Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Tru..wabongo ni vigeu
 
ki
niseme tu shukrani sana INSIDER MAN kwa story nzuri sana ambayo nimeifatilia kwanzia Mwanzo mpaka Mwisho huu ,Niseme kwamba story hii imenifunza mengi sana Namna ninavyowaza ,Namna yakuhandle Mahusiano ,Imesababisha nimeona nakujifunza umuhimu wakutembelea na kuishi Vizuri na Ndugu ,Kwa kwel i have learn alot ,Kwa sisi ambao tumemaliza chuo mwaka huu niseme kwamba safaru yangu ya maisha imeanzia kwenye Hii Thread , Kila la kheri kwako Baba aria na Kwa Iryn ( Genevieve )

Pongezi kubwa Kwa Tajiri Maxence Melo kwakutuandalia Hii platform nzuri yakujifunza

Jamii forums ,Home of Great Thinkers!.
 
Huyu sasa ndo Iryn mwenyewe. Mtoto flani hivi hatari na nusu. Hakika ni mzuri
 

Attachments

  • Screenshot_20241105-091139~2.png
    1.6 MB · Views: 11
  • Screenshot_20241105-091205~2.png
    2 MB · Views: 28
Inabidi tuwape tuzo.waliotoa Hadithi bila ya kugusa ulaji wa mbususu jamani . Mana this is common African man brain/mind to talk/think/see mbususu all the time 24/7/365.25.
We need to give gift to all who gave out their stories without mentioning or intention of showing eating pussy since Africans think only about sex, music, luxury, laziness, dancing, eating, sleeping and having multiple sex with different women.
Kama uwongo angalia nyuzi za mbususu na za kubeti angalia zilivyo na views nyingi mno kuliko nyuzi zingine.
Ila weka maada ngumu hapa za kuumiza kichwa utaona ni wangapi watachangia Kama hawatakimbia kuja kumuona ama kumsoma Iryn alivyompa mbususu Huyu jamaa .

Ila hongera bana umetupa starehe
 
Haya mnayoyaposti ni makahaba! Iryne sio kahaba kwa mukutadha wa hii story! Iryne is so intelligent, financially fit and moral oriented! Hii mi myanamuke manayoyaweka hapa ni makahaba!
tuanze na definition ya kahaba mkuu
 
Mbona mnalata uchafu humu mnasema Iryn ndio huyu. Hivi hamjawahi kukutana ama kula mademu wakali jamani. Kuna demu akipita wanaume wote ama watu wote wanahairisha shughuli zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…