Labda akiliangalia lile Jengo la Morena Hotel anajiona tayari yupo DubaiKijana yuko Msamvu hapo, anasema anaruka na mademu wakali Dubai. Hii nchi uhuru umepitiliza asee!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hayo maudhui ya kweli yakoje juu ya hii habari?, Wewe itakuwa Ni wa upinde tu.Mnaokuja pm kuniomba nilegeze msimamo wangu sitaki, nimeamua kwa hiari yangu kuwatetea walaji kwa hiyo sishauriki katika hilo, lengo ni kuiona jf yenye maudhui ya kweli na maana sio kunyweshana chai ya moto na joto hili.
Personal attack haitasaidia kunirudisha nyuma, mimi nacritisize uzi wewe unaleta mambo binafsi. Kwa kuwa mna arosto na story basi jiungeni kumbembeleza msimulizaji aendelee ila sharti awe mkweli, akiweka chumvi tu mimi huyu hapa.Kijana yuko Msamvu hapo, anasema anaruka na mademu wakali Dubai. Hii nchi uhuru umepitiliza asee!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Anaelezewa anajiuza ni iryn kwenye story ya jamaa hii inakufanyaje wewe uumie, mbona I smell something fishy yaani Iryn ndiyo aliwe lakini wewe uumie na kuamua kuwatetea walaji ?Huko episode za nyuma msimuliaji mwenyewe alisimulia kuwa iryn alimwambia mara moja moja imetokea katombwa na wateja ila mpaka awe kampenda, sasa huko sio kujiuza. Sisi watetezi wa walaji tuna details na tunasoma between lines kuhakikisha walaji hamdanganywi na mtoa simulizi.
Bro haina shidaNdugu zangu wana JF kwa heshima ya watu wote humu ndani naomba kuisotisha hii story iishie hapa sitoimaliza maana inaonekana ni chai. Na mimi siwezi kupoteza muda kuandika kitu ambacho watu wanasema ni uongo.
Nina mambo na majukumu mengi ya kufanya na hakuna anayenilipa kwenye hii story, napoteza muda wangu kuwapa watu story kilichonitokea na mpaka nikaamua kuandika lakini inaonekana ni 0,
Nafikiri kila mtu aendelee na mambo yake kwa stage iliyofikia kumaliza story itakua ngumu, nafikiri tuishie hapa. Kama mtu ameshasema story ni chai kuna haja gani ya kuendelea kuandika?.
Kwa wale tuliokuwa pamoja ahsanteni kwa muda tulionza pamoja ila mimi binafsi nimeshindwa kuendelea kuandika, maana watu wanakatisha sana tamaa.
Story haijaisha hapo niko na matukio ya March, lakini mtu kashaaanza kutukana, haters wamekua wengi, lakini hii ni JF kila mtu anahaki ya kuongea. Ustaarabu mngesubiri story iishe hapo ndo muanze kujudge, maana hivi vyote nilivyoandika na ushahidi navyo kwa picha, Contracts nilizoingia nawateja zangu zote ninazo mpaka Iryn.
Story haijaisha mtu watu wameanza kukosoa anyway ndo wabongo walivyo, sinaga muda na JF ila haya matukio yalinitokea ni kweli na nilikua ndo nimeanza kuingia kwenye kiini cha story na nilikua nimepanga kuandika Epsodes 30 tu.
Wabongo tunakosa kitu kinaitwa patient hapa ndo tunafeli sana, story haijaisha hata mjue lengo la kichwa cha story lakini watu wameanza kushout. Siwezi endelea kuandika kwa style hii inakatisha tamaa, ndomana story nyingi za JF zinaishia njiani.
Wale ambao tunawasiliana PM na tumebadlishana namba tutaendelea kuwasiliana tuko pamoja, ila niseme biashara ya Uber ilinipa mafanikio sana na mpaka sasa naendelea kunufaika.
ALL THE BEST
Mimi naanza vipi kujuana na wapuuzi kama wewe? Huwa sifanyi biashara na wehu!Kufanya biashara na wewe sio sababu ya kunianika, mimi ni verified member na na watu wengi tu najuana nao physically including you, sasa kunijua jina na details zangu kadhaa usidhani unayajua maisha yangu yote.
Nilikuwa msamvu najenga hostel ya mzee pale MUM ndio nikawasiliana nawewe wakati nje ya hapo hatujuani kihivyo
Ohoooπ€£Bwana Hassan Killo, uko Msamvu hapo Morogoro. Usiniulize nimekufahamu vipi, nakushauri tu uache kusumbua watu humu. Eti "nimeruka na mademu wakali Dubai", hapo Msamvu kuna sehemu inaitwa Dubai?
Kwa mfano, hii story ikiwa ni fiction, wewe unapungukiwa nini? Stop this nonsense!
Tunaomba hata kwa uchache atuambie mwisho wa iryn na muajemi, mamA 2, MARRY NA PRISCA NA MAGGIE, NA JE MPAKA SASA ANAWASILIANA NA IRYN HAYO TUU INSIDER PLSNimejaribu kupitia post za nyuma za INSIDER MAN nimegundua jamaa yuko real sana, kwanini nasema yuko real?
1. Kuna uzi aliandika kuhusu kukata tamaa ya kuapply kazi
2. Kuna uzi alindika akiomba kazi
3. Aliomba msaada maana akikutana na dem wake anakojoa haraka, aliomba ushauri humu JF.
Jamaa anaonekana real na so confident, Smart na Genius, personal life yake anaiweka sana JF bila kujali.
Kwenye hii story nilitaka kujua.
1. Iryn ni nani? Maana anaonekana sio mtu wa kawaida.
2. Muajemi mwisho wake
3. Mary na Prisca
4. Mama J
5. Maisha yake ya sasa, anafanya nini.
Wahuni wameharibu thread.
Mimi kinachonipa Mawazo ni anavyodai anatetea walaji .Mimi naanza vipi kujuana na wapuuzi kama wewe? Huwa sifanyi biashara na wehu!
Acha wivu mtoto wa kiume. Yani ukisikia mtu anashobokewa na wanawake wewe roho inakuuma? Kwani wewe haudindi? Au ulitaka umshobokee wewe?
Soma story, kama haikuvutii pita kule. Acha wanaoipenda wafuatilie.
I have my reliable sources of information. Ukiendelea kusumbua naweka na picha zako. Nimetumiwa hapa naziangalia, sura mbovu kama gari la jeshi!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi naanza vipi kujuana na wapuuzi kama wewe? Huwa sifanyi biashara na wehu!
Acha wivu mtoto wa kiume. Yani ukisikia mtu anashobokewa na wanawake wewe roho inakuuma? Kwani wewe haudindi? Au ulitaka umshobokee wewe?
Soma story, kama haikuvutii pita kule. Acha wanaoipenda wafuatilie.
I have my reliable sources of information. Ukiendelea kusumbua naweka na picha zako. Nimetumiwa hapa naziangalia, sura mbovu kama gari la jeshi!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hapa wewe ndio unaonekana mtoto pampja na kuwa u member humu Toka enzi zile SUMAYE,LOWASSA, KINGUNGE wakiimba slogan ya Mabadiliko Lowasa... MUNGU anakosolewa kwa lipi Sasa? Na wapi huko hukosolewa??Hakuna mtu aliyekutuma kuanzisha hii thread ulianziasha kwa utashi wako. Kama kukosolewa ndo kunakukimbiza basi kweli hii ni fiction kama wana wanvodai. Mungu mwenyewe anakosolewa iwe wewe, mkuu acha utoto basi.
Mtu mwenye akili timamu, hawezi kusimulia tukio halisi humu JF bila kutwist baadhi ya matukio ili kulinda identity yake na ya watu anaowazungumzia.Wakuu nimefuatilia mada muda mrefu acha nami nichangie.
Kiukweli mwanzoni mwandishi alikuwa analeta visa vya kweli ila baadae kuna namna alitaka kudanganya na ndipo kelele za kupinga zikaanza. Cha msingi me naona tumwombe jamaa aendelee na story ila aandike mambo ya kweli maana sio kila mtu ni mjinga humu. Hata mimi naifuatilita story ila kuna matukio kayaandika hayana uhalisia, ni kama anachangamsha tu hadithi
Hiyo case ya kubadili maneno comment uliyoiquote subiri ban kutoka kwa mods.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama umesoma literature utajua kuwa katika kusimulia story hata kama ni kisa Cha ukweli lazima kuweka vionjo vya kuifanya ivutie ili kufikisha ujumbe husika..aseme uongo ama la hadithi ni yake na yeye ndie anayejua vile anataka kuisimulia...si wewe au msomaji yeyote ..Mpeni uhuru afanye atakacho si kumuingilia Kila maraWakuu nimefuatilia mada muda mrefu acha nami nichangie.
Kiukweli mwanzoni mwandishi alikuwa analeta visa vya kweli ila baadae kuna namna alitaka kudanganya na ndipo kelele za kupinga zikaanza. Cha msingi me naona tumwombe jamaa aendelee na story ila aandike mambo ya kweli maana sio kila mtu ni mjinga humu. Hata mimi naifuatilita story ila kuna matukio kayaandika hayana uhalisia, ni kama anachangamsha tu hadithi
πππBwana Hassan Killo, uko Msamvu hapo.
Sasa kama ni kweli mtu hawezi kusimulia matukio yote yakawa kweli na lazima atwist story yake, hapo story inabaki kiwa ni ya kweli au ya kutunga?Mtu mwenye akili timamu, hawezi kusimulia tukio halisi humu JF bila kutwist baadhi ya matukio ili kulinda identity yake na ya watu anaowazungumzia.
Ukiwa na akili timamu, utalifahamu hilo, na halitakupa shida.
Ukiwa na gubu, ndio utataka kuthibitishiwa some personal details, upewe hadi namba ya Iryn wakati uko zako Kasulu huko.
By the way, story imegusa mambo mengi. Kuna vijana wanafanya Uber humu, I'm sure wamepata madini ya kutosha kwa kazi yao. Kuna masuala ya familia, kuna masuala ya kutengeneza connections na kadhalika.
Sasa kama story yenye mambo mengi namna hii, wewe inakugusa tu ambapo jamaa anashobokewa na mademu, basi hilo ni tatizo lako binafsi!