Jinsi Bikra Maria alivyompa mtihani kiongozi wa Kanisa, Nabii Zakaria..

Sio kweli! Maria alikuwa mke halali wa Mzee Joseph. Kugundulika kwa mimba changa ya Yesu hakukuzuia mahusiano ya kindoa baina ya Maria na Joseph. ..Jiongeze!
Yote yanawezekana! Though inaelezwa kuwa Joseph alimsaidia Maria kutoroka ili watu wa mji wasimuue. Alihisiwa kuzini.

Hii story sijui niiendeleze? Inaonekana kuna school of thoughts mchanganyiko..
 
Hili swali nimeshalijibu mara mbili hapo juu. Soma vizuri Injili ya Luka na Isaiah kidogo.. Pita pita kwenye maandiko yahusuyo nyakari na vizazi kisha unganisha dots..

Mimi nimechukua muda kukusanya na kuweka pamoja tu, sio mawazo yangu binafsi.
Ungekuwa unaweka reference kutoka hizo sehem ulizokuwa unaunganisha hio historia ingetusaidia sana sisi tusio soma biblia Mara kwa mara
 
Pale watu wanapotaka kulazimisha kubalance mambo baada kuona upande wao haujakaa vizuri.
 
asante kwa historia hii, ila ingependeza zaidi ukija na rejea za hizi historia chief.
 
Yote yanawezekana! Though inaelezwa kuwa Joseph alimsaidia Maria kutoroka ili watu wa mji wasimuue. Alihisiwa kuzini.

Hii story sijui niiendeleze? Inaonekana kuna school of thoughts mchanganyiko..
mkuu umejitahid kuandika sana ila sioni mantiki sana ya hichi unachojaribu kutetea...........

historia ya maria baada ya kumzaa Kristo haijaandikwa popote kwenye biblia, na sidhan km kuna mahali imeandikwa as hakuna interest yoyote ndani yake

mhimu tumwamini huyu Kristo, maria nae alikua mtu, nae aliokolewa kwa msalaba huo huo tunaookolewa sisi..........

NB
nimenusa harufu ya kuhalalisha ibada ya Maria!
 

Hii sio historia ya Maria baada ya kumzaa Yesu. Ni kabla.

Suala la Imani naliacha kama lilivyo. Sijagusia huko kabisa.

NB: Sio lengo kuhalalisha ibada yoyote.
 
 
Ila yaonekana kuwa tuyajuwayo ni kidogo mno. Mambo mengi yalifichwa kwa sababu maalum.
 
Sio vyote vimeandikwa bibliani maana isingetosha ila maandiko mengine yapo na hayawekwa kama biblia unayoijua
 
Nina maswali mengi ila ngoja niulize haya.
1. Mara baada ya Yesu Issah bin Mariam kuanza kuhubiri, ni sehemu ngapi au mara ngapi tukasikia habari za Yosefu???
2. Kama kweli Yosefu alikuwa na miaka hiyo je ilikuwaje mpaka akamchukua mchumba aliye sealed???
Nipo.....
 
Interest hebu nieleweshe, baada ya Mama Bikira Maria kumzaa Yesu, alijaliwa tena kuzaa watoto wengine? If yes, ni akina nani hao
 

Mi nadhani umetoa mwanga fulani ambao nimejaribu kuupima kwenye Torati naona sioni mgonangano wa torati na haya maelezo yakol. kwa hiyo kwa kuwa hayana direct conflict na Torati nadhani nimejifunza kitu fulani hasa hao ndugu zake Yesu nilijiuliza sana walipatikana vipi lakini sasa naona picha kabisa.

Hata bikra Maria kama alikuwa chini ya nadhiri ya wazazi wake na kwa kuwa torati ilimkataa matokeo yake alibaki anaelea mpaka mpango wa Mungu ukamkuta hapo. Kwa maana kwa jinsi ya torati mwanamke hana cha kufanya hasa madhabahuni. atakuwa mwombaji na waombaje walikuwa ni wajane yeye hajawa hata mjane na torati haijawalinda mabikra na kuolewa na pia kuolewa kumeachwa kuwa uamuzi wa muoaji na wazazi, yeye hakuwa na say yoyote pale ispokuwa hiyo ya nadhiri ya wazazi

Pia ukija kwa ndugu zake Yesu, Kwanza unaweza kuona walikuwa wakubwa kuliko yeye kwa maana isingewezekana wao wawe wadogo yeye aisende Jerusalemu kwenye pasaka halafu wao wadogo wende kula pasaka Jerusalemu. kwa namna moja au nyingine yeye alikuwa mdogo kuliko ndugu zake. na kama alikuwa mdogo kuliko ndugu zake? Bikra maria angewezaje kuwa bikra?

Jambo lingine wale ngudu zake walikuwa kampani moja na Petro kwa maana walikuwa wavuvi, na kwa jinsi inavyoonekana Petro alikuwa mkubwa kiumri kuliko Yesu alikuwa mtu mzima sana maaana walikuwa na miji wale wakati wanachaguliwa walishakuwa wavuvi senior wenye familia zao. Kama hivyo ndivyo na ndugu zake Yesu kama walikuwa kampani ya Petro ni dhahiri hata Yakobo na ndugu zake Yesu wengine walikuwa wakubwa kuliko Yesu vinginenvyo na Yeye Yesu angekuwa mvuvi kwanza kitu ambacho hakukifanya.


Biblia inasema isingewezekana kuandika kila kitu katika maandiko
 
Hakika. Hakika. Hakika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…