Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Who is your favorite character in the story? So far and why?
Bro you kwa sababu napambana na una akili pia ya utafutaji kingine una keep promise na una utu I see you taking care of Jane hata baada ya mzee Pama kufariki.

and wapili ni
mama J aiseee mmetoka mbali sana na ana upendo wa kweli kwako...... Iryn si sana kwangu she is good but daah kamla kisogo mama J hapo tu aliponichosha mhabeshi yule 😂😂😂 japo nilikua napenda umle na umemla sasa sijui nammindia nini dada wa watu😂😂😂😂😂 aah bhana namhurumia mama J wangu tu kusalitiwa.
 
Picha nayovuta ya Iryn akiwa ametoka kuogelea. INSIDER MAN nipe marks kama anakaribiana na huyuView attachment 2787125
Wote walioposti humu angalau wewe ndiye umsileta sura ya irene Sasa Mana pia sura ya kihabeshi ipo.yaani hapa sawa Ila wengine wanachukua hawa wasukuma wanyantuzu wa nkororo wanamfananisha kisa rangi
 
Halafu inside mapenzi hayo ya Irene huwa nayependa ulaya ndio wako ivyo yaani mate kila mahala hata kwa daladala ,supamaketi. Ila ulizingua Ile kumcheki privacy zake mpaka dm za social networks. Ukipata demu mzungu ukifanya ivyo ndio utajua na una bahati angekuwekea mtego akakunasa ungekula ban mazima. Yaani kumuoa ama kuolewa sio kuwa ndio unammiliki mpaka anachopenda ama Uhuru. Yaani afrika wanajua mpenzi wako Ni mtumwa wako. Ile Ni just agreement ya wawili kuishi pamoja
 
After some years in the future your perception about love will change

jipe muda tu

Kila mtu ana mtazamo wako kwenye kila kitu mkuu... nilishawahi yakimbia mahusiano baada ya kujua kuwa mupenzi nae ana mupenzi wake[emoji23] ila ya sasa hivi nakomaa nayo mana mostly wapenzi wa mupenzi wananikuta ko simwachi mtuu

Swali langu ni kuwa unampendaje mtu ambae tayari yupo kwenye mahusino na mtu ambaye unajua kabisa hata iwaje hawezi kumwacha??
 
Who is your favorite character in the story? So far and why?
You my friend. Kwanza Uko vizuri kwenye kupambana.
Pili nilichojifunza zaidi kizuri kwako huna tamaa. Kwa hiyo tamaa inajikuta inakufuata yenyewe baada wewe kuikataa.

Kwanza tukianzia kwenye Ubber katika wateja wako wote uliokutana nao kufanya nao kazi. Hapo vijana wengi wangekuwa wameshaharibu. Iwe kwa kumpiga zaidi ya bei ya kawaida kwenye usafiri,maana kuna muda ulikuwa unaachiwa useme ni kiasi gani ktk mizunguko yenu,lakini mwamba ulikuwa unacheza fair unawaambia nauli ya kawaida bila kuangalia uwezo wa mtu. Kuna muda ulikuwa unawapa fair kabisa kwa kuwaambia leo nauli nimesamehe. Hicho kilikuwa kinawaachia maswali sana. Na kimekutengenezea uaminifu sana.

Mfano mzee Pama,ingekuwa kijana mwingine angekuwa ameharibu kitambo kwa huyu mzee,iwe kwa kumuomba omba hela hasa pale ulipopewa uhuru wa kusema chochote utakacho. Kwa mzee Pama ulicheza sana.

Ukija kwa Iryn hujafanya haraka kabisa kama hutaki vile. Kuna muda amekutega sana iwe kwa pesa kukuangalia au kivingine. Lakini mwamba hukuniangusha,umecheza kama Pele. Pamoja na kujirengesha kila mara,lakini ukawa unamkwepa kila mara. Ukasubiri muda muafaka. Ukasubiri muda yeye mwenyewe atengeneze njia ya wazi na aseme kwa sauti na mwisho amesema hapo ukafanikiwa tena kwa kiasi kikubwa kumfanya awe weak kwako kwa hali. Umejijengea uaminifu mkubwa sana kwake. Hongera sana.

Pia ukija kwa wengine kama Mbotswana, Prisca,Jane,Mary,Sumaiya. Umecheza kwa nafasi yako murua kabisa. Hukuikimbilia kuichagua tamaa. Tamaa ndio ikawa inakutafuta yenyewe.
Kwa ujumla kuna mengi ya kuelezea kuhusiana na hii FILAMU,lakini naona nitawachukulia muda. Kuna mengi sana ya kujifunza

Nasemaje MUNGU anijalie tu nipate maokoto, Hii ni bonge moja la series. BONGE MOJA LA FILAMU.

BIG UP SANA INSIDER MAN
 
Bro you kwa sababu napambana na una akili pia ya utafutaji kingine una keep promise na una utu I see you taking care of Jane hata baada ya mzee Pama kufariki.

and wapili ni
mama J aiseee mmetoka mbali sana na ana upendo wa kweli kwako...... Iryn si sana kwangu she is good but daah kamla kisogo mama J hapo tu aliponichosha mhabeshi yule [emoji23][emoji23][emoji23] japo nilikua napenda umle na umemla sasa sijui nammindia nini dada wa watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aah bhana namhurumia mama J wangu tu kusalitiwa.

Mtuombee sana wanaume, tunapitia mengi sana.
 
Mama J, coz I am also a mother and a wife to someone ambae ninajitahidi kupambana kadri niwezavyo ili kumpunguzia mzigo wa majukum mr wangu.

Hongera sana kwakua mother na kuwa mpambanaji bila shaka Mr, anafurahia matunda kutoka kwako[emoji120]
 
Who is your favorite character in the story? So far and why?
Bimkubwa wako japo hajaonekana mara nyingi ila kuna namna alikuwa ananikosha na ushauri wake juu ya matatizo uliyokuwa ukimpelekea.
Nasema hivyo sababu bimkubwa wako anaplay role yake vizuri kama mzazi kuhakikisha mwanae hapati madhara ya walimwengu.
Ukimtoa huyo aisee irene amecheza part yake fresh kwenye hili muvi as among the main characters na huwa kila nikijaribu kumuimagine sipati picha namna alivyo.
Ukimtoa huyo wengine wamecheza characters zao vizuri ikiwemo wewe japo ilibidi matukio mengi ujihusishe wewe sababu wewe ndie narrator wa story.

All in all big up movie lako lina hadhi ya kwenda manetflix .
 
Back
Top Bottom