Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu kinanitatiza namna tunavyomtambua Mama J na kulinganisha Maandiko matakatifu.Na mm nakazia hapo hapo..kati ya kosa ambalo insider atalifanya ni kumruhusu iryn amvuruge mama j ili waachane na yeye ndo awe maza house, kama insider alivokubali moyoni mwake kuwa wote wana nafasi sawa bas asiruhusu kumpoteza mama j
mwisho nakazia kuhusu huyo jamaa alietoa kifungu hiki, mkuu insider kama unasema ww ni mkristo bas soma vzur haya maneno na uache kujitetea kwamba sisi hatujui mama j amekufanyia nn mana hujasema ili tukupe ushauri..
Mal 2:14-16 SUV
Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako. Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
Fact kubwa sana hii anco💯🙌🏻😅Kuna kitu kinanitatiza namna tunavyomtambua Mama J na kulinganisha Maandiko matakatifu.
Kimsingi, Mama J hatambulikinkama Mke kwa Mujibu wa Biblia tinayoifanyia rejea kwa sababu Ndoa ya Kanisani bado haijafumgwa. Insider Man, kwa Mujibu wa maelezo yake, amelipa mahali tuu kwa Mama J. Hivyo, Mama J anatambulika kama Mke wa Insider, kimila.
Kwa maelezo haya, sidhani kama ni sahihi kutumia Maandiko kumshauri Insider kuhusu kumuacha Mama J kama Mkewe wa Ujana ilhali Maandiko hayamtambui Mama J kama Mke wa Ujana wa Insider.
Nadhani, tujikite kwenye asili inayomtambua Mama J kama Mke wa Insider ili kuepuka Karma.
Kipekee, pamoja na sifai nzuri za Ireen zilizoelezwa hapa, lakini, Ireen kwa mtazamo wangu, ni Mbinafsi sana. Yeye kushare na Mama J, anaona sawa. Ila, Mwanamke mwingine kushare naye, ni Big No! Kingine, Ireen anaonekana hayupo tayari kuwa chini ya Insider. Utiifu wake una mashaka sana. Ukishaona Mwanamke anakupa masharti kila siku kuhusu kutowaona Watoto kisha uchepukaji, ni changamoto. Beijing imemkaa kichwani na anaona naye ana Haki ya kumuamrisha Mwanaume. Na katika hili, Insider anapaswa kujiandaa nalo mapema ipasavyo. Siku Ireen atakapofikisha Idadi ya Watoto awatakao na wakawa Wakubwa kiasi cha kuendesha Biashara zake, kuna hati hati Insider kunyanyasika. Kwa kweli, Insider asithubutu kumruhusu Ireen kumvuruga na kumwachanisha na Mama J. Maana yake, siku Ireen akiwa ndiyo Mke pekee, sidhani kama Insider atafurahia mahusiano/ndoa husika na Karma itamtesa.
We are lucky to welcome our second baby, a boy, and we have named him Adrian.
Uko mtiifu sana kwa mkeo wa pili ila Binti wa watu aliyekupa hela ya kununulia gari ya Uber ( kama sijakosea alipewa na babake) na ukamjua iryn unamchukulia poa sana, unaenda kanisani na wewe ni mkristu ila sijajua ni kwa identity au kwa Imani. Binafsi mimi ni mkristu ila sina kipingamizi na kuwa na mke zaidi ya mmoja maana ukiachana na ukristu wetu sisi pia ni waafrika ambao baadhi ya tamaduni zetu ni nzuri kama zinshikwa vyema na kutimiza wajibu.
Ndugu yangu usithubutu kumdharau mkeo wa kwanza una mapungufu mengi sana ila binti wa watu ameuponda moyo wake na kukubali kuishi na maumivu ila mradi tu awe mtiifu kwako
Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako", Mal 2:14 SUV.
Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana", Mal 2:15 SUV.
Iryn ni mwanamke nzuri anaonekana ana huruma na mambo mengi ila hawezi kuvaa viatu vya mama j, katika nyakati zako za shida na maradhi naamini ni yeye mama j pekee ndiye anayeweza kubeba kinyesi chako na kwenda kukitupa chooni, ni mama j pekee ndiye anayeweza kukutawadha utakapojinyea.
I'm speaking from experience, muheshimu huyo mwanamke usijidanganye na mafanikio ya material things, mwanadamu ni kasha tu hana u babe wowote, pumzi inadanganya mapenzi ya kweli na uhalisia wa maisha huja katika magumu na ndiyo Mungu huruhusu majaribu yatupate ili aone uthabiti wetu na unyenyekevu wetu kwake
ulikuwa unamlaumu mke wa mjomba wako sana unajua kwanini kwa sababu alikuwa na kiburi cha uzima na mafanikio. Asili hutawala, asili ni mema na jambo lolote lilr kinyume na asili LAZIMA litoe matokeo hasi
alamsiki
🫣😊All tena!!!!!!! Nilifikiri both..They are all my wives and have equal rights
The latter, soma ukitaka uburudike pia.Hii stori inahusu nini? Je ni fiction au reality?
Mmmmmh so aongeze wengine iweje.. Hujasoma tabia za Baba J na wanawake wengine? Magonjwa etc hayo no. Acha awe na wivu kakubali wapo wawili sio kijiji kama alivyo anawatenda wawili anao bado kiguru njia na wengine. Acha kusema vibaya Iryn wamekuwa muwazi. Wanaume mkifunga zipu zenu haya hayatokei..Yeye kushare na Mama J, anaona sawa. Ila, Mwanamke mwingine kushare naye, ni Big No! Kingine, Ireen anaonekana hayupo tayari kuwa chini ya Insider. Utiifu wake una mashaka sana.
Wapi umeona atamvuruga, mmesoma stories hii au hamjasoma tena yote eeee na anayoandika nje ya episodes? Kama nyie wengine mmekutana na wanawake naamini lazima ni hawapo kama Iryn kutoka angle zote mpite kimya.Kwa kweli, Insider asithubutu kumruhusu Ireen kumvuruga na kumwachanisha na Mama J.
SEMA bro kuna mambo mengi hujatuambia kwenye story yako, vipi kuhusu mama j zile simu alizokuwa akiongea nazo alikuwa ni basha kweli au alikuwa anapima upepo.Ahsante kwa ushauri,
correction! Mama J hajawahi kunipa pesa ya kununua gari, nilinunua kwa akiba zangu. Mafaniko ya mama J 80% ni efforts zangu kwake.
Swali: Unajuaje kama mama J hana mapungufu na wakati hauishi naye?😂.
The matters of my family are for me to handle. They are all my wives and have equal rights, it’s just that one of them doesn’t know what’s going on.🤷🏻♂️
Now, I am at a stage where I don’t blame myself for this, and I’m ready for anything.
Hahaha🤣🤣🤣 eti tumsome humu Hadi anazeeka, una vituko weweNi kama umesoma kwa kuruka ruka au unasahau haraka uliyosoma kwa kuona ya Mama J.
Pole ila maisha haya wanaume wapo wanaowatendea wanawake zaidi Wake zao zaidi ya haya tumesoma.. aliyoandika kwa kifupi.
Nawe mara Dini, mara kabla sijui kimila, mara Iryn vile na vile unamtungia mamboz hata ya Baba J nae unamtungia.
Kumbuka na kunukuu ya Ukristo anayejaji ni Mola. Ulionalo baya labda mwenzio anaongeza Neema na Rehema 😊 kwa mwingine inakuwa nuksi.. Tuangalie usihukumu kivile eeeeh kama ndio fainali.
Pia amesema wote wake zake watarajiwa.. Ndoa bado ya kanisani, kashauriwa aende Wilayani sijui Mkoani afunge ndoa. hivyo wote wawili ETI atajitahidi kuishi nae wawe na furaha..
Subiri nasi Mama J ajue ya kutendwa na kufanyiwa mjinga hadi kuletewa wenzake ndani na kuwa Aunt wa J. Hilo ndilo mwenzetu hapo ANALO.. Tumuombee avuke yote salama na Mola atupe uhai wote tumsome humu hadi anazeeka 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Wachawee kukufahamu sasa ni bahatiNita-attend hii conference nikiwa na mzee Juma. Kama kuna mtu ata register anijulishe ili apate bahati ya kunifahamu.
MKuu..kumegewa ni siri ya ndani hawez kusema kweli ataonekana weak wakat amejipotray sexy bright and strongSEMA bro kuna mambo mengi hujatuambia kwenye story yako, vipi kuhusu mama j zile simu alizokuwa akiongea nazo alikuwa ni basha kweli au alikuwa anapima upepo.
We are lucky to welcome our second baby, a boy, and we have named him
Mkuu kama itakupendeza ninafanya biashara ya samaki jumla(samaki wa maji chumvi)naomba niunganishe na Jane kwenye supermek nimletee samaki kwa bei ya jumla ni hilo tu mkuu🙏🏻🙏🏻 natanguliza shukraniNita-attend hii conference nikiwa na mzee Juma. Kama kuna mtu ata register anijulishe ili apate bahati ya kunifahamu.
Mama J hajafunga ndoa na Bro...so as iryn...na Iryn amepiga hatua...ni kama Ile "yule WA kwanza akaenda mbio lakini hakuingia...akaja na yule mwingine mbio nae akaingia Moja Kwa Moja mpaka ndani ..."Na mm nakazia hapo hapo..kati ya kosa ambalo insider atalifanya ni kumruhusu iryn amvuruge mama j ili waachane na yeye ndo awe maza house, kama insider alivokubali moyoni mwake kuwa wote wana nafasi sawa bas asiruhusu kumpoteza mama j
mwisho nakazia kuhusu huyo jamaa alietoa kifungu hiki, mkuu insider kama unasema ww ni mkristo bas soma vzur haya maneno na uache kujitetea kwamba sisi hatujui mama j amekufanyia nn mana hujasema ili tukupe ushauri..
Mal 2:14-16 SUV
Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako. Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
Hakuna mwanaume akafika stage hiyo halafu apoteze....otherwise you don't know the rule of the game ...My friend , you are going to loose everything. Mark my words. Iryn knows what she wants and the problem is you think you are one step ahead. There is a big possibility of you not getting support from your family and Mama J agreeing.
Hongera bro...hongera sana...msalimie mama watoto(Ariana &Adrian)...hiyo point alisema anataka kufika Dec umpeleke kwenu..unatakiwa upange forward zako vyema ukimshirikisha Dada na mzee pia..maana Hawa wawili ndo wanamfaham...hii ndo backup yako na wao Hawa ndo watengeneze mazingira Kwa mama..maana huwez kwenda Kwa kumvamia mama..ni lazima apate taarifa kwanza...otherwise mama watoto asiwe na presha Wala haraka maana umeshamtambulisha Kwa baba na dada na ana A,b,c za familia yako bila kumsahau mama J anamfaham vyema..akumbuke aliwahi funguliwa mlango na mama J mara baada ya wewe kumzaba kibao usiku ule..We are lucky to welcome our second baby, a boy, and we have named him Adrian.
Mkuu uko kwenye hii sector, hongera sana.Nita-attend hii conference nikiwa na mzee Juma. Kama kuna mtu ata register anijulishe ili apate bahati ya kunifahamu.
Ndio sifa ya mwanaume kujiamini. Wanaokukosea wengi wazushi, hakuna asiyekosea. Endelea kusimama na unachokipendaAhsante kwa ushauri,
correction! Mama J hajawahi kunipa pesa ya kununua gari, nilinunua kwa akiba zangu. Mafaniko ya mama J 80% ni efforts zangu kwake.
Swali: Unajuaje kama mama J hana mapungufu na wakati hauishi naye?😂.
The matters of my family are for me to handle. They are all my wives and have equal rights, it’s just that one of them doesn’t know what’s going on.🤷🏻♂️
Now, I am at a stage where I don’t blame myself for this, and I’m ready for anything.
SawaNi kama umesoma kwa kuruka ruka au unasahau haraka uliyosoma kwa kuona ya Mama J.
Pole ila maisha haya wanaume wapo wanaowatendea wanawake zaidi Wake zao zaidi ya haya tumesoma.. aliyoandika kwa kifupi.
Nawe mara Dini, mara kabla sijui kimila, mara Iryn vile na vile unamtungia mamboz hata ya Baba J nae unamtungia.
Kumbuka na kunukuu ya Ukristo anayejaji ni Mola. Ulionalo baya labda mwenzio anaongeza Neema na Rehema 😊 kwa mwingine inakuwa nuksi.. Tuangalie usihukumu kivile eeeeh kama ndio fainali.
Pia amesema wote wake zake watarajiwa.. Ndoa bado ya kanisani, kashauriwa aende Wilayani sijui Mkoani afunge ndoa. hivyo wote wawili ETI atajitahidi kuishi nae wawe na furaha..
Subiri nasi Mama J ajue ya kutendwa na kufanyiwa mjinga hadi kuletewa wenzake ndani na kuwa Aunt wa J. Hilo ndilo mwenzetu hapo ANALO.. Tumuombee avuke yote salama na Mola atupe uhai wote tumsome humu hadi anazeeka 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Kuhuzuria hio conference ni gharama sana fikiria registration peke yake ni doller 1000 watakao weza kwenda kila lakheri.Mkuu uko kwenye hii sector, hongera sana.
Hongereni sanasecond