Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ila bro unaonekana ni mshamba sana. Huyo kwenye profile picture naye ni demu wako. Aiseeeeeee, bro wewe ni wa kienyeji sana. Pole na byeee nimekupuuza. Nakuweka kwenye ignore list
Huyo ni member yupo humu humu sio demu wangu. Aliniletea ujinga nikafanya yangu na kupata picha zake nikaamua kujipongeza kwa kumuweka profile picha [emoji16][emoji16] embu fikiri ww unavyo jiona mjanja kesho unakuja humu unakuta Kuna mtu kaweka picha zako kwa profile alafu hana makuu
 
Dogo wa bush sana huyo. Angalia Profile Picture yake kaweka demu wake mwingine. Aiseeee, ni wa kumuonea huruma.
Mzee huyo demu ni mjuaji na mjinga kama wewe. Vipi unataka nikupambe kwa profile au .....? Au ndio huyo demu amewatuma mje mnichokoze ili nimtoe kwa profile kamuambieni kwa profile atakaa sana tu hadi aombe radhi kwa ufala alio ufanya humu
 
EPISODE 41

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Tulikaa pale tukiendelea na mazungumzo yetu na jioni Mama Junior alirudi kutoka chuo na baada ya kuingia ndani na kumwona Iryn alikwenda mbio na wakakumbatiana.

CONTINUE…..

MAMA J: “Ilikuaje ukatukimbia bila taarifa? ulijua kutuweka Roho juu.”

IRYN: “Acha tu mpenzi ilikuwa ghafla nilikuwa nauguza mwenzako afu nilisahau simu am really sorry.”

Na mimi muda huu niliondoka nikaingia chumbani na niliwaacha pale seblen wawe huru kuongea. Na wakati niko chumbani nikishangaa zile zawadi zangu nilizoletewa, simu yangu ilianza kuita na ile kucheki alikuwa ni Lucy anapiga.

“Lucy mambo.”

“Poa Insider nimeshindwa kuvumilia mwenzio, Iryn amekuja leo kweli?”

“Yeah niko nae hapa home.”

“Wow anasema alikuwa wapi?”

“Tutaongea Lucy huu sio muda mzuri kwa sasa.”

“Poa Insider byee”

Lucy alionekana kufurahia sana hizi taarifa za kurudi kwa Iryn. Na muda huu nilitoka pale seblen na walioneka Mama J na Iryn kuwa na furaha sana wakiongea na kucheka.

IRYN: “Insider badae utatutoa out tukapate Dinna as family.”

MIMI: “Mnataka niwapeleke wapi?”

IRYN: “Mimi nime-miss kula Pizza”

MAMA J: “Mimi nataka kuku wa KFC”

MIMI: “Ok ladies nitawapeleka Mikocheni Plaza nafikiri pale kila mtu atapata anachotaka.”

Saa 1 usiku tuliondoka wote mle ndani na tulikwenda mpaka Mikocheni Plaza. Na muda huu Iryn alikuwa busy sana na Junior utafikiri mwanaye. Iryn anampenda sana Junior mpaka sasa navyoandika hapa.

Na wakati tukiendelea kuenjoy Muajemi alinipigia whatsapp call na baada ya kupokea aliulizia kama nimempata Iryn, nilimwambia yuko Ufaransa akirudi nitamwambia asiwe na wasiwasi na yeye alisema anategemea kurudi katikati ya June.

Hii siku kila mtu alionekana kuwa na furaha pale na tulikaa mpaka saa 4 usiku tukarudi home kulala. Tukivyorudi home tulifanya maombi ya pamoja na kila mmoja alikwenda kulala.

*******

Jumamosi asubuhi nilifanya kuwasiliana na Jane nikampa taarifa kwamba sitoweza kwenda kumchukua sababu nina emergence. Jane kwa upande wake hakuwa na shida akasema atarequest uber ya kumpeleka Posta, hivyo nisiwe na wasiwasi.

Asubuhi baada ya kupata breakfast niliondoka na Iryn ili kwenda kuziangalia Saloon zote na alisema tuanze na ya Sinza. Baada ya kufika pale Sinza tuliwakuta wafanyakazi wote na walishtuka sana kumwona Iryn maana ilikuwa ni kama saprize kwao. Baada ya Iryn kuridhika na mazingira ya pale tuliondoka na kwenda Mikocheni.

Baada ya kuwasili pale Saloon, tulishuka kwa gari na Lucy ndo alikuwa wakwanza kutuona na alikuja speed kumkumbatia Iryn.

“Wow Bossy nilikumiss sana ulituacha kwenye mataa wenzako.”

“Hamna Lucy Nilikuwa na matatizo tu.”

“Tulikuwa Roho juu wenzio mpaka nikawaza inamaana hii simu nilipewa ya ukumbusho?”

“Hamna Ahsante sana kwa kujali.”

Iryn na Lucy waliingia ndani na mimi nilikuwa nje nikiwasubiri, mara nyingi nilikuwa sipendelei kuingia ndani maana Saloon ni ya kike. Mambo ya kuingia ndani kuanza kuangaliana na wanawake nilikuwa sipendelei kabisa.

Ilimchukua kama dakika 15 Iryn kufanya ukaguzi pale na alitoka akiwa ameongozana na Lucy na aliingia kwenye gari tukaondoka kwenda Masaki.

Baada ya kufika Masaki na kupark gari tulishuka na Iryn alionesha kufurahishwa na mazingira ya nje kwa usafi uliokuwa umefanywa.

“Insider ume organise hili wewe?”

“Yes Bossy It’s me.”

“Congratulations umefanya vizuri sana kwa hili. Twende wote ndani uni-company.”

Tuliingia ndani na palionekana kuwa busy sana,si mnajua tena mambo ya weekend dada na mama zetu wanakwenda saloon kujiweka sawa. Kwa Saloon ya Masaki asilimia kubwa ya wateja ni foreigners. Iryn alifanya kusalimiana na wafanyakazi wake na tulikagua angle zote mle ndani, nilimwacha ndani akiendelea kuongea na mimi nilitoka nje.

Baada ya dakika 5 hivi Sumaiya alitoka nje na akaja nilikokuwa nimekaa. Na mimi nilikuwa niko kibarazani nimekaa kwenye coach so alikaa kwa pembeni yangu.

SUMAIYA: “Kwanini umeshindwa kunambia kama Queen anakuja?”

MIMI: “Hata ningekwambia ungeongezeka uzuri?”

SUMAIYA: “Naona Queen kaongezeka uzuri alikuwa wapi?”

MIMI: “Hayakuhusu wewe fanya kazi zako, si umuulize akwambie?”

SUMAIYA: “Sawa bhana umeshinda kwa leo. Umenunua gari mpya?”

MIMI: “Ndo maana yake vipi unataka nikupe lift?”

SUMAIYA: “Sijaomba lift nimeuliza maana nimeona umekuja na gari mpya nikajua itakuwa ya Queen.”

MIMI: “Unaonekana unapenda sana magari wewe mtoto.”

Sumaiya alianza kunipiga muda huu na Iryn alitoka akauona ule mchezo, maana nilikuwa nimemkamata mikono Sumaiya na yeye alikuwa anafurukuta kujinasua.

“Insider tuondoke.”

Nilimuachia Sumaiya na tuliongozana wote muda huu kuelekea parking, Iryn na Sumaiya walikuwa wanazungumza. Mimi nilikuwa wa kwanza kuingia kwa gari na baada ya kumaliza mazungumzo yao Iryn aliingia kwenye gari piana Sumaiya alikuja upande wangu.

“Insider leo weekend uliniahidi kunitoa out au umesahau?”

“Huna hadhi ya kutoka out na mimi”

“Wewe si ndo uliniomba? unajishaua sahivi.”

Nikawasha gari kuondoka maeneo haya na muda huu Iryn alikuwa akininitazama sana

MIMI: “Nambie Bossy wangu?”

IRYN: “Sikuelewi na Sumaiya naona mmeshazoeana kwa kipindi kifupi sana.”

MIMI: “Achana na Sumaiya ni mwongeaji by nature na utani mwingi.”

IRYN: “Mtimizie ahadi yake ya kumtoa out.”

MIMI: “Anazingua tu hakuna ahadi niliyompa tunakwenda wapi? au nikupeleke ukasalimie majirani?”

IRYN: “Today? sijisikii kwenda huko kabisa.”

MIMI: “Hapana inabidi uende ukachukue na simu, majirani nilikuwa nao bega kwa bega.”

IRYN: “Okay lets go”

Tulitumia muda mchache kuwasili pale Kijitonyama na niliingiza gari ndani. Tulikwenda moja kwa moja kwa Rose na baada ya kumgongea alitoka haraka, na alivyomwona Iryn alifurahi sana wakaishia kukumbatiana tu muda huu. Na mimi niliwaacha waendelee na mazungumzo yao nikaingia ndani kwa Iryn nika-kaa kwenye coach.

Baada ya dakika 10 Iryn alirudi ndani na aliingia moja kwa moja mpaka chumbani kwake na mimi nilimfuata hukohuko.

“Insider suala la Apartment ulifikia wapi?”

“Dada analifanyia kazi on monday tutaenda kuziangalia.”

“Insider hapa sirudi tena, navyotoka kwako nakwenda kwenye apartment mpya.”

“Sawa haina shida nitafanya mawasiliano na dada afu nitakupa mrejesho.”

“Sawa tuondoke hapa, mimi sitamani kuendelea kuwa hapa.”

“Leo hupapendi kwako?

“Pamenikinai acha niwai nikacheze na Junior wangu.”

Tuliondoka Kijitonyama na tukarudi home na tulikuta lunch ikiwa tayari mezani. Baada ya kula Iryn alisema itabidi tutoke tena kwenda Sinza kwaajili ya kumnunulia nguo Dada yake Junior maana alikuwa amemuahidi.

Jioni tulitoka wote kasoro mama J tu alikuwa amebaki, na tulikwenda Sinza na tulitumia Barabara ya Mbezi chini. Lengo langu ni kupita chini kwa chini ili tukaibukie pale ITV kuepuka foleni ya pale Mwenge.

Na wakati tuko Barabara ya kule chini Iryn aliyapenda maeneo na mazingira ya kule chini.

IRYN: “Insider huku chini kumekutulia sana nimekupenda sana kama nitapata huku nitakuwa jirani na Junior.”

MIMI: “Dada nilimwambia atafute mpaka huku so ngoja tuone hio jumatatu atakuwa amepata maeneo gani.”

IRYN: “Sawa eti Junior nikikaa huku sindo vizuri niwe nakuja kukufuata home nakurudisha jioni sindio mme wangu….”

MIMI: “Junior hata hakuelewi hapo.”

IRYN: “Ananielewa sana huoni anacheka hapa.”

MIMI: “Hivi Iryn unajua kuendesha gari?”

IRYN: “Insider mimi mpaka Manual naendesha na nina cheti cha mafunzo nilijifunzia Ufaransa, naendesha gari vizuri kabisa.”

MIMI: “Itabidi siku nikuachie uendeshe nikuone.”

IRYN: “Kesho tutakwenda Masaki kuangalia nyumba yetu sikukwambia afu.”

MIMI: “Nyumba ipi ile ya mama au?”

IRYN: “Tuliyokuwa tunakaa zamani before mama hajafariki, Mzee alinipa kazi ya kuisimamia nataka nikaonane na dalali wa pale.”

MIMI: “Sawa kesho hiyo nitakupa na gari uendeshe nimechoka kukuendesha.”

IRYN: “Sawa wewe unataka tu kuniona nikiendesha gari? Kesho si hakuna Police? sina licence ujue.”

MIMI: “Traffic wa Tanzania tunawamudu wewe wakikudaka ongea kifaransa tu watakimbia wenyewe.”

IRYN: “Hahahahahaa usinifundishe uhuni wako.”

Tuliwasili Sinza na tulifanya shopping ya Dada Junior na alinunuliwa mazaga mengi sana. Na baada ya kumaliza tulikwenda Mlimani city tukafanya shopping ya nyumbani. Iryn alikwenda na Junior kucheza kwenye ile michezo ya watoto na baada ya nusu saa alirudi na tukaondoka kurudi home.

Hii siku tuliimalizia pale EB 25 Lounge Makonde na tulitoka mimi, Mama J na Iryn.

*******

Jumapili asubuhi niliwasiliana na Mzee Pama na nilimpigia ili kujua kama amerudi maana alisema weekend hii angerudi.

MZEE PAMA: “Kijana kuna vitu bado sijaweka sawa nafikiri katikati ya week nitakuwa nimerudi.”

MIMI: “Sawa Mzee nilikuwa nakujulia na hali pia.”

PAMA: “Ahsante sana maendeleo ya Jane yapoje?”

MIMI: “Yuko vizuri kwakweli nasubiri sauti yako nimpe gari au laah!”

PAMA: “Subiri kwanza nirudi, vipi na wewe maendeleo yako? Biashara inakwendaje.”

MIMI: “Mzee biashara ngumu kwakweli.”

PAMA: “Una elimu gani?”

MIMI: “Nina Bachela ya Uchumi.”

PAMA: “Naweza kukupa assist ya kazi na ukapata mshahara mzuri tu kama upo tayari kuajiriwa.”

MIMI: “Sawa Ahsante Mzee mimi sina shida kabisa.”

PAMA: “Nikirudi tuta discuss hili, ila nakuomba sana umwangalie Jane maana ana kiumbe wangu.”

MIMI: “Usiwe na wasiwasi Mzee nakuhakikishia.”

PAMA: “Kama kuna lolote utanipigia simu usiwe na woga kama unashida uwe unasema usikae kimya.”

MIMI: “Ahsante Mzee nitakuwa nakutafuta.”

PAMA: “Nikirudi tutaongea mustakabali wa future yako nione mipango yako, umri wako sio wa kucheza unatakiwa kuwa na mipango madhubuti.”

MIMI: “Uko sahihi Mzee, Ahsante sana.”

PAMA: “Mimi nakuacha tutawasiliana. Naomba uzingatie niliyokwambia.”

MIMI: “Sawa Mzee uwe na jumapili njema.”

Mchana nilitoka na Iryn kwenda Masaki kuangalia nyumba na nilimwachia gari aendeshe hii siku na mimi nilikaa pembeni nikimwangalia kwa shauku sana.

Alifunga mkanda akawasha gari na akageuza gari na tukaanza safari ya kwenda Masaki na alikuwa yuko vizuri sana.

MIMI: “Aisee kumbe upo vizuri hivi nilikuchukulia poa sana.”

IRYN: “Insider au kwakuwa sina gari ndomana unafikiri mimi sijui kuendesha?”

MIMI: “Ufanye kununua gari sasa.”

IRYN: “Unataka ninunue gari gani? Sema.”

MIMI: “Marcedes Coupe kwako wewe itakupendeza sana.”

IRYN: “Nikajua utaniambia Lamborghin Urus SUV kumbe Marcedes? Bila shaka umeipenda ya Muajemi.”

MIMI: “Hamna ile inawapendeza sana wanawake.”

IRYN: “Hivi Muajemi anajitambua?”

MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”

IRYN: “Teach him to act like a Man, asifikiri Pesa ndo kila kitu. I know what’s going on.”

Muda huu ilibidi niwe mpole tu maana sikukuwa na chakusema na nikachange topic palepale.

MIMI: “Kwanini tusingemaliza jana hili suala la nyumba na tulikuwa huku?”

IRYN: “Mzee alikuwa haja wasiliana na dalali ambaye anasimamia hii nyumba.”

Iryn aliendesha gari na baada ya kufika Marina Towers tulikata kona kulia na tulikwenda mbele kidogo ndo nyumba yao ilikuwa huko. Tulipark gari nje ya fense na baada ya dakika 5 dalali alikuwa kafika tayari.

DALALI: “Bila shaka wewe ndo bint wa Mzee Virgil.”

IRYN: “Ndo mimi hujakosea.”

DALALI: “Sikuwai jua kama Mzee ana Bint mkubwa hivi na mzuri namna hii.”

IRYN: “Ulitaka akuambie kama ana bint au maswala ya kazi?”

Dalali hakuwa na neno tena na tuliingia ndani muda huu na mbele yangu ilikuwa inaonekana nyumba ya ghorofa moja.

IRYN: “Insider hapa ndo nimekulia.”

MIMI: “Memories never die.”

IRYN: “Dalali hii nyumba itabidi ifanyiwe ukarabati kwakweli ndani mpaka nje.”

DALALI: “Nilimwambia Mzee wako akasema atalifanyia kazi, mkifanya ukarabati hata kodi itaongezeka, hapa ni pazuri sana.”

IRYN: “Hawa wanamaliza lini muda wao?.”

DALALI: “Bado miezi 3 na mwingine miezi miwili.”

IRYN: “Itabidi uwape wateja zako taarifa mapema hakutakuwa na extensions kwaajili ya ukarabati.”

DALALI: “Sawa haina shida.”

Iryn alifanya ukaguzi wa mazingira yote lakini tulishindwa kuingia ndani sababu ya wapangaji.

IRYN: “Insider tuondoke nilikuwa nataka kuangalia mazingira ya nyumba nimeshaona tayari.”

MIMI: “Si unaendelea kuendesha?”

IRYN: “Sahivi utadrive mwenyewe.”

Tuliondoka pale Masaki na tulirudi home moja kwa moja na tuliwasili pale home saa 10 kasoro hivi.

Muda huu mawazo yalinijia ya kwenda kwa kina Prisca niliona ananifanyia utoto, niliplan kwenda kumwonyesha mimi sio wa kufanyiwa utoto na nitamwonesha palepale kwao.

*********
 
EPISODE 42

CONTINUE….

Niliondoka pale home bila hata kuaga na muda huu Mama J na Iryn walikuwa pale seblen. Na mimi niliamua kuondoka na ile Dualis.

Niliamua kwenda kwa kina Prisca baada ya kuona hapokei simu zangu na dizaini kama ananikwepa na mimi nilikuwa na wasiwasi, kwanini hayuko serious kwenye jambo kama hili?.

Ilinichukua dakika 10 tu kufika pale kwao na baada ya kufunguliwa geti niliingia ndani na nikapark gari. Baada ya kushuka kwa gari nilimwona Mary akiwa nje kibarazani amekaa na mimi nilikwenda moja kwa moja mpaka pale.

MIMI: “Nakuona shem wangu unapanga mipango.”

MARY: “Hahahaa Insider mambo?”

MIMI: “Poa tu unaendeleaje lakin?”

MARY: “Niko poa bora umekuja twende hata Kidimbwi nikapunguze mawazo.”

MIMI: “Mke wangu yuko wapi?”

MARY: “Ivy……., muite da Prisca, vipi mna Agenda gani.?”

MIMI: “Anazingua acha leo nimwoneshe mimi ni nani.”

MARY: “Kafanyaje tena?”

Na muda huu Prisca alitoka pale nje kibarazani na mimi nikamshika mkono huku namvuta mkono

MIMI: “Twende kwenye gari.”

MARY: “You guys mna shida gani leo?”

PRISCA: “Insider … subi.. subirii nivae viatu.”

Na muda huu nilikuwa namvuta kwenda kwenye gari kwa nguvu.

MIMI: “Kwanini unanikwepa? na simu zangu hupokei?”

PRISCA: “Insider subiri please.”

Nilifungua mlango wa gari wa mbele na kumuingiza, upande mwingine Mary na Ivy walikuwa wanacheka sana. Na mimi nilikuwa serious sana sikutaka masikhara kabisa maana niliona Prisca ananifanyia mambo ya kitoto acha nimwoneshe mimi ni mhuni.

Niliwasha gari na tukaanza kuondoka pale kwao,

“Insider tunakwenda wapi?”

“Hospital kucheki mimba hiyo.”

“Insider stop, please.”

Na muda huu nilikuwa nishaingia mwaikibaki road tayari. Na akili zangu zilikuwa zinanituma kwenda Rabininsia Hospital.

MIMI: “Nataka twende tukapime afya yako afu unasema nini hapa? Prisca ntakuzingua nadhani hunijui vizuri.”

PRISCA: “Sasa unanipeleka hospital niko peku?.”

MIMI: “Wewe ndo umeyataka ungekuwa unapokea simu hata tusingefika huku.”

PRISCA: “Insider mimba kweli ninayo unakwenda poteza muda wako tu.”

MIMI: “Bado sikuamini tukifika hospital ndo tutajua ukweli.”

PRISCA: “Insider nielewe bhasi I’m serious, tunaenda kupoteza muda huko.”

MIMI: “Siwezi poteza muda kwaajili ya mwanangu.”

Tulikwenda moja kwa moja na Bahari Beach road tukaja kupanda njia panda ya kwenda Tegeta nyuki. Na baada ya kufika pale sokoni nilipark gari pembeni na nikamchagulia sando nzuri ya kuvaa maana alikuwa peku miguuni.

Hatukutumia muda mrefu pale Sokoni na tuliondoka kuelekea Hospital. Baada ya kuwasili pale hospital nilifanya malipo kwaajili ya vipimo vyote muhimu pamoja na Ultra sound.

Baada ya kufika muda wa kuchukua vipimo vya Ultra sound na mimi niliingia ndani kushuhudia mambo. Na kweli vipimo vilionesha Prisca anamimba tayari ya week 4 na maendeleo yake yalikuwa mazuri. Pia Doctor alitumia muda huu kutupa elimu ya Afya kwa mama mjamzito na mambo mengine mengi.

Pia tulichukua vipimo vya damu na majibu yalionekana kuwa safi pande zote mbili, na Prisca alifanyiwa vipimo vingi sana hii siku.

Hapo sasa nikaamini Prisca alikuwa serious kuhusu mimba. Kwa upande wangu sikuwa hata na sauti ya kuhoji ile mimba, maana kama kufanya mapenzi na Prisca tulikuwa tunafanya sana na ubaya nilikuwa sinaga habari na kuvaa condom.

“Hii mimba ni yangu sasa hapa sina ujanja na kutoa hii mimba siwezi hata Prisca hayuko tayari, hili jambo lishakuwa serious tayari hapa itabidi niandae mipango mapema.”

Ukweli ni kwamba nilikuwa na mawazo sana muda huu nikiwa nimekaa pale kwenye bench nikimsubiri Prisca akichukuliwa vipimo. Maana niliwaza mama yangu atalichukuliaje hili suala pale ambapo nitampa taarifa, niliwaza pia na Mama J atanielewaje?.

Ukweli nilikuwa kwenye majuto makuu sana na nilijisemea kila kitu kinatokea kwa mipango ya Mungu. Huyu mtoto alishapangwa kuzaliwa hivyo sinabudi kuendelea kulaumu kwa jambo lililotokea, kama Prisca alishakubali kuwa mchepuko kulihandle hili suala ni rahisi.

Tulitumia kama saa 1 na nusu pale hospital na muda huu ilikuwa saa moja usiku tayari, hivyo tuliondoka pale na tulikwenda moja kwa moja mpaka Ledger Hotel, Bahari Beach.

Ilibidi nimpeleke pale ili tufanye mazungumzo juu ya ile mimba namna ya kuilea. Baada ya kuwasili pale hotelini tulitafuta sehem nzuri restaurant na tukakaa pale.

Baada ya mhudumu kuja kutusikiliza mimi niliagiza wine na Prisca aliagiza juice ya embe ‘Minute maid”, nilishangaa kwa mara ya kwanza namwona Prisca anaagiza juice.

“Usinambie mimba imekubadilisha tabia haraka hivi.”

“Yeah sahivi mimi na Juice tu.”

“Ni jambo zuri, huko kwenu bado hujashtukiwa tu?.”

“Bado maana nalala na Ivy hajui lolote hata hivyo mimba bado haijaanza kuchanganya kwasasa napata dalili za kawaida tu.”

“Kwanini ulishika mimba wakati unajua hali halisi Prisca.”

“Insider ulishawai hata siku moja kukumbuka kinga?.”

“Hata wewe lilikuwa ni jukumu lako kunikumbusha.”

“Umenipandisha stim tayari nakumbukaje?”

“Ulishasema unataka kunizalia najua umefanya makusudi.”

“One day nitakuambia kwanini nimeamua kufanya hivi ila wewe kuwa na amani mimi sitoingilia ndoa yako ila naomba uwe unamkumbuka mwanao. Na huyu nitakuzalia wa kike atafanana na wewe kwa kila kitu.”

“Wewe unachukulia simple unafikiri wazazi wataelewa binti yao azalishwe tu bila kuolewa?”

“Sidhani kama wazazi wangu watakuwa tatizo wewe ondoa shaka mimi ni mtu mzima tayari.”

“Kwanini umechukua maamuzi ya kijinga hivi Prisca.”

“Sikuwai kukukatalia kutumia kinga ina maana wewe ulifikiri unamwagilia shamba na lisitoe mazao?”

“Sawa bhana ila naomba uwe smart kama tulivyokubaliana hiyo mimba mimi nitaielea na kuitunza.”

“Honey nampango wa kuondoka pale home nikapange ili uwe free kuja kuniona wakati wowote.”

“Unaona hio ni good idea? Home watakuruhusu?”

“Nitawaambia nakwenda hostel.”

“Na umeplan kupanga maeneo gani?”

“Makongo juu au Changanyikeni wewe unaona wapi panafaa.”

“Changanyikeni kuzuri na karibu na chuo usafiri ni bajaji moja tu na ni sehem salama.”

“Sawa nitatafuta huko.”

“Utanambia bajeti zikoje ili tuone tunafanyaje.”

“Suala la kodi niachie mimi, wewe nisaidie kununua baadhi ya vitu muhimu vya ndani.”

“Sawa itabidi utafute na dada wa kazi.”

“Insider acha kuniona mimi laini sana mimba ndogo hii dada wa kazi wa nini kwasasa?, nitakuwa nakaa na Eva.”

“Sawa haina shida ni wewe. Na kilichokuwa kinafanya unanikwepa ni nini?”

“Insider nilikuwa sikuamini nilijua utanifanyia kitu kibaya ila nimegundua una mapenzi ya kweli na mimi.”

“Ulikuwa na utoto unakusumbua”

“Insider mwanao anacheza I can feel it.”

“Acha siasa na wewe mapema hivi mtoto anachezaje?, embu tuondoke”

Tulitoka pale restaurant na tulikwenda parking tulikokuwa tumepark gari na baada ya kuingia kwenye gari Prisca alinivuta na akaanza kunipa makis. Prisca alionesha anataka bakora muda huu, tuliondoka pale na tulikwenda moja ya lodge ya kule Bahari Beach. Ni bakora zilitembezwa humo ndani na kelele za utamu zilikuwa zikisikika muda huu. Mama kijacho alinipa style zote hii siku na ni moja ya sex tamu kupewa na Prisca usiku huu, that night was beautiful.

Baada ya mchezo kuisha Prisca alipitiwa na usingizi maana alikuwa hoi bin taaban. Na muda huu Mary alinipigia simu na nikaipokea

MARY: “You guys mko salama huko maana Prisca hapokei simu.”

MIMI: “We are good usiwe na wasiwasi Prisca amesahau simu kwenye gari.”

MARY: “Nilikuwa na wasiwasi maana mmeondoka kwa shari na mpaka sasa naona Prisca hajarudi.”

MIMI: “Do you really think nitamfanyia kitu kibaya Prisca?”

MARY: “No I just worried ndomana. Mko wapi sasa?.”

MIMI: “Tuko Bahari Beach tutarudi soon.”

MARY: “Hivi unajua mama ameshuhudia lile tukio?”

MIMI: “Mary acha utani Bimkubwa alikuwepo?”

MARY: “I swear to God, sikudanganyi na ameshuhudia mchezo mzima mliokuwa mnafanya.”

MIMI: “Hii ya leo ni noma kwakweli.”

MARY: “Na ametoka kumwulizia hapa kama amerudi nikamwambia bado.”

MIMI: “Kwahiyo tuseme Mama kashajua kinachoendelea kati yetu?”

MARY: “Toka ile siku umekuja ukamkuta alishajua wewe na Prisca ni wapenzi japo Prisca alikuwa anakataa, sasa hii ya leo ndo amegongelea msumari. Usiwe na wasiwasi mama hana shida kabisa kuwa na amani usije ukaanza kuogopa kuja hapa home.”

MIMI: “Haahahaa hamna bhana hapo ni home tu nitakuwa nakuja kama kawaida.”

MARY: “Sawa na vipi kuhusu suala la kwenda Mikumi?”

MIMI: “Kwani ulikuwa bado hujaenda tu maana ulinambia mwisho wa mwezi wa 5.”

MARY: “Weekend inayokuja tunakwenda.”

MIMI: “Ok sawa tutaongea hili sawa?”

MARY: “No problem.”

Ilibidi nimuamshe Prisca sababu muda ulikuwa umekwenda sana na saa yangu ilikuwa inaonesha saa 5 usiku tayari.

Kwa upande mwingine Iryn naye alikuwa ameanza kunipigia simu na mimi sikutaka kupokea simu zake muda huu,na alipiga simu mara 3 nikasema nitamkuta home tutaongea nikirudi.

Tuliondoka pale na Prisca nikamrudisha kwao na mimi nikarudi home. Ukweli ni kwamba hii siku Prisca alioneka kuwa na maongezi ya kiutu uzima sana na alionekana kuwa matured, nilihisi mimba imeanza kumbadilisha tabia tayari.

Sikutumia muda mrefu kuwasili pale nyumbani na baada ya kuingia ndani nilimkuta Iryn akiwa peke yake pale seblen anaangalia movie. Nilimsalimia na akajibu japo hakuonesha furaha ni kama alikuwa kamind hivi.

Niliingia kwanza chumbani nikakuta wife kalala nikarudi tena seblen.

“Mummy are you ok?”

“Where have you been?”

“Nilikuwa naangalia match pale 25.” Ilibidi nimdanganye tu.

“Sawa haina shida, kilichofanya usipokee simu ni nini?”

“Simu nilisahau kwa gari, wakati narudi ndo nikaona missed call zako nikasema haina haja ya kukutafuta maana narudi tutaongea huku, everything is ok?”

“Yeah mimi nakwenda kulala, kesho tutakwenda kuangalia hizo apartments.”

“Sawa haina shida usiku mwema.”

Na mimi wakati niko pale seblen nilikuwa na mawazo juu ya suala la Prisca na muda huu nilikuwa nawaza hili suala litabaki kuwa siri yangu. Niliwaza hata mama yangu mzazi sitomwambia mpaka mtoto atakavyokuwa mkubwa. Kuhusu mama J niliwaza kuja kumwambia badae sana mtoto akishakuwa mkubwa na tumefunga harusi tayari.

Naam ndugu zangu, mpaka sasa nimeprove mwenyewe hospital Prisca ni mjamzito tayari na ninatarajia kupata mtoto wa pili, Junior anatarajia kupata mdogo wake.

EPISODE 43[emoji116]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
 
EPISODE 42

CONTINUE….

Niliondoka pale home bila hata kuaga na muda huu Mama J na Iryn walikuwa pale seblen. Na mimi niliamua kuondoka na ile Dualis.

Niliamua kwenda kwa kina Prisca baada ya kuona hapokei simu zangu na dizaini kama ananikwepa na mimi nilikuwa na wasiwasi, kwanini hayuko serious kwenye jambo kama hili?.

Ilinichukua dakika 10 tu kufika pale kwao na baada ya kufunguliwa geti niliingia ndani na nikapark gari. Baada ya kushuka kwa gari nilimwona Mary akiwa nje kibarazani amekaa na mimi nilikwenda moja kwa moja mpaka pale.

MIMI: “Nakuona shem wangu unapanga mipango.”

MARY: “Hahahaa Insider mambo?”

MIMI: “Poa tu unaendeleaje lakin?”

MARY: “Niko poa bora umekuja twende hata Kidimbwi nikapunguze mawazo.”

MIMI: “Mke wangu yuko wapi?”

MARY: “Ivy……., muite da Prisca, vipi mna Agenda gani.?”

MIMI: “Anazingua acha leo nimwoneshe mimi ni nani.”

MARY: “Kafanyaje tena?”

Na muda huu Prisca alitoka pale nje kibarazani na mimi nikamshika mkono huku namvuta mkono

MIMI: “Twende kwenye gari.”

MARY: “You guys mna shida gani leo?”

PRISCA: “Insider … subi.. subirii nivae viatu.”

Na muda huu nilikuwa namvuta kwenda kwenye gari kwa nguvu.

MIMI: “Kwanini unanikwepa? na simu zangu hupokei?”

PRISCA: “Insider subiri please.”

Nilifungua mlango wa gari wa mbele na kumuingiza, upande mwingine Mary na Ivy walikuwa wanacheka sana. Na mimi nilikuwa serious sana sikutaka masikhara kabisa maana niliona Prisca ananifanyia mambo ya kitoto acha nimwoneshe mimi ni mhuni.

Niliwasha gari na tukaanza kuondoka pale kwao,

“Insider tunakwenda wapi?”

“Hospital kucheki mimba hiyo.”

“Insider stop, please.”

Na muda huu nilikuwa nishaingia mwaikibaki road tayari. Na akili zangu zilikuwa zinanituma kwenda Rabininsia Hospital.

MIMI: “Nataka twende tukapime afya yako afu unasema nini hapa? Prisca ntakuzingua nadhani hunijui vizuri.”

PRISCA: “Sasa unanipeleka hospital niko peku?.”

MIMI: “Wewe ndo umeyataka ungekuwa unapokea simu hata tusingefika huku.”

PRISCA: “Insider mimba kweli ninayo unakwenda poteza muda wako tu.”

MIMI: “Bado sikuamini tukifika hospital ndo tutajua ukweli.”

PRISCA: “Insider nielewe bhasi I’m serious, tunaenda kupoteza muda huko.”

MIMI: “Siwezi poteza muda kwaajili ya mwanangu.”

Tulikwenda moja kwa moja na Bahari Beach road tukaja kupanda njia panda ya kwenda Tegeta nyuki. Na baada ya kufika pale sokoni nilipark gari pembeni na nikamchagulia sando nzuri ya kuvaa maana alikuwa peku miguuni.

Hatukutumia muda mrefu pale Sokoni na tuliondoka kuelekea Hospital. Baada ya kuwasili pale hospital nilifanya malipo kwaajili ya vipimo vyote muhimu pamoja na Ultra sound.

Baada ya kufika muda wa kuchukua vipimo vya Ultra sound na mimi niliingia ndani kushuhudia mambo. Na kweli vipimo vilionesha Prisca anamimba tayari ya week 4 na maendeleo yake yalikuwa mazuri. Pia Doctor alitumia muda huu kutupa elimu ya Afya kwa mama mjamzito na mambo mengine mengi.

Pia tulichukua vipimo vya damu na majibu yalionekana kuwa safi pande zote mbili, na Prisca alifanyiwa vipimo vingi sana hii siku.

Hapo sasa nikaamini Prisca alikuwa serious kuhusu mimba. Kwa upande wangu sikuwa hata na sauti ya kuhoji ile mimba, maana kama kufanya mapenzi na Prisca tulikuwa tunafanya sana na ubaya nilikuwa sinaga habari na kuvaa condom.

“Hii mimba ni yangu sasa hapa sina ujanja na kutoa hii mimba siwezi hata Prisca hayuko tayari, hili jambo lishakuwa serious tayari hapa itabidi niandae mipango mapema.”

Ukweli ni kwamba nilikuwa na mawazo sana muda huu nikiwa nimekaa pale kwenye bench nikimsubiri Prisca akichukuliwa vipimo. Maana niliwaza mama yangu atalichukuliaje hili suala pale ambapo nitampa taarifa, niliwaza pia na Mama J atanielewaje?.

Ukweli nilikuwa kwenye majuto makuu sana na nilijisemea kila kitu kinatokea kwa mipango ya Mungu. Huyu mtoto alishapangwa kuzaliwa hivyo sinabudi kuendelea kulaumu kwa jambo lililotokea, kama Prisca alishakubali kuwa mchepuko kulihandle hili suala ni rahisi.

Tulitumia kama saa 1 na nusu pale hospital na muda huu ilikuwa saa moja usiku tayari, hivyo tuliondoka pale na tulikwenda moja kwa moja mpaka Ledger Hotel, Bahari Beach.

Ilibidi nimpeleke pale ili tufanye mazungumzo juu ya ile mimba namna ya kuilea. Baada ya kuwasili pale hotelini tulitafuta sehem nzuri restaurant na tukakaa pale.

Baada ya mhudumu kuja kutusikiliza mimi niliagiza wine na Prisca aliagiza juice ya embe ‘Minute maid”, nilishangaa kwa mara ya kwanza namwona Prisca anaagiza juice.

“Usinambie mimba imekubadilisha tabia haraka hivi.”

“Yeah sahivi mimi na Juice tu.”

“Ni jambo zuri, huko kwenu bado hujashtukiwa tu?.”

“Bado maana nalala na Ivy hajui lolote hata hivyo mimba bado haijaanza kuchanganya kwasasa napata dalili za kawaida tu.”

“Kwanini ulishika mimba wakati unajua hali halisi Prisca.”

“Insider ulishawai hata siku moja kukumbuka kinga?.”

“Hata wewe lilikuwa ni jukumu lako kunikumbusha.”

“Umenipandisha stim tayari nakumbukaje?”

“Ulishasema unataka kunizalia najua umefanya makusudi.”

“One day nitakuambia kwanini nimeamua kufanya hivi ila wewe kuwa na amani mimi sitoingilia ndoa yako ila naomba uwe unamkumbuka mwanao. Na huyu nitakuzalia wa kike atafanana na wewe kwa kila kitu.”

“Wewe unachukulia simple unafikiri wazazi wataelewa binti yao azalishwe tu bila kuolewa?”

“Sidhani kama wazazi wangu watakuwa tatizo wewe ondoa shaka mimi ni mtu mzima tayari.”

“Kwanini umechukua maamuzi ya kijinga hivi Prisca.”

“Sikuwai kukukatalia kutumia kinga ina maana wewe ulifikiri unamwagilia shamba na lisitoe mazao?”

“Sawa bhana ila naomba uwe smart kama tulivyokubaliana hiyo mimba mimi nitaielea na kuitunza.”

“Honey nampango wa kuondoka pale home nikapange ili uwe free kuja kuniona wakati wowote.”

“Unaona hio ni good idea? Home watakuruhusu?”

“Nitawaambia nakwenda hostel.”

“Na umeplan kupanga maeneo gani?”

“Makongo juu au Changanyikeni wewe unaona wapi panafaa.”

“Changanyikeni kuzuri na karibu na chuo usafiri ni bajaji moja tu na ni sehem salama.”

“Sawa nitatafuta huko.”

“Utanambia bajeti zikoje ili tuone tunafanyaje.”

“Suala la kodi niachie mimi, wewe nisaidie kununua baadhi ya vitu muhimu vya ndani.”

“Sawa itabidi utafute na dada wa kazi.”

“Insider acha kuniona mimi laini sana mimba ndogo hii dada wa kazi wa nini kwasasa?, nitakuwa nakaa na Eva.”

“Sawa haina shida ni wewe. Na kilichokuwa kinafanya unanikwepa ni nini?”

“Insider nilikuwa sikuamini nilijua utanifanyia kitu kibaya ila nimegundua una mapenzi ya kweli na mimi.”

“Ulikuwa na utoto unakusumbua”

“Insider mwanao anacheza I can feel it.”

“Acha siasa na wewe mapema hivi mtoto anachezaje?, embu tuondoke”

Tulitoka pale restaurant na tulikwenda parking tulikokuwa tumepark gari na baada ya kuingia kwenye gari Prisca alinivuta na akaanza kunipa makis. Prisca alionesha anataka bakora muda huu, tuliondoka pale na tulikwenda moja ya lodge ya kule Bahari Beach. Ni bakora zilitembezwa humo ndani na kelele za utamu zilikuwa zikisikika muda huu. Mama kijacho alinipa style zote hii siku na ni moja ya sex tamu kupewa na Prisca usiku huu, that night was beautiful.

Baada ya mchezo kuisha Prisca alipitiwa na usingizi maana alikuwa hoi bin taaban. Na muda huu Mary alinipigia simu na nikaipokea

MARY: “You guys mko salama huko maana Prisca hapokei simu.”

MIMI: “We are good usiwe na wasiwasi Prisca amesahau simu kwenye gari.”

MARY: “Nilikuwa na wasiwasi maana mmeondoka kwa shari na mpaka sasa naona Prisca hajarudi.”

MIMI: “Do you really think nitamfanyia kitu kibaya Prisca?”

MARY: “No I just worried ndomana. Mko wapi sasa?.”

MIMI: “Tuko Bahari Beach tutarudi soon.”

MARY: “Hivi unajua mama ameshuhudia lile tukio?”

MIMI: “Mary acha utani Bimkubwa alikuwepo?”

MARY: “I swear to God, sikudanganyi na ameshuhudia mchezo mzima mliokuwa mnafanya.”

MIMI: “Hii ya leo ni noma kwakweli.”

MARY: “Na ametoka kumwulizia hapa kama amerudi nikamwambia bado.”

MIMI: “Kwahiyo tuseme Mama kashajua kinachoendelea kati yetu?”

MARY: “Toka ile siku umekuja ukamkuta alishajua wewe na Prisca ni wapenzi japo Prisca alikuwa anakataa, sasa hii ya leo ndo amegongelea msumari. Usiwe na wasiwasi mama hana shida kabisa kuwa na amani usije ukaanza kuogopa kuja hapa home.”

MIMI: “Haahahaa hamna bhana hapo ni home tu nitakuwa nakuja kama kawaida.”

MARY: “Sawa na vipi kuhusu suala la kwenda Mikumi?”

MIMI: “Kwani ulikuwa bado hujaenda tu maana ulinambia mwisho wa mwezi wa 5.”

MARY: “Weekend inayokuja tunakwenda.”

MIMI: “Ok sawa tutaongea hili sawa?”

MARY: “No problem.”

Ilibidi nimuamshe Prisca sababu muda ulikuwa umekwenda sana na saa yangu ilikuwa inaonesha saa 5 usiku tayari.

Kwa upande mwingine Iryn naye alikuwa ameanza kunipigia simu na mimi sikutaka kupokea simu zake muda huu,na alipiga simu mara 3 nikasema nitamkuta home tutaongea nikirudi.

Tuliondoka pale na Prisca nikamrudisha kwao na mimi nikarudi home. Ukweli ni kwamba hii siku Prisca alioneka kuwa na maongezi ya kiutu uzima sana na alionekana kuwa matured, nilihisi mimba imeanza kumbadilisha tabia tayari.

Sikutumia muda mrefu kuwasili pale nyumbani na baada ya kuingia ndani nilimkuta Iryn akiwa peke yake pale seblen anaangalia movie. Nilimsalimia na akajibu japo hakuonesha furaha ni kama alikuwa kamind hivi.

Niliingia kwanza chumbani nikakuta wife kalala nikarudi tena seblen.

“Mummy are you ok?”

“Where have you been?”

“Nilikuwa naangalia match pale 25.” Ilibidi nimdanganye tu.

“Sawa haina shida, kilichofanya usipokee simu ni nini?”

“Simu nilisahau kwa gari, wakati narudi ndo nikaona missed call zako nikasema haina haja ya kukutafuta maana narudi tutaongea huku, everything is ok?”

“Yeah mimi nakwenda kulala, kesho tutakwenda kuangalia hizo apartments.”

“Sawa haina shida usiku mwema.”

Na mimi wakati niko pale seblen nilikuwa na mawazo juu ya suala la Prisca na muda huu nilikuwa nawaza hili suala litabaki kuwa siri yangu. Niliwaza hata mama yangu mzazi sitomwambia mpaka mtoto atakavyokuwa mkubwa. Kuhusu mama J niliwaza kuja kumwambia badae sana mtoto akishakuwa mkubwa na tumefunga harusi tayari.

Naam ndugu zangu, mpaka sasa nimeprove mwenyewe hospital Prisca ni mjamzito tayari na ninatarajia kupata mtoto wa pili, Junior anatarajia kupata mdogo wake.

TO BE CONTINUED
19:00 [emoji797]

Hii ngoma naona imebakiza page nying sana mana ndio kwanza ya moto
 
Back
Top Bottom