Rosicky
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 1,202
- 2,045
Nimefuta alama yakoNaweka alama isinipite...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefuta alama yakoNaweka alama isinipite...
NotedEpisode ya kesho nitaipost leo 19:00 kesho sitokuwepo mjini,
MuajemiEPISODE 37
“A TRUE STORY BY INSIDER”
Muda huu milango ilikuwa wazi ikitusubiri sisi kuingia ndani ili tujihakikishie kama Iryn yuko ndani ama laah. Kila mmoja alionekana kuwa na wasiwasi sana na hofu ilitawala mahali hapa, mimi ndo niliyekuwa wakwanza kufungua mlango na kuingia ndani.
ENDELEA………..
Baada ya kuingia ndani alifuatia jamaa na kisha Lucy ila Rose alishindwa kuingia maana alikuwa analia pale nje. Seblen mazingira yalikuwa sawa na mimi nilikwenda moja kwa moja mpaka kwenye mlango wa chumba chake. Mlango ulikuwa hujafungwa ila umerudishiwa tu na nilifungua na kuingia ndani.
Mbele yangu nilikuwa nakitizama kitanda ambacho kilikuwa nashuka la kujifunika ambalo halijakunjwa, ni kama mtu aliamka bila kutandika kitanda na kukunja shuka. Na pale kitandani ilionekana simu yake ya iphone na ilikuwa imezimwa. Na mimi niliitambua ndo simu yake anayotumia siku zote.
Chumba chake kilikuwa kinatoa harufu nzuri sana kwakweli na muda huu Rose alikuwa ameingia chumbani.
Tulikagua bafuni na hakukuwa na dalili yote mbaya na tulikwenda chumba kingine na jikoni lakini hakukuwa na sign yoyote.
MIMI: “Mpaka sasa tumejidhirisha mtu hayupo na mlango ulifungwa kwa nje.”
JAMAA: “Kitandani panaokena alikuwa kalala na kwanini simu asahau kitandani na wakati inaonekana kabisa?.”
ROSE: “Hata mimi nina wasiwasi na hili kwakweli, unataka kusema ametekwa?”
JAMAA: “Inawezekana na hawa waliofanya hii kazi watakuwa ni professional kabisa.”
ROSE: “Haiwezekani simu usahau kitandani na inaonekana kabisa kwa macho.”
JAMAA: “Kweli sio rahisi hata hili mimi ndo linanitia mashaka sana.”
LUCY: “Mimi nahisi atakuwa kaondoka na huyo Muajemi ila wanakuchora tu.”
ROSE: “Sasa tunafanyaje guys?”
JAMAA: “Nafikiri tujadiliane kuhusu next step.”
LUCY: “Mimi nafikiri Insider ufanye juu chini kesho umpate mama Janeth.”
MIMI: “Guys kesho mimi nitakuwa na majibu yaliyokamilika, suala la Police siliungi mkono kabisa.”
JAMAA: “Kesho fundi atakuja kuweka vitasa vipya tutawasiliana but kesho tuwe na maamuzi sahihi.”
Baada ya makubalino tulirudishia mlango vizuri na tukaagana pale.
Baada ya kumaliza maongezi mimi niliondoka na Lucy lengo nim-escort nimwache pale Mlimani city achukue bajaji za Makongo Juu. Muda huu ilikuwa saa 4 usiku tayari, baada ya kufika maeneo yale ya Mlimani tukaona bora twende Samaki samaki tukapoteze mawazo.
Baada ya kufika pale Samaki samaki tulikaa kwenye meza za nje kabisa na baada ya mhudumu kufika niliagiza Heineken na Lucy aliagiza Desperados.
MIMI: “Nakunywesha hapa ili nika kut*mbe”
LUCY: “Hahahaa namwonea huruma sana mke wako, mpaka sasa hujarudi home unahangaika na kina Lucy.”
MIMI: “Mke wangu sio msumbufu hanaga nongwa.”
LUCY: “Mhh haya, Insider mimi nawazo hapa.”
MIMI: “Wazo gani?”
LUCY: “Mimi nahisi Iryn ameamua kukufanyia mchezo na Mama Janeth.”
MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”
LUCY: “Hauna muda mrefu toka upewe mkataba mpya na majukumu mapya what if kama wanataka kuona maamuzi yako na jinsi utakavyo deal na hili suala kwenye kampuni?.”
MIMI: “Lucy mimi sidhani ikawa hivyo.”
LUCY: “Kwanini wote hawapatikani na hakuna taarifa yoyote juu yao?, Iryn atakuwa na mama Janeth roho inaniambia hivyo.”
MIMI: “Kidogo maneno yako yananiingia.” Na muda huu nilikuwa namalizia bia yangu ya kwenye glass.
LUCY: “Insider vipi kuhusu mishahara maana mwisho wa mwezi ni week ijayo sio mbali.”
MIMI: “Next week mbali naamini atakuwa karudi na tumejua aliko.”
LUCY: “Ni sawa ila wewe kama Operation manager inabidi uanze kuandaa mchakato just incase.”
MIMI: “Una wafanyakazi wangapi kwenye ofisi zako?”
LUCY: “Mikocheni wako 4 na sinza 3, pamoja na mimi jumla tuko 8.”
MIMI: “Na mshahara anawalipaje?”
LUCY: “Mimi nalipwa 600,000 na wengine 300,000/= , pia kuna bonus za kila mwisho wa mwezi.”
MIMI: “Ok sawa mimi nitawalipa mshahara ila masuala ya bonus ataclear mwenyewe, na hizo bonus zinakuwaje?”
LUCY: “Inategemea na idadi ya wateja walionunua wigi na gharama za wigi, kwa pale ofisini mtu akikosa sana hakosi 100,000 kama bonus kwa mwezi.”
MIMI: “Hivi Lucy ulifahamianaje na Iryn?”
LUCY: “Nilianza kufanya kazi na mama yake mwishoni kabisa kabla hajafariki ndo mpaka sasa. Kipindi hicho nilikuwa simjui Iryn ila nilikuwa najua mama yake ana bint mkubwa.”
MIMI: “Una elimu gani?”
LUCY: “Nina Diploma ya Procurement”
MIMI: “Umeridhika kuwa saloon?”
LUCY: “Insider nimeridhika kabisa licha ya mshahara bado napewa Bonus, bado najiongeza mle ndani mimi ndo top kila kitu lazima wanifate mimi. Kwa siku kama mambo magumu sikosi 20,000 weekend naweza ingiza pesa mingi tu kama wigi zitatoka nyingi, bado nawauzia saloon zingine napata cha juu. Nikipiga hesabu kwa mwezi si haba unafikiri ofisi gani naweza pata hela kama hapa kwa Iryn?. Nilikuwa napewa na pesa za matumizi ya ofisi ya kila mwezi ila kwa sasa yatakuwa chini yako, hata hapa nawaza kama Iryn asiporudi itakuwaje.”
MIMI: “Aisee kumbe leo kidogo umenipa mwanga, sasa naomba wafanyakazi wako wasijue lolote linaloendelea kuhusu Iryn. Pia naomba nitumie report za toka jumatatu ulizotuma kwa Iryn, na kuanzia jumatatu mauzo usiingize kwa bank utakuwa unanikabidhi cash ili niangalie suala la kuwalipa mishahara.”
LUCY: “Sawa haina shida Insider.”
Tulikaa pale mpaka saa 6 na tuliongea mengi sana na Lucy na nilimkodia Uber ili impeleke kwake na mimi nikarudi home.
Wakati nimefika mataa ya Kawe Prisca alianza kupiga simu na mimi nikapokea simu yake.
MIMI: “Prisca hizi simu za usiku vipi? Mbona unakuwa huelewi unasahau makubaliano yetu?”.
PRISCA: “Sorry nilijua leo weekend utakuwa hujarudi home.”
MIMI: “Acha mazoea tafadhali, ningekuwa home na wife akapokea? Prisca usiniletee matatizo tafadhali. Niambie unataka nini?”
PRISCA: “Insider mimi siwezi kukaa bila kusikia sauti yako, hapa nimekusikia sasa nitalala kwa amani.”
MIMI: “Prisca mimi naona tuachane kama mambo yenyewe ndo haya, sitaki kuona Mke wangu anaondoka kwaajili yako.”
PRISCA: “Insider unajua unanitesa sana hivi unanipenda kweli?”
MIMI: “Prisca byee Usiku mwema.”
Ni maongezi yaliyochukua muda mrefu mpaka nafika home, na muda huu niliwaza kumpiga chini Prisca maana niliona kadri siku zinavyokwenda anazidi kuwa hatari, na angeniletea shida kwenye ndoa yangu.
********
Jumapili asubuhi nilijaribu kumtafuta Mama Janeth kwa whatsapp lakini hakuwa online, nikawaza kesho nitakwenda ofisini kwake Masaki.
Kwa upande mwingine niliwasiliana na Sumaiya nikamwambia anitumie report zote alizotuma kwa Iryn kuanzia Jumatatu, na akiwa anatuma report awe anatuma na kwangu pia mpaka Iryn atakaporudi.
Baada ya kupata breakfast nilikwenda Mbweni ili kuonana na Jane kwa lengo la kuendelea na mafunzo ya udereva. Hii siku nilimpeleka mpaka barabara za lami na tulikwenda Ununio road, na ndo tulikofanyia zoezi huko.
Maendeleo yake yalikuwa mazuri kwakweli na Jane alikuwa na hamu ya kujua kuendesha gari mapema. Tuliendelea na zoezi letu mpaka mchana ndo nikamrudisha kwake, na mimi sikutaka kukaa pale kwake nikaaga na nikaondoka kurudi home.
Baada ya kurudi home niliingia chumbani na nilikuwa na mawazo sana, niliwaza huenda Muajemi kafanya kitu mbaya kwa Iryn. Niliamua kumtafuta kwa Whatsapp na hakuwa online muda huu. Nilianza kuingia na maswali kwanini Muajemi hapatikani? na toka jana hajanirudia niliwaza something fishy is going on.
Kutokana na mawazo nikiwa pale kitandani hatimae nilipitiwa na usingizi nikalala. Lakini nilishtushwa na simu iliyokuwa inaita baada ya kuangalia alikuwa ni Rose akipiga na nilipokea simu yake kwa haraka sana.
“Hi Rose”
“Insider njo hapa home haraka we got something.”
“I’m coming ASAP”
Kucheki muda ilikuwa 17:30 jioni hivyo nikawasha gari nikaondoka kuelekea Kijitonyama, na nilifanya kuwasiliana na Lucy akasema anachukua boda nitamkuta pale.
Nilitumia dakika 20 kuwasili Kijitonyama na baada ya kupark gari pale nje niliingia ndani na niliwakuta wapo na Mzee wa makamo akiwa amevaa sare za mgambo. Tulisalimiana pale na muda huu Lucy alikuwa anafika pale kwa Iryn.
ROSE: “Jiran sisi leo tuliendelea na uchunguzi wetu kwa majirani na huyu mzee ni moja ya walioshuhudia jambo.”
MIMI: “Jambo gani Jirani.”
ROSE: “Huyu Mzee ni Mlinzi nyumba ya pili ile nyeupe, anasema Jumatatu usiku aliiona Noah nyeusi hapo getin nje, aliiona wakati inaingia na haikuchukua dakika 5 ikaondoka kwa kasi.”
MIMI: “Mzee ilikuwa muda gani kama unakumbuka?”
MZEE: “kwenye saa 7 Usiku hivi, wakati inaingia niliiona mpaka inapark hapo nje getini na mimi niliendelea na mambo yangu, wakati inatoka ilikuwa kwa kasi sana na niliona inamaliza kukata kona kushoto.”
JAMAA: “Bro! unakumbuka nilisema jana hawa waliohusika ni professional sana, haiwezekani mtu aondoke asahau simu kitandani na ikiwa inaonekana vile ni ngumu sana.”
LUCY: “Inawezekana waliingia ndani wakamkuta kitandani au aliwafungulia mlango mwenyewe.”
MZEE: “Kama alivyosema kaka hapa hawa waliohusika ni wazoefu, hii milango inafunguka vizuri kabisa na kuna vifaa special wanatumia. Ingekuwa hii milango ni salama sisi hata tusingekuwa na kazi ya kulinda usiku.”
JAMAA: “Bro labda nikuulize maana wewe ndo unamjua vizuri Iryn, katika sehem zote mlizopita ana ndugu au rafiki mwenye gari ya aina hii nyeusi?”
MIMI: “Hapana Iryn sio wa marafiki kabisa kwa maelezo ya hapa hata mimi napatwa na wasiwasi wa kutekwa.”
LUCY: “Insider Bossy Iryn ametekwa kwa mazingira tuliyoona jana na maelezo ya leo naona huu ndo ukweli.”
Nilishangaa sana kuona Lucy leo amekubaliana na kutekwa kwa Iryn, wakati alikuwa mgumu sana kukubali hili jambo na muda huu alikuwa ameanza kutia huruma. Nilihisi atakuwa anawaza kibarua chake itakuwaje.
ROSE: “Guys nadhani wazo la Police leo mtalitilia maanani.”
MZEE: “Mkaripoti mapema aanze kutafutwa, upelelezi na uchunguzi uanze, mkizidi kuchelewa mtazidi kujiweka kwenye wakati mgumu.”
LUCY: “Insider vipi kuhusu Mama Janeth umefanikiwa kumpata?”
MIMI: “Mama Janeth nataka kwenda kesho mapema ofisini kwake. Mama Janeth ndo ameshika Karata ya mwisho kwenye hili suala na kesho mapema mimi nitakwenda ofisini kwake hata kama sitompata pale najua nitapata mawasiliano yake.”
JAMAA: “Nafikiri tusubiri kesho hiyo asubuhi tutakuwa na majibu tayari, ikishindikana twende Police na mimi kesho siendi kazini.”
LUCY: “Kesho ikishindikana twendeni Police.”
ROSE: “Same here kesho siendi Kazini nitasubiri majibu.”
MIMI: “Guys kesho tumekubaliana kama itashindikana tunakwenda Police, no hesitation this time.”
Saa mbili usiku nilitoka pale na nilikuwa na Lucy ambaye nilimpa lift ili nimwache pale Mlimani City mimi niondoke. Lakini huku njiani Lucy alionekana kuwa na mawazo sana mpaka nilipatwa na huruma.
“Ulisema unakaa Makongo juu ipi?”
“CCM palepale kituoni.”
Niliamua kumpa lift mpaka Makongo CCM kituoni na mimi nilikwenda moja kwa moja na Goba Road kurudi home.
Baada ya kufika home na kushuka kwa gari niliwakuta Junior na dada yake wako nje kibarazani. Na muda huu Junior alianza kunililia ikabidi nimnyanyue na tukaingia ndani. Maana nilikuwa nataka kwenda kuoga kwanza ikabidi nitoe simu nimwekee katuni awe anaangalia ili nipate upenyo wa kukimbia.
Baada yakutoka kuoga nilikuwa na mawazo sana na nilikuwa pale kitandani nawaza nani atakuwa amemteka Iryn?. Niliwaza mimi ndo nitakuwa mstari wa mbele kuisaidia Police katika kufanya uchunguzi na suala la Mama Janeth kutokupatikana ndo lilikuwa linazidi kunipa mawazo sana.
Muda huu simu yangu ndogo ilianza kuita na kucheki alikuwa ni Prisca sikupokea nikapotezea, alipiga tena kwa mara nyingine ikabidi nipokee tu nimsikilize anasema nini.
MIMI: “Prisca mbona mgumu sana wewe kuelewa?”
PRISCA: “Insider mimi sina story ila kuna jambo unatakiwa ulifahamu before its too late.”
MIMI: “Nakusikiliza Go on”
PRISCA: “Insider I’m pregnant.”
MIMI: “What? Una mimba yangu?
PRISCA: “Ndio nasifikirii kuitoa, kama utamkataa mtoto wako sawa ila tambua hivyo hii mimba ni yako.”
Na prisca alikata simu muda huu, taarifa za Prisca hazikuwa nzuri kwa upande wangu sababu nilikuwa na mke tayari na sikuwahi kufikiri kama kuna siku nitakuja kuwa na mtoto wa nje.
Nilianza kujuta muda huu nikajisemea kwakweli “HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA”. Hili bom la nyuklia nilitengeneza mwenyewe sasa limelipuka na hapa ni mwanzo tu. Nilikuwa kwenye majuto makubwa sana maana hata condom nilikuwa situmii tukikutana.
Na wakati bado niko kitandani niko kwenye mawazo mazito aliingia wife akiwa ameshika simu na mbele yangu nilikuwa nikiitizama picha niliyopiga na Iryn swimming kule Zanzibar.
“Muda mrefu sana nilikuwa na wasiwasi na huyu Iryn kumbe hata Zanzibar mlienda kwaajili ya kula bata, picha zenu zinaonesha mlikuwa kwenye HUBA zito sana.”
TUTAENDELEA
JUMAMOSI
Weka mbili kama kawaidaEpisode ya kesho nitaipost leo 19:00 kesho sitokuwepo mjini,
Pole mkuuDah...Jamaa yangu sana niliumia sana. Dunia inaenda kasi sana nyuma ya pazia si mchezo
Dah imeisha patamu sana , dah Aiseee mpaka naumiaEPISODE 37
“A TRUE STORY BY INSIDER”
Muda huu milango ilikuwa wazi ikitusubiri sisi kuingia ndani ili tujihakikishie kama Iryn yuko ndani ama laah. Kila mmoja alionekana kuwa na wasiwasi sana na hofu ilitawala mahali hapa, mimi ndo niliyekuwa wakwanza kufungua mlango na kuingia ndani.
ENDELEA………..
Baada ya kuingia ndani alifuatia jamaa na kisha Lucy ila Rose alishindwa kuingia maana alikuwa analia pale nje. Seblen mazingira yalikuwa sawa na mimi nilikwenda moja kwa moja mpaka kwenye mlango wa chumba chake. Mlango ulikuwa hujafungwa ila umerudishiwa tu na nilifungua na kuingia ndani.
Mbele yangu nilikuwa nakitizama kitanda ambacho kilikuwa nashuka la kujifunika ambalo halijakunjwa, ni kama mtu aliamka bila kutandika kitanda na kukunja shuka. Na pale kitandani ilionekana simu yake ya iphone na ilikuwa imezimwa. Na mimi niliitambua ndo simu yake anayotumia siku zote.
Chumba chake kilikuwa kinatoa harufu nzuri sana kwakweli na muda huu Rose alikuwa ameingia chumbani.
Tulikagua bafuni na hakukuwa na dalili yote mbaya na tulikwenda chumba kingine na jikoni lakini hakukuwa na sign yoyote.
MIMI: “Mpaka sasa tumejidhirisha mtu hayupo na mlango ulifungwa kwa nje.”
JAMAA: “Kitandani panaokena alikuwa kalala na kwanini simu asahau kitandani na wakati inaonekana kabisa?.”
ROSE: “Hata mimi nina wasiwasi na hili kwakweli, unataka kusema ametekwa?”
JAMAA: “Inawezekana na hawa waliofanya hii kazi watakuwa ni professional kabisa.”
ROSE: “Haiwezekani simu usahau kitandani na inaonekana kabisa kwa macho.”
JAMAA: “Kweli sio rahisi hata hili mimi ndo linanitia mashaka sana.”
LUCY: “Mimi nahisi atakuwa kaondoka na huyo Muajemi ila wanakuchora tu.”
ROSE: “Sasa tunafanyaje guys?”
JAMAA: “Nafikiri tujadiliane kuhusu next step.”
LUCY: “Mimi nafikiri Insider ufanye juu chini kesho umpate mama Janeth.”
MIMI: “Guys kesho mimi nitakuwa na majibu yaliyokamilika, suala la Police siliungi mkono kabisa.”
JAMAA: “Kesho fundi atakuja kuweka vitasa vipya tutawasiliana but kesho tuwe na maamuzi sahihi.”
Baada ya makubalino tulirudishia mlango vizuri na tukaagana pale.
Baada ya kumaliza maongezi mimi niliondoka na Lucy lengo nim-escort nimwache pale Mlimani city achukue bajaji za Makongo Juu. Muda huu ilikuwa saa 4 usiku tayari, baada ya kufika maeneo yale ya Mlimani tukaona bora twende Samaki samaki tukapoteze mawazo.
Baada ya kufika pale Samaki samaki tulikaa kwenye meza za nje kabisa na baada ya mhudumu kufika niliagiza Heineken na Lucy aliagiza Desperados.
MIMI: “Nakunywesha hapa ili nika kut*mbe”
LUCY: “Hahahaa namwonea huruma sana mke wako, mpaka sasa hujarudi home unahangaika na kina Lucy.”
MIMI: “Mke wangu sio msumbufu hanaga nongwa.”
LUCY: “Mhh haya, Insider mimi nawazo hapa.”
MIMI: “Wazo gani?”
LUCY: “Mimi nahisi Iryn ameamua kukufanyia mchezo na Mama Janeth.”
MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”
LUCY: “Hauna muda mrefu toka upewe mkataba mpya na majukumu mapya what if kama wanataka kuona maamuzi yako na jinsi utakavyo deal na hili suala kwenye kampuni?.”
MIMI: “Lucy mimi sidhani ikawa hivyo.”
LUCY: “Kwanini wote hawapatikani na hakuna taarifa yoyote juu yao?, Iryn atakuwa na mama Janeth roho inaniambia hivyo.”
MIMI: “Kidogo maneno yako yananiingia.” Na muda huu nilikuwa namalizia bia yangu ya kwenye glass.
LUCY: “Insider vipi kuhusu mishahara maana mwisho wa mwezi ni week ijayo sio mbali.”
MIMI: “Next week mbali naamini atakuwa karudi na tumejua aliko.”
LUCY: “Ni sawa ila wewe kama Operation manager inabidi uanze kuandaa mchakato just incase.”
MIMI: “Una wafanyakazi wangapi kwenye ofisi zako?”
LUCY: “Mikocheni wako 4 na sinza 3, pamoja na mimi jumla tuko 8.”
MIMI: “Na mshahara anawalipaje?”
LUCY: “Mimi nalipwa 600,000 na wengine 300,000/= , pia kuna bonus za kila mwisho wa mwezi.”
MIMI: “Ok sawa mimi nitawalipa mshahara ila masuala ya bonus ataclear mwenyewe, na hizo bonus zinakuwaje?”
LUCY: “Inategemea na idadi ya wateja walionunua wigi na gharama za wigi, kwa pale ofisini mtu akikosa sana hakosi 100,000 kama bonus kwa mwezi.”
MIMI: “Hivi Lucy ulifahamianaje na Iryn?”
LUCY: “Nilianza kufanya kazi na mama yake mwishoni kabisa kabla hajafariki ndo mpaka sasa. Kipindi hicho nilikuwa simjui Iryn ila nilikuwa najua mama yake ana bint mkubwa.”
MIMI: “Una elimu gani?”
LUCY: “Nina Diploma ya Procurement”
MIMI: “Umeridhika kuwa saloon?”
LUCY: “Insider nimeridhika kabisa licha ya mshahara bado napewa Bonus, bado najiongeza mle ndani mimi ndo top kila kitu lazima wanifate mimi. Kwa siku kama mambo magumu sikosi 20,000 weekend naweza ingiza pesa mingi tu kama wigi zitatoka nyingi, bado nawauzia saloon zingine napata cha juu. Nikipiga hesabu kwa mwezi si haba unafikiri ofisi gani naweza pata hela kama hapa kwa Iryn?. Nilikuwa napewa na pesa za matumizi ya ofisi ya kila mwezi ila kwa sasa yatakuwa chini yako, hata hapa nawaza kama Iryn asiporudi itakuwaje.”
MIMI: “Aisee kumbe leo kidogo umenipa mwanga, sasa naomba wafanyakazi wako wasijue lolote linaloendelea kuhusu Iryn. Pia naomba nitumie report za toka jumatatu ulizotuma kwa Iryn, na kuanzia jumatatu mauzo usiingize kwa bank utakuwa unanikabidhi cash ili niangalie suala la kuwalipa mishahara.”
LUCY: “Sawa haina shida Insider.”
Tulikaa pale mpaka saa 6 na tuliongea mengi sana na Lucy na nilimkodia Uber ili impeleke kwake na mimi nikarudi home.
Wakati nimefika mataa ya Kawe Prisca alianza kupiga simu na mimi nikapokea simu yake.
MIMI: “Prisca hizi simu za usiku vipi? Mbona unakuwa huelewi unasahau makubaliano yetu?”.
PRISCA: “Sorry nilijua leo weekend utakuwa hujarudi home.”
MIMI: “Acha mazoea tafadhali, ningekuwa home na wife akapokea? Prisca usiniletee matatizo tafadhali. Niambie unataka nini?”
PRISCA: “Insider mimi siwezi kukaa bila kusikia sauti yako, hapa nimekusikia sasa nitalala kwa amani.”
MIMI: “Prisca mimi naona tuachane kama mambo yenyewe ndo haya, sitaki kuona Mke wangu anaondoka kwaajili yako.”
PRISCA: “Insider unajua unanitesa sana hivi unanipenda kweli?”
MIMI: “Prisca byee Usiku mwema.”
Ni maongezi yaliyochukua muda mrefu mpaka nafika home, na muda huu niliwaza kumpiga chini Prisca maana niliona kadri siku zinavyokwenda anazidi kuwa hatari, na angeniletea shida kwenye ndoa yangu.
********
Jumapili asubuhi nilijaribu kumtafuta Mama Janeth kwa whatsapp lakini hakuwa online, nikawaza kesho nitakwenda ofisini kwake Masaki.
Kwa upande mwingine niliwasiliana na Sumaiya nikamwambia anitumie report zote alizotuma kwa Iryn kuanzia Jumatatu, na akiwa anatuma report awe anatuma na kwangu pia mpaka Iryn atakaporudi.
Baada ya kupata breakfast nilikwenda Mbweni ili kuonana na Jane kwa lengo la kuendelea na mafunzo ya udereva. Hii siku nilimpeleka mpaka barabara za lami na tulikwenda Ununio road, na ndo tulikofanyia zoezi huko.
Maendeleo yake yalikuwa mazuri kwakweli na Jane alikuwa na hamu ya kujua kuendesha gari mapema. Tuliendelea na zoezi letu mpaka mchana ndo nikamrudisha kwake, na mimi sikutaka kukaa pale kwake nikaaga na nikaondoka kurudi home.
Baada ya kurudi home niliingia chumbani na nilikuwa na mawazo sana, niliwaza huenda Muajemi kafanya kitu mbaya kwa Iryn. Niliamua kumtafuta kwa Whatsapp na hakuwa online muda huu. Nilianza kuingia na maswali kwanini Muajemi hapatikani? na toka jana hajanirudia niliwaza something fishy is going on.
Kutokana na mawazo nikiwa pale kitandani hatimae nilipitiwa na usingizi nikalala. Lakini nilishtushwa na simu iliyokuwa inaita baada ya kuangalia alikuwa ni Rose akipiga na nilipokea simu yake kwa haraka sana.
“Hi Rose”
“Insider njo hapa home haraka we got something.”
“I’m coming ASAP”
Kucheki muda ilikuwa 17:30 jioni hivyo nikawasha gari nikaondoka kuelekea Kijitonyama, na nilifanya kuwasiliana na Lucy akasema anachukua boda nitamkuta pale.
Nilitumia dakika 20 kuwasili Kijitonyama na baada ya kupark gari pale nje niliingia ndani na niliwakuta wapo na Mzee wa makamo akiwa amevaa sare za mgambo. Tulisalimiana pale na muda huu Lucy alikuwa anafika pale kwa Iryn.
ROSE: “Jiran sisi leo tuliendelea na uchunguzi wetu kwa majirani na huyu mzee ni moja ya walioshuhudia jambo.”
MIMI: “Jambo gani Jirani.”
ROSE: “Huyu Mzee ni Mlinzi nyumba ya pili ile nyeupe, anasema Jumatatu usiku aliiona Noah nyeusi hapo getin nje, aliiona wakati inaingia na haikuchukua dakika 5 ikaondoka kwa kasi.”
MIMI: “Mzee ilikuwa muda gani kama unakumbuka?”
MZEE: “kwenye saa 7 Usiku hivi, wakati inaingia niliiona mpaka inapark hapo nje getini na mimi niliendelea na mambo yangu, wakati inatoka ilikuwa kwa kasi sana na niliona inamaliza kukata kona kushoto.”
JAMAA: “Bro! unakumbuka nilisema jana hawa waliohusika ni professional sana, haiwezekani mtu aondoke asahau simu kitandani na ikiwa inaonekana vile ni ngumu sana.”
LUCY: “Inawezekana waliingia ndani wakamkuta kitandani au aliwafungulia mlango mwenyewe.”
MZEE: “Kama alivyosema kaka hapa hawa waliohusika ni wazoefu, hii milango inafunguka vizuri kabisa na kuna vifaa special wanatumia. Ingekuwa hii milango ni salama sisi hata tusingekuwa na kazi ya kulinda usiku.”
JAMAA: “Bro labda nikuulize maana wewe ndo unamjua vizuri Iryn, katika sehem zote mlizopita ana ndugu au rafiki mwenye gari ya aina hii nyeusi?”
MIMI: “Hapana Iryn sio wa marafiki kabisa kwa maelezo ya hapa hata mimi napatwa na wasiwasi wa kutekwa.”
LUCY: “Insider Bossy Iryn ametekwa kwa mazingira tuliyoona jana na maelezo ya leo naona huu ndo ukweli.”
Nilishangaa sana kuona Lucy leo amekubaliana na kutekwa kwa Iryn, wakati alikuwa mgumu sana kukubali hili jambo na muda huu alikuwa ameanza kutia huruma. Nilihisi atakuwa anawaza kibarua chake itakuwaje.
ROSE: “Guys nadhani wazo la Police leo mtalitilia maanani.”
MZEE: “Mkaripoti mapema aanze kutafutwa, upelelezi na uchunguzi uanze, mkizidi kuchelewa mtazidi kujiweka kwenye wakati mgumu.”
LUCY: “Insider vipi kuhusu Mama Janeth umefanikiwa kumpata?”
MIMI: “Mama Janeth nataka kwenda kesho mapema ofisini kwake. Mama Janeth ndo ameshika Karata ya mwisho kwenye hili suala na kesho mapema mimi nitakwenda ofisini kwake hata kama sitompata pale najua nitapata mawasiliano yake.”
JAMAA: “Nafikiri tusubiri kesho hiyo asubuhi tutakuwa na majibu tayari, ikishindikana twende Police na mimi kesho siendi kazini.”
LUCY: “Kesho ikishindikana twendeni Police.”
ROSE: “Same here kesho siendi Kazini nitasubiri majibu.”
MIMI: “Guys kesho tumekubaliana kama itashindikana tunakwenda Police, no hesitation this time.”
Saa mbili usiku nilitoka pale na nilikuwa na Lucy ambaye nilimpa lift ili nimwache pale Mlimani City mimi niondoke. Lakini huku njiani Lucy alionekana kuwa na mawazo sana mpaka nilipatwa na huruma.
“Ulisema unakaa Makongo juu ipi?”
“CCM palepale kituoni.”
Niliamua kumpa lift mpaka Makongo CCM kituoni na mimi nilikwenda moja kwa moja na Goba Road kurudi home.
Baada ya kufika home na kushuka kwa gari niliwakuta Junior na dada yake wako nje kibarazani. Na muda huu Junior alianza kunililia ikabidi nimnyanyue na tukaingia ndani. Maana nilikuwa nataka kwenda kuoga kwanza ikabidi nitoe simu nimwekee katuni awe anaangalia ili nipate upenyo wa kukimbia.
Baada yakutoka kuoga nilikuwa na mawazo sana na nilikuwa pale kitandani nawaza nani atakuwa amemteka Iryn?. Niliwaza mimi ndo nitakuwa mstari wa mbele kuisaidia Police katika kufanya uchunguzi na suala la Mama Janeth kutokupatikana ndo lilikuwa linazidi kunipa mawazo sana.
Muda huu simu yangu ndogo ilianza kuita na kucheki alikuwa ni Prisca sikupokea nikapotezea, alipiga tena kwa mara nyingine ikabidi nipokee tu nimsikilize anasema nini.
MIMI: “Prisca mbona mgumu sana wewe kuelewa?”
PRISCA: “Insider mimi sina story ila kuna jambo unatakiwa ulifahamu before its too late.”
MIMI: “Nakusikiliza Go on”
PRISCA: “Insider I’m pregnant.”
MIMI: “What? Una mimba yangu?
PRISCA: “Ndio nasifikirii kuitoa, kama utamkataa mtoto wako sawa ila tambua hivyo hii mimba ni yako.”
Na prisca alikata simu muda huu, taarifa za Prisca hazikuwa nzuri kwa upande wangu sababu nilikuwa na mke tayari na sikuwahi kufikiri kama kuna siku nitakuja kuwa na mtoto wa nje.
Nilianza kujuta muda huu nikajisemea kwakweli “HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA”. Hili bom la nyuklia nilitengeneza mwenyewe sasa limelipuka na hapa ni mwanzo tu. Nilikuwa kwenye majuto makubwa sana maana hata condom nilikuwa situmii tukikutana.
Na wakati bado niko kitandani niko kwenye mawazo mazito aliingia wife akiwa ameshika simu na mbele yangu nilikuwa nikiitizama picha niliyopiga na Iryn swimming kule Zanzibar.
“Muda mrefu sana nilikuwa na wasiwasi na huyu Iryn kumbe hata Zanzibar mlienda kwaajili ya kula bata, picha zenu zinaonesha mlikuwa kwenye HUBA zito sana.”
TUTAENDELEA
JUMAMOSI
Namhisi MuajemiINSIDER MAN pole sana mkuu kwa madhila uliyopitia huo ni zaidi ya msala, meku, Prisca mimba, wife kaona picha za Iryn huwezi mwambia lolote akuelewe lakini kwanini ulipiga picha kama hizo ukaweka kwenye simu huo ni uzembe wako,
Msala wa Iryn ambao wewe ndiyo shahidi namba moja
Usimamizi wa biashara je utayamudu yote meku,
Kumekucha [emoji2]EPISODE 37
“A TRUE STORY BY INSIDER”
Muda huu milango ilikuwa wazi ikitusubiri sisi kuingia ndani ili tujihakikishie kama Iryn yuko ndani ama laah. Kila mmoja alionekana kuwa na wasiwasi sana na hofu ilitawala mahali hapa, mimi ndo niliyekuwa wakwanza kufungua mlango na kuingia ndani.
ENDELEA………..
Baada ya kuingia ndani alifuatia jamaa na kisha Lucy ila Rose alishindwa kuingia maana alikuwa analia pale nje. Seblen mazingira yalikuwa sawa na mimi nilikwenda moja kwa moja mpaka kwenye mlango wa chumba chake. Mlango ulikuwa hujafungwa ila umerudishiwa tu na nilifungua na kuingia ndani.
Mbele yangu nilikuwa nakitizama kitanda ambacho kilikuwa nashuka la kujifunika ambalo halijakunjwa, ni kama mtu aliamka bila kutandika kitanda na kukunja shuka. Na pale kitandani ilionekana simu yake ya iphone na ilikuwa imezimwa. Na mimi niliitambua ndo simu yake anayotumia siku zote.
Chumba chake kilikuwa kinatoa harufu nzuri sana kwakweli na muda huu Rose alikuwa ameingia chumbani.
Tulikagua bafuni na hakukuwa na dalili yote mbaya na tulikwenda chumba kingine na jikoni lakini hakukuwa na sign yoyote.
MIMI: “Mpaka sasa tumejidhirisha mtu hayupo na mlango ulifungwa kwa nje.”
JAMAA: “Kitandani panaokena alikuwa kalala na kwanini simu asahau kitandani na wakati inaonekana kabisa?.”
ROSE: “Hata mimi nina wasiwasi na hili kwakweli, unataka kusema ametekwa?”
JAMAA: “Inawezekana na hawa waliofanya hii kazi watakuwa ni professional kabisa.”
ROSE: “Haiwezekani simu usahau kitandani na inaonekana kabisa kwa macho.”
JAMAA: “Kweli sio rahisi hata hili mimi ndo linanitia mashaka sana.”
LUCY: “Mimi nahisi atakuwa kaondoka na huyo Muajemi ila wanakuchora tu.”
ROSE: “Sasa tunafanyaje guys?”
JAMAA: “Nafikiri tujadiliane kuhusu next step.”
LUCY: “Mimi nafikiri Insider ufanye juu chini kesho umpate mama Janeth.”
MIMI: “Guys kesho mimi nitakuwa na majibu yaliyokamilika, suala la Police siliungi mkono kabisa.”
JAMAA: “Kesho fundi atakuja kuweka vitasa vipya tutawasiliana but kesho tuwe na maamuzi sahihi.”
Baada ya makubalino tulirudishia mlango vizuri na tukaagana pale.
Baada ya kumaliza maongezi mimi niliondoka na Lucy lengo nim-escort nimwache pale Mlimani city achukue bajaji za Makongo Juu. Muda huu ilikuwa saa 4 usiku tayari, baada ya kufika maeneo yale ya Mlimani tukaona bora twende Samaki samaki tukapoteze mawazo.
Baada ya kufika pale Samaki samaki tulikaa kwenye meza za nje kabisa na baada ya mhudumu kufika niliagiza Heineken na Lucy aliagiza Desperados.
MIMI: “Nakunywesha hapa ili nika kut*mbe”
LUCY: “Hahahaa namwonea huruma sana mke wako, mpaka sasa hujarudi home unahangaika na kina Lucy.”
MIMI: “Mke wangu sio msumbufu hanaga nongwa.”
LUCY: “Mhh haya, Insider mimi nawazo hapa.”
MIMI: “Wazo gani?”
LUCY: “Mimi nahisi Iryn ameamua kukufanyia mchezo na Mama Janeth.”
MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”
LUCY: “Hauna muda mrefu toka upewe mkataba mpya na majukumu mapya what if kama wanataka kuona maamuzi yako na jinsi utakavyo deal na hili suala kwenye kampuni?.”
MIMI: “Lucy mimi sidhani ikawa hivyo.”
LUCY: “Kwanini wote hawapatikani na hakuna taarifa yoyote juu yao?, Iryn atakuwa na mama Janeth roho inaniambia hivyo.”
MIMI: “Kidogo maneno yako yananiingia.” Na muda huu nilikuwa namalizia bia yangu ya kwenye glass.
LUCY: “Insider vipi kuhusu mishahara maana mwisho wa mwezi ni week ijayo sio mbali.”
MIMI: “Next week mbali naamini atakuwa karudi na tumejua aliko.”
LUCY: “Ni sawa ila wewe kama Operation manager inabidi uanze kuandaa mchakato just incase.”
MIMI: “Una wafanyakazi wangapi kwenye ofisi zako?”
LUCY: “Mikocheni wako 4 na sinza 3, pamoja na mimi jumla tuko 8.”
MIMI: “Na mshahara anawalipaje?”
LUCY: “Mimi nalipwa 600,000 na wengine 300,000/= , pia kuna bonus za kila mwisho wa mwezi.”
MIMI: “Ok sawa mimi nitawalipa mshahara ila masuala ya bonus ataclear mwenyewe, na hizo bonus zinakuwaje?”
LUCY: “Inategemea na idadi ya wateja walionunua wigi na gharama za wigi, kwa pale ofisini mtu akikosa sana hakosi 100,000 kama bonus kwa mwezi.”
MIMI: “Hivi Lucy ulifahamianaje na Iryn?”
LUCY: “Nilianza kufanya kazi na mama yake mwishoni kabisa kabla hajafariki ndo mpaka sasa. Kipindi hicho nilikuwa simjui Iryn ila nilikuwa najua mama yake ana bint mkubwa.”
MIMI: “Una elimu gani?”
LUCY: “Nina Diploma ya Procurement”
MIMI: “Umeridhika kuwa saloon?”
LUCY: “Insider nimeridhika kabisa licha ya mshahara bado napewa Bonus, bado najiongeza mle ndani mimi ndo top kila kitu lazima wanifate mimi. Kwa siku kama mambo magumu sikosi 20,000 weekend naweza ingiza pesa mingi tu kama wigi zitatoka nyingi, bado nawauzia saloon zingine napata cha juu. Nikipiga hesabu kwa mwezi si haba unafikiri ofisi gani naweza pata hela kama hapa kwa Iryn?. Nilikuwa napewa na pesa za matumizi ya ofisi ya kila mwezi ila kwa sasa yatakuwa chini yako, hata hapa nawaza kama Iryn asiporudi itakuwaje.”
MIMI: “Aisee kumbe leo kidogo umenipa mwanga, sasa naomba wafanyakazi wako wasijue lolote linaloendelea kuhusu Iryn. Pia naomba nitumie report za toka jumatatu ulizotuma kwa Iryn, na kuanzia jumatatu mauzo usiingize kwa bank utakuwa unanikabidhi cash ili niangalie suala la kuwalipa mishahara.”
LUCY: “Sawa haina shida Insider.”
Tulikaa pale mpaka saa 6 na tuliongea mengi sana na Lucy na nilimkodia Uber ili impeleke kwake na mimi nikarudi home.
Wakati nimefika mataa ya Kawe Prisca alianza kupiga simu na mimi nikapokea simu yake.
MIMI: “Prisca hizi simu za usiku vipi? Mbona unakuwa huelewi unasahau makubaliano yetu?”.
PRISCA: “Sorry nilijua leo weekend utakuwa hujarudi home.”
MIMI: “Acha mazoea tafadhali, ningekuwa home na wife akapokea? Prisca usiniletee matatizo tafadhali. Niambie unataka nini?”
PRISCA: “Insider mimi siwezi kukaa bila kusikia sauti yako, hapa nimekusikia sasa nitalala kwa amani.”
MIMI: “Prisca mimi naona tuachane kama mambo yenyewe ndo haya, sitaki kuona Mke wangu anaondoka kwaajili yako.”
PRISCA: “Insider unajua unanitesa sana hivi unanipenda kweli?”
MIMI: “Prisca byee Usiku mwema.”
Ni maongezi yaliyochukua muda mrefu mpaka nafika home, na muda huu niliwaza kumpiga chini Prisca maana niliona kadri siku zinavyokwenda anazidi kuwa hatari, na angeniletea shida kwenye ndoa yangu.
********
Jumapili asubuhi nilijaribu kumtafuta Mama Janeth kwa whatsapp lakini hakuwa online, nikawaza kesho nitakwenda ofisini kwake Masaki.
Kwa upande mwingine niliwasiliana na Sumaiya nikamwambia anitumie report zote alizotuma kwa Iryn kuanzia Jumatatu, na akiwa anatuma report awe anatuma na kwangu pia mpaka Iryn atakaporudi.
Baada ya kupata breakfast nilikwenda Mbweni ili kuonana na Jane kwa lengo la kuendelea na mafunzo ya udereva. Hii siku nilimpeleka mpaka barabara za lami na tulikwenda Ununio road, na ndo tulikofanyia zoezi huko.
Maendeleo yake yalikuwa mazuri kwakweli na Jane alikuwa na hamu ya kujua kuendesha gari mapema. Tuliendelea na zoezi letu mpaka mchana ndo nikamrudisha kwake, na mimi sikutaka kukaa pale kwake nikaaga na nikaondoka kurudi home.
Baada ya kurudi home niliingia chumbani na nilikuwa na mawazo sana, niliwaza huenda Muajemi kafanya kitu mbaya kwa Iryn. Niliamua kumtafuta kwa Whatsapp na hakuwa online muda huu. Nilianza kuingia na maswali kwanini Muajemi hapatikani? na toka jana hajanirudia niliwaza something fishy is going on.
Kutokana na mawazo nikiwa pale kitandani hatimae nilipitiwa na usingizi nikalala. Lakini nilishtushwa na simu iliyokuwa inaita baada ya kuangalia alikuwa ni Rose akipiga na nilipokea simu yake kwa haraka sana.
“Hi Rose”
“Insider njo hapa home haraka we got something.”
“I’m coming ASAP”
Kucheki muda ilikuwa 17:30 jioni hivyo nikawasha gari nikaondoka kuelekea Kijitonyama, na nilifanya kuwasiliana na Lucy akasema anachukua boda nitamkuta pale.
Nilitumia dakika 20 kuwasili Kijitonyama na baada ya kupark gari pale nje niliingia ndani na niliwakuta wapo na Mzee wa makamo akiwa amevaa sare za mgambo. Tulisalimiana pale na muda huu Lucy alikuwa anafika pale kwa Iryn.
ROSE: “Jiran sisi leo tuliendelea na uchunguzi wetu kwa majirani na huyu mzee ni moja ya walioshuhudia jambo.”
MIMI: “Jambo gani Jirani.”
ROSE: “Huyu Mzee ni Mlinzi nyumba ya pili ile nyeupe, anasema Jumatatu usiku aliiona Noah nyeusi hapo getin nje, aliiona wakati inaingia na haikuchukua dakika 5 ikaondoka kwa kasi.”
MIMI: “Mzee ilikuwa muda gani kama unakumbuka?”
MZEE: “kwenye saa 7 Usiku hivi, wakati inaingia niliiona mpaka inapark hapo nje getini na mimi niliendelea na mambo yangu, wakati inatoka ilikuwa kwa kasi sana na niliona inamaliza kukata kona kushoto.”
JAMAA: “Bro! unakumbuka nilisema jana hawa waliohusika ni professional sana, haiwezekani mtu aondoke asahau simu kitandani na ikiwa inaonekana vile ni ngumu sana.”
LUCY: “Inawezekana waliingia ndani wakamkuta kitandani au aliwafungulia mlango mwenyewe.”
MZEE: “Kama alivyosema kaka hapa hawa waliohusika ni wazoefu, hii milango inafunguka vizuri kabisa na kuna vifaa special wanatumia. Ingekuwa hii milango ni salama sisi hata tusingekuwa na kazi ya kulinda usiku.”
JAMAA: “Bro labda nikuulize maana wewe ndo unamjua vizuri Iryn, katika sehem zote mlizopita ana ndugu au rafiki mwenye gari ya aina hii nyeusi?”
MIMI: “Hapana Iryn sio wa marafiki kabisa kwa maelezo ya hapa hata mimi napatwa na wasiwasi wa kutekwa.”
LUCY: “Insider Bossy Iryn ametekwa kwa mazingira tuliyoona jana na maelezo ya leo naona huu ndo ukweli.”
Nilishangaa sana kuona Lucy leo amekubaliana na kutekwa kwa Iryn, wakati alikuwa mgumu sana kukubali hili jambo na muda huu alikuwa ameanza kutia huruma. Nilihisi atakuwa anawaza kibarua chake itakuwaje.
ROSE: “Guys nadhani wazo la Police leo mtalitilia maanani.”
MZEE: “Mkaripoti mapema aanze kutafutwa, upelelezi na uchunguzi uanze, mkizidi kuchelewa mtazidi kujiweka kwenye wakati mgumu.”
LUCY: “Insider vipi kuhusu Mama Janeth umefanikiwa kumpata?”
MIMI: “Mama Janeth nataka kwenda kesho mapema ofisini kwake. Mama Janeth ndo ameshika Karata ya mwisho kwenye hili suala na kesho mapema mimi nitakwenda ofisini kwake hata kama sitompata pale najua nitapata mawasiliano yake.”
JAMAA: “Nafikiri tusubiri kesho hiyo asubuhi tutakuwa na majibu tayari, ikishindikana twende Police na mimi kesho siendi kazini.”
LUCY: “Kesho ikishindikana twendeni Police.”
ROSE: “Same here kesho siendi Kazini nitasubiri majibu.”
MIMI: “Guys kesho tumekubaliana kama itashindikana tunakwenda Police, no hesitation this time.”
Saa mbili usiku nilitoka pale na nilikuwa na Lucy ambaye nilimpa lift ili nimwache pale Mlimani City mimi niondoke. Lakini huku njiani Lucy alionekana kuwa na mawazo sana mpaka nilipatwa na huruma.
“Ulisema unakaa Makongo juu ipi?”
“CCM palepale kituoni.”
Niliamua kumpa lift mpaka Makongo CCM kituoni na mimi nilikwenda moja kwa moja na Goba Road kurudi home.
Baada ya kufika home na kushuka kwa gari niliwakuta Junior na dada yake wako nje kibarazani. Na muda huu Junior alianza kunililia ikabidi nimnyanyue na tukaingia ndani. Maana nilikuwa nataka kwenda kuoga kwanza ikabidi nitoe simu nimwekee katuni awe anaangalia ili nipate upenyo wa kukimbia.
Baada yakutoka kuoga nilikuwa na mawazo sana na nilikuwa pale kitandani nawaza nani atakuwa amemteka Iryn?. Niliwaza mimi ndo nitakuwa mstari wa mbele kuisaidia Police katika kufanya uchunguzi na suala la Mama Janeth kutokupatikana ndo lilikuwa linazidi kunipa mawazo sana.
Muda huu simu yangu ndogo ilianza kuita na kucheki alikuwa ni Prisca sikupokea nikapotezea, alipiga tena kwa mara nyingine ikabidi nipokee tu nimsikilize anasema nini.
MIMI: “Prisca mbona mgumu sana wewe kuelewa?”
PRISCA: “Insider mimi sina story ila kuna jambo unatakiwa ulifahamu before its too late.”
MIMI: “Nakusikiliza Go on”
PRISCA: “Insider I’m pregnant.”
MIMI: “What? Una mimba yangu?
PRISCA: “Ndio nasifikirii kuitoa, kama utamkataa mtoto wako sawa ila tambua hivyo hii mimba ni yako.”
Na prisca alikata simu muda huu, taarifa za Prisca hazikuwa nzuri kwa upande wangu sababu nilikuwa na mke tayari na sikuwahi kufikiri kama kuna siku nitakuja kuwa na mtoto wa nje.
Nilianza kujuta muda huu nikajisemea kwakweli “HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA”. Hili bom la nyuklia nilitengeneza mwenyewe sasa limelipuka na hapa ni mwanzo tu. Nilikuwa kwenye majuto makubwa sana maana hata condom nilikuwa situmii tukikutana.
Na wakati bado niko kitandani niko kwenye mawazo mazito aliingia wife akiwa ameshika simu na mbele yangu nilikuwa nikiitizama picha niliyopiga na Iryn swimming kule Zanzibar.
“Muda mrefu sana nilikuwa na wasiwasi na huyu Iryn kumbe hata Zanzibar mlienda kwaajili ya kula bata, picha zenu zinaonesha mlikuwa kwenye HUBA zito sana.”
TUTAENDELEA
JUMAMOSI
Naam [emoji91]EPISODE 37
“A TRUE STORY BY INSIDER”
Muda huu milango ilikuwa wazi ikitusubiri sisi kuingia ndani ili tujihakikishie kama Iryn yuko ndani ama laah. Kila mmoja alionekana kuwa na wasiwasi sana na hofu ilitawala mahali hapa, mimi ndo niliyekuwa wakwanza kufungua mlango na kuingia ndani.
ENDELEA………..
Baada ya kuingia ndani alifuatia jamaa na kisha Lucy ila Rose alishindwa kuingia maana alikuwa analia pale nje. Seblen mazingira yalikuwa sawa na mimi nilikwenda moja kwa moja mpaka kwenye mlango wa chumba chake. Mlango ulikuwa hujafungwa ila umerudishiwa tu na nilifungua na kuingia ndani.
Mbele yangu nilikuwa nakitizama kitanda ambacho kilikuwa nashuka la kujifunika ambalo halijakunjwa, ni kama mtu aliamka bila kutandika kitanda na kukunja shuka. Na pale kitandani ilionekana simu yake ya iphone na ilikuwa imezimwa. Na mimi niliitambua ndo simu yake anayotumia siku zote.
Chumba chake kilikuwa kinatoa harufu nzuri sana kwakweli na muda huu Rose alikuwa ameingia chumbani.
Tulikagua bafuni na hakukuwa na dalili yote mbaya na tulikwenda chumba kingine na jikoni lakini hakukuwa na sign yoyote.
MIMI: “Mpaka sasa tumejidhirisha mtu hayupo na mlango ulifungwa kwa nje.”
JAMAA: “Kitandani panaokena alikuwa kalala na kwanini simu asahau kitandani na wakati inaonekana kabisa?.”
ROSE: “Hata mimi nina wasiwasi na hili kwakweli, unataka kusema ametekwa?”
JAMAA: “Inawezekana na hawa waliofanya hii kazi watakuwa ni professional kabisa.”
ROSE: “Haiwezekani simu usahau kitandani na inaonekana kabisa kwa macho.”
JAMAA: “Kweli sio rahisi hata hili mimi ndo linanitia mashaka sana.”
LUCY: “Mimi nahisi atakuwa kaondoka na huyo Muajemi ila wanakuchora tu.”
ROSE: “Sasa tunafanyaje guys?”
JAMAA: “Nafikiri tujadiliane kuhusu next step.”
LUCY: “Mimi nafikiri Insider ufanye juu chini kesho umpate mama Janeth.”
MIMI: “Guys kesho mimi nitakuwa na majibu yaliyokamilika, suala la Police siliungi mkono kabisa.”
JAMAA: “Kesho fundi atakuja kuweka vitasa vipya tutawasiliana but kesho tuwe na maamuzi sahihi.”
Baada ya makubalino tulirudishia mlango vizuri na tukaagana pale.
Baada ya kumaliza maongezi mimi niliondoka na Lucy lengo nim-escort nimwache pale Mlimani city achukue bajaji za Makongo Juu. Muda huu ilikuwa saa 4 usiku tayari, baada ya kufika maeneo yale ya Mlimani tukaona bora twende Samaki samaki tukapoteze mawazo.
Baada ya kufika pale Samaki samaki tulikaa kwenye meza za nje kabisa na baada ya mhudumu kufika niliagiza Heineken na Lucy aliagiza Desperados.
MIMI: “Nakunywesha hapa ili nika kut*mbe”
LUCY: “Hahahaa namwonea huruma sana mke wako, mpaka sasa hujarudi home unahangaika na kina Lucy.”
MIMI: “Mke wangu sio msumbufu hanaga nongwa.”
LUCY: “Mhh haya, Insider mimi nawazo hapa.”
MIMI: “Wazo gani?”
LUCY: “Mimi nahisi Iryn ameamua kukufanyia mchezo na Mama Janeth.”
MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”
LUCY: “Hauna muda mrefu toka upewe mkataba mpya na majukumu mapya what if kama wanataka kuona maamuzi yako na jinsi utakavyo deal na hili suala kwenye kampuni?.”
MIMI: “Lucy mimi sidhani ikawa hivyo.”
LUCY: “Kwanini wote hawapatikani na hakuna taarifa yoyote juu yao?, Iryn atakuwa na mama Janeth roho inaniambia hivyo.”
MIMI: “Kidogo maneno yako yananiingia.” Na muda huu nilikuwa namalizia bia yangu ya kwenye glass.
LUCY: “Insider vipi kuhusu mishahara maana mwisho wa mwezi ni week ijayo sio mbali.”
MIMI: “Next week mbali naamini atakuwa karudi na tumejua aliko.”
LUCY: “Ni sawa ila wewe kama Operation manager inabidi uanze kuandaa mchakato just incase.”
MIMI: “Una wafanyakazi wangapi kwenye ofisi zako?”
LUCY: “Mikocheni wako 4 na sinza 3, pamoja na mimi jumla tuko 8.”
MIMI: “Na mshahara anawalipaje?”
LUCY: “Mimi nalipwa 600,000 na wengine 300,000/= , pia kuna bonus za kila mwisho wa mwezi.”
MIMI: “Ok sawa mimi nitawalipa mshahara ila masuala ya bonus ataclear mwenyewe, na hizo bonus zinakuwaje?”
LUCY: “Inategemea na idadi ya wateja walionunua wigi na gharama za wigi, kwa pale ofisini mtu akikosa sana hakosi 100,000 kama bonus kwa mwezi.”
MIMI: “Hivi Lucy ulifahamianaje na Iryn?”
LUCY: “Nilianza kufanya kazi na mama yake mwishoni kabisa kabla hajafariki ndo mpaka sasa. Kipindi hicho nilikuwa simjui Iryn ila nilikuwa najua mama yake ana bint mkubwa.”
MIMI: “Una elimu gani?”
LUCY: “Nina Diploma ya Procurement”
MIMI: “Umeridhika kuwa saloon?”
LUCY: “Insider nimeridhika kabisa licha ya mshahara bado napewa Bonus, bado najiongeza mle ndani mimi ndo top kila kitu lazima wanifate mimi. Kwa siku kama mambo magumu sikosi 20,000 weekend naweza ingiza pesa mingi tu kama wigi zitatoka nyingi, bado nawauzia saloon zingine napata cha juu. Nikipiga hesabu kwa mwezi si haba unafikiri ofisi gani naweza pata hela kama hapa kwa Iryn?. Nilikuwa napewa na pesa za matumizi ya ofisi ya kila mwezi ila kwa sasa yatakuwa chini yako, hata hapa nawaza kama Iryn asiporudi itakuwaje.”
MIMI: “Aisee kumbe leo kidogo umenipa mwanga, sasa naomba wafanyakazi wako wasijue lolote linaloendelea kuhusu Iryn. Pia naomba nitumie report za toka jumatatu ulizotuma kwa Iryn, na kuanzia jumatatu mauzo usiingize kwa bank utakuwa unanikabidhi cash ili niangalie suala la kuwalipa mishahara.”
LUCY: “Sawa haina shida Insider.”
Tulikaa pale mpaka saa 6 na tuliongea mengi sana na Lucy na nilimkodia Uber ili impeleke kwake na mimi nikarudi home.
Wakati nimefika mataa ya Kawe Prisca alianza kupiga simu na mimi nikapokea simu yake.
MIMI: “Prisca hizi simu za usiku vipi? Mbona unakuwa huelewi unasahau makubaliano yetu?”.
PRISCA: “Sorry nilijua leo weekend utakuwa hujarudi home.”
MIMI: “Acha mazoea tafadhali, ningekuwa home na wife akapokea? Prisca usiniletee matatizo tafadhali. Niambie unataka nini?”
PRISCA: “Insider mimi siwezi kukaa bila kusikia sauti yako, hapa nimekusikia sasa nitalala kwa amani.”
MIMI: “Prisca mimi naona tuachane kama mambo yenyewe ndo haya, sitaki kuona Mke wangu anaondoka kwaajili yako.”
PRISCA: “Insider unajua unanitesa sana hivi unanipenda kweli?”
MIMI: “Prisca byee Usiku mwema.”
Ni maongezi yaliyochukua muda mrefu mpaka nafika home, na muda huu niliwaza kumpiga chini Prisca maana niliona kadri siku zinavyokwenda anazidi kuwa hatari, na angeniletea shida kwenye ndoa yangu.
********
Jumapili asubuhi nilijaribu kumtafuta Mama Janeth kwa whatsapp lakini hakuwa online, nikawaza kesho nitakwenda ofisini kwake Masaki.
Kwa upande mwingine niliwasiliana na Sumaiya nikamwambia anitumie report zote alizotuma kwa Iryn kuanzia Jumatatu, na akiwa anatuma report awe anatuma na kwangu pia mpaka Iryn atakaporudi.
Baada ya kupata breakfast nilikwenda Mbweni ili kuonana na Jane kwa lengo la kuendelea na mafunzo ya udereva. Hii siku nilimpeleka mpaka barabara za lami na tulikwenda Ununio road, na ndo tulikofanyia zoezi huko.
Maendeleo yake yalikuwa mazuri kwakweli na Jane alikuwa na hamu ya kujua kuendesha gari mapema. Tuliendelea na zoezi letu mpaka mchana ndo nikamrudisha kwake, na mimi sikutaka kukaa pale kwake nikaaga na nikaondoka kurudi home.
Baada ya kurudi home niliingia chumbani na nilikuwa na mawazo sana, niliwaza huenda Muajemi kafanya kitu mbaya kwa Iryn. Niliamua kumtafuta kwa Whatsapp na hakuwa online muda huu. Nilianza kuingia na maswali kwanini Muajemi hapatikani? na toka jana hajanirudia niliwaza something fishy is going on.
Kutokana na mawazo nikiwa pale kitandani hatimae nilipitiwa na usingizi nikalala. Lakini nilishtushwa na simu iliyokuwa inaita baada ya kuangalia alikuwa ni Rose akipiga na nilipokea simu yake kwa haraka sana.
“Hi Rose”
“Insider njo hapa home haraka we got something.”
“I’m coming ASAP”
Kucheki muda ilikuwa 17:30 jioni hivyo nikawasha gari nikaondoka kuelekea Kijitonyama, na nilifanya kuwasiliana na Lucy akasema anachukua boda nitamkuta pale.
Nilitumia dakika 20 kuwasili Kijitonyama na baada ya kupark gari pale nje niliingia ndani na niliwakuta wapo na Mzee wa makamo akiwa amevaa sare za mgambo. Tulisalimiana pale na muda huu Lucy alikuwa anafika pale kwa Iryn.
ROSE: “Jiran sisi leo tuliendelea na uchunguzi wetu kwa majirani na huyu mzee ni moja ya walioshuhudia jambo.”
MIMI: “Jambo gani Jirani.”
ROSE: “Huyu Mzee ni Mlinzi nyumba ya pili ile nyeupe, anasema Jumatatu usiku aliiona Noah nyeusi hapo getin nje, aliiona wakati inaingia na haikuchukua dakika 5 ikaondoka kwa kasi.”
MIMI: “Mzee ilikuwa muda gani kama unakumbuka?”
MZEE: “kwenye saa 7 Usiku hivi, wakati inaingia niliiona mpaka inapark hapo nje getini na mimi niliendelea na mambo yangu, wakati inatoka ilikuwa kwa kasi sana na niliona inamaliza kukata kona kushoto.”
JAMAA: “Bro! unakumbuka nilisema jana hawa waliohusika ni professional sana, haiwezekani mtu aondoke asahau simu kitandani na ikiwa inaonekana vile ni ngumu sana.”
LUCY: “Inawezekana waliingia ndani wakamkuta kitandani au aliwafungulia mlango mwenyewe.”
MZEE: “Kama alivyosema kaka hapa hawa waliohusika ni wazoefu, hii milango inafunguka vizuri kabisa na kuna vifaa special wanatumia. Ingekuwa hii milango ni salama sisi hata tusingekuwa na kazi ya kulinda usiku.”
JAMAA: “Bro labda nikuulize maana wewe ndo unamjua vizuri Iryn, katika sehem zote mlizopita ana ndugu au rafiki mwenye gari ya aina hii nyeusi?”
MIMI: “Hapana Iryn sio wa marafiki kabisa kwa maelezo ya hapa hata mimi napatwa na wasiwasi wa kutekwa.”
LUCY: “Insider Bossy Iryn ametekwa kwa mazingira tuliyoona jana na maelezo ya leo naona huu ndo ukweli.”
Nilishangaa sana kuona Lucy leo amekubaliana na kutekwa kwa Iryn, wakati alikuwa mgumu sana kukubali hili jambo na muda huu alikuwa ameanza kutia huruma. Nilihisi atakuwa anawaza kibarua chake itakuwaje.
ROSE: “Guys nadhani wazo la Police leo mtalitilia maanani.”
MZEE: “Mkaripoti mapema aanze kutafutwa, upelelezi na uchunguzi uanze, mkizidi kuchelewa mtazidi kujiweka kwenye wakati mgumu.”
LUCY: “Insider vipi kuhusu Mama Janeth umefanikiwa kumpata?”
MIMI: “Mama Janeth nataka kwenda kesho mapema ofisini kwake. Mama Janeth ndo ameshika Karata ya mwisho kwenye hili suala na kesho mapema mimi nitakwenda ofisini kwake hata kama sitompata pale najua nitapata mawasiliano yake.”
JAMAA: “Nafikiri tusubiri kesho hiyo asubuhi tutakuwa na majibu tayari, ikishindikana twende Police na mimi kesho siendi kazini.”
LUCY: “Kesho ikishindikana twendeni Police.”
ROSE: “Same here kesho siendi Kazini nitasubiri majibu.”
MIMI: “Guys kesho tumekubaliana kama itashindikana tunakwenda Police, no hesitation this time.”
Saa mbili usiku nilitoka pale na nilikuwa na Lucy ambaye nilimpa lift ili nimwache pale Mlimani City mimi niondoke. Lakini huku njiani Lucy alionekana kuwa na mawazo sana mpaka nilipatwa na huruma.
“Ulisema unakaa Makongo juu ipi?”
“CCM palepale kituoni.”
Niliamua kumpa lift mpaka Makongo CCM kituoni na mimi nilikwenda moja kwa moja na Goba Road kurudi home.
Baada ya kufika home na kushuka kwa gari niliwakuta Junior na dada yake wako nje kibarazani. Na muda huu Junior alianza kunililia ikabidi nimnyanyue na tukaingia ndani. Maana nilikuwa nataka kwenda kuoga kwanza ikabidi nitoe simu nimwekee katuni awe anaangalia ili nipate upenyo wa kukimbia.
Baada yakutoka kuoga nilikuwa na mawazo sana na nilikuwa pale kitandani nawaza nani atakuwa amemteka Iryn?. Niliwaza mimi ndo nitakuwa mstari wa mbele kuisaidia Police katika kufanya uchunguzi na suala la Mama Janeth kutokupatikana ndo lilikuwa linazidi kunipa mawazo sana.
Muda huu simu yangu ndogo ilianza kuita na kucheki alikuwa ni Prisca sikupokea nikapotezea, alipiga tena kwa mara nyingine ikabidi nipokee tu nimsikilize anasema nini.
MIMI: “Prisca mbona mgumu sana wewe kuelewa?”
PRISCA: “Insider mimi sina story ila kuna jambo unatakiwa ulifahamu before its too late.”
MIMI: “Nakusikiliza Go on”
PRISCA: “Insider I’m pregnant.”
MIMI: “What? Una mimba yangu?
PRISCA: “Ndio nasifikirii kuitoa, kama utamkataa mtoto wako sawa ila tambua hivyo hii mimba ni yako.”
Na prisca alikata simu muda huu, taarifa za Prisca hazikuwa nzuri kwa upande wangu sababu nilikuwa na mke tayari na sikuwahi kufikiri kama kuna siku nitakuja kuwa na mtoto wa nje.
Nilianza kujuta muda huu nikajisemea kwakweli “HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA”. Hili bom la nyuklia nilitengeneza mwenyewe sasa limelipuka na hapa ni mwanzo tu. Nilikuwa kwenye majuto makubwa sana maana hata condom nilikuwa situmii tukikutana.
Na wakati bado niko kitandani niko kwenye mawazo mazito aliingia wife akiwa ameshika simu na mbele yangu nilikuwa nikiitizama picha niliyopiga na Iryn swimming kule Zanzibar.
“Muda mrefu sana nilikuwa na wasiwasi na huyu Iryn kumbe hata Zanzibar mlienda kwaajili ya kula bata, picha zenu zinaonesha mlikuwa kwenye HUBA zito sana.”
TUTAENDELEA
JUMAMOSI
duuuh kwamba mwana alikuwa anafaidiNaam [emoji91]
Nilizisubir sana nyakati ngumu kwako mana maisha ndo yapo hvo
Nimependa hii analysisHii inaonyesha dhahiri Mama Janeth amefanya mchongo wa kutekwa kwa Iyrn then akahama alipokua akiishi Lakni pia Muajemi ananipa wasiwasi maana tangu apate taarifa kuwa Iyrn amepotea Muajemi aliomba kukata simu haraka then akakaa kmia mpaka muda huu hajataka hata kukuulizia kuhusu Iryn, means alipokata simu atakua aliwapigia majambazi wake aliokua amewakodi kwaajiri ya hyo kazi ili kuwauliza kama wamefanikisha kumteka Iyrn.