Yaani huyo ni kama mimi. Kama huamini mganga maisha yako yatakuwa huru.kwenye mishe zako zote hujawahi kwenda kwa mganga masta?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani huyo ni kama mimi. Kama huamini mganga maisha yako yatakuwa huru.kwenye mishe zako zote hujawahi kwenda kwa mganga masta?
MamboAbee
Salama. Uko poa?Mambo
Kwa kuwa ni NDOA baina ya Mama J na INSIDER MAN ni ya kimila, MILA inatambua MITALA so uwepo wa Iryn si tatizo. INSIDER MAN anaendeleza tu mila za ki AfrikaMaandiko gani hayamtambui mama J? Mapokeo ya taasisi za dini ndio hayamtambui na mamlaka za serikali kwa kuwa wanatambua ndoa ikiwa na cheti kinachotolewa na Jamhuri. Ndoa ni makubaliano ya watu wawili kuishi kama mke na mume kukiwa na ushahidi wa wazazi wa pande mbili, ndugu na marafiki wakati wa utoaji mahali. Pande mbili zikiridhia hiyo ni ndoa tayari.
Hii ndoa ya Insider ni halali mbele za Mungu. Kilichobaki ķimaandiko ni kipengele kimoja ambacho ni agizo la Mungu kutii wenye mamlaka. Hivyo atatakiwa awe na cheti cha ndoa.

Sawa kabsa😂Kwa kuwa ni NDOA baina ya Mama J na INSIDER MAN ni ya kimila, MILA inatambua MITALA so uwepo wa Iryn si tatizo. INSIDER MAN anaendeleza tu mila za ki Afrika![]()
Hujambo mamyAbee
Mkuu, daah 🙌
Niko poa, karibu sanaSalama. Uko poa?
Sijambo rafiki, uko poa? Sijakuona muda wapi ulipotelea?Hu
Hujambo mamy
Shetani ludisha akili za mke wanguJamani kuna chaka jipya la kwenda kukaa ???
Mnasomaga Biblia za wapi nyie? Halafu lini Insider kasema kafunga ndoa ya Kimila? The way alivyoiweka story yake, mkewe ni Mchagga while yeye sio mchagga, haya kwenye story hi walifata mila za uchagani au kwao?Kwa kuwa ni NDOA baina ya Mama J na INSIDER MAN ni ya kimila, MILA inatambua MITALA so uwepo wa Iryn si tatizo. INSIDER MAN anaendeleza tu mila za ki Afrika![]()
Bro soma Biblia vizuri....., nitajie sehemu gani kwenye Biblia uliona ndoa imefungwa kanisani! Taja mstari walau mmoja tu. Tofautisha maandiko na mafundisho ya DINI, ulicho kisema hapa ni mafunzo ya kidini na sio MunguKuna kitu kinanitatiza namna tunavyomtambua Mama J na kulinganisha Maandiko matakatifu.
Kimsingi, Mama J hatambulikinkama Mke kwa Mujibu wa Biblia tinayoifanyia rejea kwa sababu Ndoa ya Kanisani bado haijafumgwa. Insider Man, kwa Mujibu wa maelezo yake, amelipa mahali tuu kwa Mama J. Hivyo, Mama J anatambulika kama Mke wa Insider, kimila.
Kwa maelezo haya, sidhani kama ni sahihi kutumia Maandiko kumshauri Insider kuhusu kumuacha Mama J kama Mkewe wa Ujana ilhali Maandiko hayamtambui Mama J kama Mke wa Ujana wa Insider.
Nadhani, tujikite kwenye asili inayomtambua Mama J kama Mke wa Insider ili kuepuka Karma.
Kipekee, pamoja na sifai nzuri za Ireen zilizoelezwa hapa, lakini, Ireen kwa mtazamo wangu, ni Mbinafsi sana. Yeye kushare na Mama J, anaona sawa. Ila, Mwanamke mwingine kushare naye, ni Big No! Kingine, Ireen anaonekana hayupo tayari kuwa chini ya Insider. Utiifu wake una mashaka sana. Ukishaona Mwanamke anakupa masharti kila siku kuhusu kutowaona Watoto kisha uchepukaji, ni changamoto. Beijing imemkaa kichwani na anaona naye ana Haki ya kumuamrisha Mwanaume. Na katika hili, Insider anapaswa kujiandaa nalo mapema ipasavyo. Siku Ireen atakapofikisha Idadi ya Watoto awatakao na wakawa Wakubwa kiasi cha kuendesha Biashara zake, kuna hati hati Insider kunyanyasika. Kwa kweli, Insider asithubutu kumruhusu Ireen kumvuruga na kumwachanisha na Mama J. Maana yake, siku Ireen akiwa ndiyo Mke pekee, sidhani kama Insider atafurahia mahusiano/ndoa husika na Karma itamtesa.
Umewatoa wapi Mzee?View attachment 3133279na huyu ndo Binti wetu wa kihabesh iryn🌚...prove me wrong mkuu insider
Iryn huyu huyu anayesifiwa humu?View attachment 3133279na huyu ndo Binti wetu wa kihabesh iryn🌚...prove me wrong mkuu insider