Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yalisha pita ni kweli ila sitochoka kuwakumbusha watu kuwa watu wa humu ni wanaroho mbaya hatari wanaweza kukuharibia bila hata sababu so watu wema wawe makini sana kuna watu humu wanamaisha magumu wanacho fikiri ni kuwaharibia wenye maisha mazuri ili wote wawe na maisha magumu kama waoWe naweeee si yalishapita..wasamehe bwana
Sema ni vile mamake kashamchimba bit aachane nae sasaSana yaniii.... ... Hapo ndio upendo wa kweli wa so called Insider kwa Prisca tutauona sasa!
Yeah kwa alichokazia mama mtu... Something bad may happen!Sema ni vile mamake kashamchimba bit aachane nae sasa
Asante Sana kwa kunishtua mkuuWabheja sana sis yaniii sijui niliishiaga wapi hata!! Ngoja nipatafute!
Forget and forgive.........yashapita ila nado una kinyongoYalisha pita ni kweli ila sitochoka kuwakumbusha watu kuwa watu wa humu ni wanaroho mbaya hatari wanaweza kukuharibia bila hata sababu so watu wema wawe makini sana kuna watu humu wanamaisha magumu wanacho fikiri ni kuwaharibia wenye maisha mazuri ili wote wawe na maisha magumu kama wao
[emoji3][emoji3][emoji3]INSIDER MAN upo Dodoma sehem gan nije unisimulie kipande kilichobaki, isije kuwa kila baada ya masaa mawili nachungulia huku, kumbe tupo mitaa jirani tu
Jamaa wa kituoKituo.
Yah mawazo sawa na mie...Hivi Mimi ndio naelewa tofauti??......kwa uelewa wangu hii story mwanzoni ilikuwa true story kweli....ila hapa KATIKATI huyu jamaaa kaamua kuigeuza kuwa FICTIONAL tuuu(nahisi alishindwa kumla iryn) mpk tunavyoongea story imegeuka kuwa dialogue hamna Cha kujifunza
Sisi wafuatiliaji kitambo alisemaga atamaliza hii simulizi kwenye episode za 30s[emoji1][emoji1][emoji1].....kipindi icho nikimaanisha episode 29 zilikuwa nondo kweli mtu unajifunza kitu Ila from there nothing it's seems nothing new.
Haya Ni maoni yangu ila Ni wazi hii mnao scroll down tupo wengiii...... nasubiri comment ya
Hata mimi nilikuwa nawaza kama wewe mkuuHivi Mimi ndio naelewa tofauti??......kwa uelewa wangu hii story mwanzoni ilikuwa true story kweli....ila hapa KATIKATI huyu jamaaa kaamua kuigeuza kuwa FICTIONAL tuuu(nahisi alishindwa kumla iryn) mpk tunavyoongea story imegeuka kuwa dialogue hamna Cha kujifunza
Sisi wafuatiliaji kitambo alisemaga atamaliza hii simulizi kwenye episode za 30s[emoji1][emoji1][emoji1].....kipindi icho nikimaanisha episode 29 zilikuwa nondo kweli mtu unajifunza kitu Ila from there nothing it's seems nothing new.
Haya Ni maoni yangu ila Ni wazi hii mnao scroll down tupo wengiii...... nasubiri comment ya