Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ndomana nakushangaa unavyotoa comments kama ulishawai kumuona kumbe na wewe unatoa comments kupitia story.

[emoji1544][emoji1544]
mkuu nikuelimishe tu tena nitumie lugha rahisi kuna watu wana uwezo wa kuchora picha ya mtu na kupatia 100% kutokana na maelezo aliyopewa tu kuhusu mtu huyo. kwa hyo mkuu huyo iryn sio malaya, ni kahaba tena kahaba mchafu.
 
Ndomana nakushangaa unavyotoa comments kama ulishawai kumuona kumbe na wewe unatoa comments kupitia story.

[emoji1544][emoji1544]
Na zaidi hata ungemuuliza hilo swali mtunzi, asingejibu kama unavotaka wewe, labda naye awe kilaza tu.
 
mkuu nikuelimishe tu tena nitumie lugha rahisi kuna watu wana uwezo wa kuchora picha ya mtu na kupatia 100% kutokana na maelezo aliyopewa tu kuhusu mtu huyo. kwa hyo mkuu huyo iryn sio malaya, ni kahaba tena kahaba mchafu.

Sababu ya kufanya massage? au kuna sababu nyingine tena?

By my side nahisi huyu dem alikuwa Jasusi na Massage ilikuwa kama kificho, Insider hawezi andika kila kitu. Ukisoma jina la uzi nahisi kuna siri imejificha kwa Iryn tusubiri mwisho then tuanze kudiscuss
 
Unaona sasa shida yako? mkuu haya mambo yanakuzidi umri, yaani ni makubwa sana kuliko ww.

On my side nahisi huyu dem alikuwa Jasusi na Massage ilikuwa kama kificho, Insider hawezi andika kila kitu. Ukisoma jina la uzi nahisi kuna siri imejificha kwa Iryn tusubiri mwisho then tuanze kudiscuss,
 
By my side nahisi huyu dem alikuwa Jasusi na Massage ilikuwa kama kificho, Insider hawezi andika kila kitu. Ukisoma jina la uzi nahisi kuna siri imejificha kwa Iryn tusubiri mwisho then tuanze kudiscuss,
by your side?? english english english, sina cha kudiscuss mkuu.
 
Back
Top Bottom