mungu azidi kukupa mbinu na maarifa ya kufaulu hapa palipo bakia , Binafsi natamani kuskia juu ya fursa ambazo umeziona kwenye hizi harakati zako
 
Hahahah unatushawishi kaka tutimbe adidas ababa😂
 
Mama J kwasasa hayuko chini ya wazazi ni above 18. Ana maamuzi yake kama mtu mzima, kuhusu ukristo naweza kuswitch nakuwa muslim. Akina Seleman walioa wake 700 sembuse mimi wake wawili tu?
Switch tu kaka ukifwatilia kwanza kiundani izi dini zina mambo mengi ya ajabu kama umeridhia kawe muislim uwape wote wake zako haki sawa.Mchawi je wake zako wapo nao tayari kuswitch dini?😅😅
 
I’m at a stage where I love both equally, 50/50, and I don’t want to lose anyone.🤔
Mmmh oooh sawa weee

Ila je, Mama J haswa akikwambia nae anataka wake wa pembeni atakupenda 50 na mme mwenza 50 utakubali? Kaswali tu 😊

Bado unamdanganya unajazia tu.. Bila was.

Kila la kheri wazazi wa baby mwingine.
 
Wakwe wanahusika vipi na maamuzi yangu?. Hizi Dini zinatufunga sana tbh 🚮
😃😃😃i mean wake zako afu izi michosho sana angalia namna uwaoe wote kwa mana dini zote mbili ni za Mwenyezi Mungu afu kuchange sio dhambi.Go ahead my bro na usisahau kunipa kadi ya mwaliko tu siku iyo ikiwadia😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…