Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kwa kuwa ni NDOA baina ya Mama J na INSIDER MAN ni ya kimila, MILA inatambua MITALA so uwepo wa Iryn si tatizo. INSIDER MAN anaendeleza tu mila za ki Afrika
 
PUNGUZENI USHAURI KILA MTU ANA MAISHA YAKE MWAMBA INSIDER KATOA STORY YA MAISHA YAKE NA HATUA ALIZOPITIA MMEKAZANA KILA TUKIINGIA HUMU TUNAKUTA MAUSHAURI KIBAO ANAPOHITAJI USHAURI SI ANAWASILISHA HOJA BADILIKENI
 
Kwa kuwa ni NDOA baina ya Mama J na INSIDER MAN ni ya kimila, MILA inatambua MITALA so uwepo wa Iryn si tatizo. INSIDER MAN anaendeleza tu mila za ki Afrika
Mnasomaga Biblia za wapi nyie? Halafu lini Insider kasema kafunga ndoa ya Kimila? The way alivyoiweka story yake, mkewe ni Mchagga while yeye sio mchagga, haya kwenye story hi walifata mila za uchagani au kwao?
 
Bro soma Biblia vizuri....., nitajie sehemu gani kwenye Biblia uliona ndoa imefungwa kanisani! Taja mstari walau mmoja tu. Tofautisha maandiko na mafundisho ya DINI, ulicho kisema hapa ni mafunzo ya kidini na sio Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…