Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

You will never understand the guy because you are a Woman
 
Ya Mama Wawili nikipamba nitaijua mkuu Asubuhi tu sema Nina uvivu wa kuichimba sana. Ukiwa Hip Hop kuna mambo unaishi nayo
 
Hakuna Karma Mkuu, be at peace sisi wanaume watafutaji tunaelewa vizuri Sana. Kama umekosea tumeshakusamehe
 
Poa kaka natumaini mkeo watoto hawajambo kitambo hatujaongea nikipata utulivu nitakupigia msalimie mkeo mwambie wifi lazima siku nije tupike biryani 😁
Anakukaribisha sana. Kesho kutwa jumamosi anapika afrighan pilao anakukaribisha sana.
 
Insider acha haya mambo ya ubaguzi na unyanyasaji.Unajua fika nafuatilia historia hii na Kiingereza sijui hata cha kuombea maji.Acha mara moja kaka ubaguzi huu.
 
Omba msamaha ikiwezekana wkt wa msamaha uwe na dada yako pamoja au mzazi wako haswa mama yani umpeleke nyumbani kbsa ila daah ataumia sana sana na jua kabsa atapunguza uaminifu kwako ila Mwenyezi Mungu ndio anajua huu mziki sio wa kitoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…