Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

mimi naungana na insider yupo sahihi.
Mwanamke ana pesa ana elimu ana kila kitu ni sahihi kabisa kumpa mimba. Kuliko angezaa na wanawake wanaonuka jasho, kisirani, ugumu wa maisha kama walivyo wengi hapa wakimtukana.
Hapo insider atawaoa wote kwa ndoa ya mila. Aache kusikiliza mawazo ya wanawake maskini kama wengi wanavyomshauri. Mwanamke hajawahi hata kumiliki wigi anaanza kumshauri insider kuhusu mwanamke mwenzake mwenye pesa nyingi.
Insider asisikilize watu maskini kwenye mambo kama haya maskin huwa tuna Laana aendelee yupo sahihi kabisa.
Tukisema wanaume wameisha ndo hvi yani mwanaume kufanya lolote aongwe pesa ya kike
 
Shaggy aliimba wimbo "Strength Of the Woman" na wengine women's power na dunia inawatumia wanawake ili mambo yawe rahisi au yafanikiwe. Hakuna mwanaume mwenye nguvu mbele ya mwanamke mkuu na kwenye maisha ya kila mwanaume huwa anatokea mwanamke mmoja ambaye huwezi pindua kwake na si lazima awe mke wako. Tena anaweza asiwe na sifa nzuri kama mke wako ila ndio anakushika masikio. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Jaribu kukumbuka kisa cha Pastor wa Kawe alivyotulizwa kupiga kelele kuhusu kiongozi wa mkoa wa Dsm

If you're a big man you can understand what Insider Boy is going through. Kwa huyo mwanamke alihitaji kuwa smart si kukurupuka.
sawa mkuu tunachoogopa ni marinda yeny tu kama mnaweza kufanya lolote mpate kitu
 
Depreciation= (Value of Asset - Residual value)/Useful life. Only legends can understand this.
Njaa tu na uoga wako stand ur balls mwanamke kakupenda acha unyonge na kunyanyaswa weka kibesi sio unafanya vitu mradi yeye aridhike kiti unakondea ndani kwa ndani unapelekeshwa unaleta issue za uchakavu hapa. Mkuu ni vile hii kitu ni ya kutunga ndo mana nakubaliana kutokubaliana. Otherwise tushushie vitu tuipeleke mvua long weekend
 
alaf wwe dada, naona una roo ya umaskn na kwasababu unavo muongelea iryn kama n mtu mweny hatia kumpenda jamaaa alaf kumbuka mam j bad hajaolewa na iryn bad hajaolew ila jamaaa aliwai kumzalsha mama j na kama kpnd hiko angekutana na iryn kabl ya mam j angemuona iryn
Alaf iryn sio anajpa credit kwa jamaa kisa ana pesa hapan ni vile tyu amempend jamaa kutok moyon ila kwa kua wew.ni mshenz maskn ndo maana unaroo ya kwanini istoshe kama iryn angekua malaya asngekbal kaz yeny inamuingizia pesa ming san kxa jamaa mana hata jamaaa hana maisha ya kumuaford iryn hata kwa zero point zero one perce hamna
MIDADA YA KIBONGO YENYEWE INAWAZA UPUUZ MAPENZ NA PESA yan hain mapenz ya dhat kabxa yan ndo maana inatumika zen inaishia kupata mimb zszokua na baba na magonjwa ya znaaa
acha wivu utakufa mapepa
We jamaa huwezi kumuelewesha mwenzio vizuri mapaka umuite Masikini?
 
Hata mimi niliwaza sana hili kwenye hii story, INSIDER MAN anaona iryn yuko sawa kuwa mchepuko na kufanya lolote nikawaza je angekuwa prisca amepokea simu ya mama ake si angemtoa baru na makofi juu? Afu iryn anjihesabia haki kuliko malaya wengine na kumuwekea masharti juu hajui kama naye ni malayer kama malayer wengine walioamua kumharibia ndoa yake na mama j, na kwa vile ana hela bado anampeleka hadi home kisa anawafanyia shopping sheeiinzi kabisa
Mimi Nampa big up Sana insider kwa maana na kwa jinsi anavyolicheza game Yuko makini Sana, mistake ni ndogo ndogo Sana na pia ni zakibinadamu, kwa namna Insider anaweza Ku handle hizo harakati na awo Wadada jamaa anajitahidi Sana,Bora ukomae na Boss lady anayejitambua iryne...siyo wakina Asmah, lkn wakijichanganya kula vitu baharia...hizo ndo kazi za vidume
 
Kwa namna Insider anavyocheza na awa mamanzi ni dhahiri kwamba wanawake washakuwa wengi Sana na wanaune tushapungua Sana kiasi kwamba, ukijiweka smart tu Mzee baba, unaweza miliki Manzi kibao Sana Tena ambazo zipo Smart kichwani na beautiful na Zina pesa ...siyo zile chafu chafu km za kule kwa mpalange.
 
Kwa namna Insider anavyocheza na awa mamanzi ni dhahiri kwamba wanawake washakuwa wengi Sana na wanaune tushapungua Sana kiasi kwamba, ukijiweka smart tu Mzee baba, unaweza miliki Manzi kibao Sana Tena ambazo zipo Smart kichwani na beautiful na Zina pesa ...siyo zile chafu chafu km za kule kwa mpalange.
ukichangia tu mawazo yako bila kutukana wanawake ujumbe wako hautofika?
 
alaf wwe dada, naona una roo ya umaskn na kwasababu unavo muongelea iryn kama n mtu mweny hatia kumpenda jamaaa alaf kumbuka mam j bad hajaolewa na iryn bad hajaolew ila jamaaa aliwai kumzalsha mama j na kama kpnd hiko angekutana na iryn kabl ya mam j angemuona iryn
Alaf iryn sio anajpa credit kwa jamaa kisa ana pesa hapan ni vile tyu amempend jamaa kutok moyon ila kwa kua wew.ni mshenz maskn ndo maana unaroo ya kwanini istoshe kama iryn angekua malaya asngekbal kaz yeny inamuingizia pesa ming san kxa jamaa mana hata jamaaa hana maisha ya kumuaford iryn hata kwa zero point zero one perce hamna
MIDADA YA KIBONGO YENYEWE INAWAZA UPUUZ MAPENZ NA PESA yan hain mapenz ya dhat kabxa yan ndo maana inatumika zen inaishia kupata mimb zszokua na baba na magonjwa ya znaaa
acha wivu utakufa mapepa
Pole sana mawazo kama yako ni ya utoto ambayo mtu mwenye familia hawezi kuayawaza au mtu ambaye Amersham maisha ya baba na mama home hawezi hawaza ushenzi wa mtu kuchepuka aharibu maisha yake ya ndoa aliyoyaanza na mwenzie roho mbaya yangu ni kusimama upande wa mama j? Pole sana kwa kulelewa na msimbe ndo maana huoni anachoweza kukosea kwa mama j na mtoto wao
 
sawa mkuu tunachoogopa ni marinda yeny tu kama mnaweza kufanya lolote mpate kitu
🤣🤣 Swala si kuwa na uwezo wa kufanya lolote ili kupata kitu bali kuna angle wanaume tukinasa jinsi ya kuchomoka hapo ni mpaka bulldozer lije. Na huwa haihusiani na pesa.
 
Kwa namna Insider anavyocheza na awa mamanzi ni dhahiri kwamba wanawake washakuwa wengi Sana na wanaune tushapungua Sana kiasi kwamba, ukijiweka smart tu Mzee baba, unaweza miliki Manzi kibao Sana Tena ambazo zipo Smart kichwani na beautiful na Zina pesa ...siyo zile chafu chafu km za kule kwa mpalange.
endelea kuota hapo ghetto. Maisha si muvi unazozitengeneza kwenye akili yako au unazoziona.
 
Tukisema wanaume wameisha ndo hvi yani mwanaume kufanya lolote aongwe pesa ya kike
Wivu.Sio wewe unaeongea,ni tabia za kimasikini zinakusukuma. Umasikini hata ufikiri unapungua. Ndio maana vijana wengi sana Tz wanamchukia Diamond. Ukimuiliza sababu atakuambia anaringa. Ukimuuliza umekutana nae wapi?. Hajawahi hata kukutana nae. Mwisho wa siku ukimchimba zaidi unakuja kujua ana hasira sababu ni wivu na yeye ni masikini
 
Sa
Wivu.Sio wewe unaeongea,ni tabia za kimasikini zinakusukuma. Umasikini hata ufikiri unapungua. Ndio maana vijana wengi sana Tz wanamchukia Diamond. Ukimuiliza sababu atakuambia anaringa. Ukimuuliza umekutana nae wapi?. Hajawahi hata kukutana nae. Mwisho wa siku ukimchimba zaidi unakuja kujua ana hasira sababu ni wivu na yeye ni masikini
Wa mkuu wivu ni kidonda nikishiriki ntakonda ila sitaacha kulinda marinda yenu
 
Back
Top Bottom