Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Asipo sikia hili ameisha humu tunachekeana tu. Ila kuna unafki mkubwa sana. Watu hawapendi na watu wana wivu ulio ambatana na chuki kali sana. Talking from experience ...
Yah nimemtahadharisha ndugu yetu maana mafisi wengi humu. Yeye aendelee tu na story inatosha kumuelezea namna alivyo au anapoishi hapo kijitonyama na kazi zake lakini ibaki hivyo hivyo general asiweke specific location au picha.

Pia Insider usije kudisclose hiyo organisation aliyofanyia mama yake acha hivyo hivyo anonymous. Mpaka sasa uko vizuri tu hujadisclose identity yake kiasi cha watu kupata access au kumjua which is good.

Next episodes please tunasubiri ujue umetuchomesha mahindi sana kuanzia jana
 
Asipo sikia hili ameisha humu tunachekeana tu. Ila kuna unafki mkubwa sana. Watu hawapendi na watu wana wivu ulio ambatana na chuki kali sana. Talking from experience ...

[emoji28][emoji28][emoji28]wewe ulikosea Jana,usirudie kufanya hivyo wenzako wamefanya kama kukukomoa
Kile ulicho kifanya ni utoto na waliokufanyia pia wamefanya upuuzi
 
Yah nimemtahadharisha ndugu yetu maana mafisi wengi humu. Yeye aendelee tu na story inatosha kumuelezea namna alivyo au anapoishi hapo kijitonyama na kazi zake lakini ibaki hivyo hivyo general asiweke specific location au picha.

Pia Insider usije kudisclose hiyo organisation aliyofanyia mama yake acha hivyo hivyo anonymous. Mpaka sasa uko vizuri tu hujadisclose identity yake kiasi cha watu kupata access au kumjua which is good.

Next episodes please tunasubiri ujue umetuchomesha mahindi sana kuanzia jana

Niko makini sana mkuu jana heineken zilikuwa zimeanza kukolea ila siwezi fanya huu ujinga.
 
[emoji28][emoji28][emoji28]wewe ulikosea Jana,usirudie kufanya hivyo wenzako wamefanya kama kukukomoa
Kile ulicho kifanya ni utoto na waliokufanyia pia wamefanya upuuzi
The good news wamepoteza muda wao tu na kunipa namba zao ambazo nitazifanyia kazi mmoja baada ya mwingine
 
Yah nimemtahadharisha ndugu yetu maana mafisi wengi humu. Yeye aendelee tu na story inatosha kumuelezea namna alivyo au anapoishi hapo kijitonyama na kazi zake lakini ibaki hivyo hivyo general asiweke specific location au picha.

Pia Insider usije kudisclose hiyo organisation aliyofanyia mama yake acha hivyo hivyo anonymous. Mpaka sasa uko vizuri tu hujadisclose identity yake kiasi cha watu kupata access au kumjua which is good.

Next episodes please tunasubiri ujue umetuchomesha mahindi sana kuanzia jana
Kweli issue ya kuweka picha si nzur labda angeweka half picture isiyoonyesha sura labda kamwa alivyofanyags yake kuonyesha nguo alizonunuliwa na mbostwana labda, pia izo location ajitahid kuzificha watu wasifahamu anaishi wap n.k
 
Watu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,

hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.

Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 😅😅😆😅😅 you guys na nyie mnaamini kabisa.....

hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.😁🤣😂 afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro 😆😅😅😅😅😁😁muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....

mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....

Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula 😁😁😁

Wewe hunaga gundu kabisa yaani.
Sama vizuri acha makasiriko
 
Back
Top Bottom