Jinsi carryover ya mwaka wa kwanza ilivyotaka kunisababisha nisi-graduate chuo

Jinsi carryover ya mwaka wa kwanza ilivyotaka kunisababisha nisi-graduate chuo

Humu ndani mnatiana pressure za bure ku carry mara mbili sio shida wala mtu hawezi disco labda kama GPA yake iwe ndogo sana ndio anaweza disco tofauti na hapo ni uongo vijana someni vizuri hizo prospectus za vyuo vyenu
Ndo hivyo kama huna experience acha tu ndugu yangu hata kama GPA ipo, incomplete tu ilikuwa inatosha kukuondoa chuo, yaani hata usipofanya quiz akiamua kukubania utakiona cha moto
 
Mwaka wa kwanza chuoni niliikuta hii course katika harakati za hapa na pale nikapata coursework ya 11/40 kupiga UE nikala mzinga. Kufanya sup ikanishinda nikacarry.

Mwaka wa pili nikawa natumia uzoefu kuisoma hii course darasani siingii. Lahaula coursework kutoka nina 9/40 kufanya UE sikuchomoa. July mwishoni nikaripoti field muda wa kusoma hakuna kushituka September hio kufanya sup sikuchomoa ikabidi nicarry tena (Kimoyo moyo nikajisemea next time nitaipiga KO kwenye UE tu 🤣 ngoja niikamie)

Mwaka wa mwisho mambo yakazidi kuwa mengi zaidi research na course zikawa nyingi nikajikuta narudia yale yale makosa nikawa siingii class coursework kutoka ikasoma 8/40 kupiga UE nikafeli tena kumfata Lecturer alikua mmama akaniambia "yani wewe ujikaze tu kwa coursework hiyo sidhani kama utatoboa".

July-September nilisoma kama kichaa sikuwahi soma hivi kabla soma sana vitabu, articles,zurura sana YouTube nikapiga pepa la sup Septemba nikatoboa matokeo kuja nina C nikagraduate.

Sikuwahi kufeli somo lingine zaidi ya hili katika maisha ya chuoni lakini nikiri hili somo lilinipeleka mpela mpela kila nikikumbuka sina hamu tena na kusoma.

Kitu nilichojifunza: Kosa kubwa nililolifanya ni kuruhusu kufeli sup na kubeba somo kwenda nalo mwaka unaofuata nikidhani nitapata muda wa kulisoma wakati ni tofauti kabisa muda unakuwa mdogo na mambo yanazidi kuwa mengi.
Ni SoMo Gani hili 😂😂
 
Aseeeeeh poleee sanaaaaa. Kitu naogopaaa n Sup, carry na Disco.

Eeeh Jah asimamiee nisepeee mazimaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hvyo vitu ni hapanaaaa.
Nilijua tu ntakuona hapa msomi jike 🤣🤣🤣🤣 aaah we dada unanichekeshaga sana
 
Mwaka wa kwanza chuoni niliikuta hii course katika harakati za hapa na pale nikapata coursework ya 11/40 kupiga UE nikala mzinga. Kufanya sup ikanishinda nikacarry.

Mwaka wa pili nikawa natumia uzoefu kuisoma hii course darasani siingii. Lahaula coursework kutoka nina 9/40 kufanya UE sikuchomoa. July mwishoni nikaripoti field muda wa kusoma hakuna kushituka September hio kufanya sup sikuchomoa ikabidi nicarry tena (Kimoyo moyo nikajisemea next time nitaipiga KO kwenye UE tu 🤣 ngoja niikamie)

Mwaka wa mwisho mambo yakazidi kuwa mengi zaidi research na course zikawa nyingi nikajikuta narudia yale yale makosa nikawa siingii class coursework kutoka ikasoma 8/40 kupiga UE nikafeli tena kumfata Lecturer alikua mmama akaniambia "yani wewe ujikaze tu kwa coursework hiyo sidhani kama utatoboa".

July-September nilisoma kama kichaa sikuwahi soma hivi kabla soma sana vitabu, articles,zurura sana YouTube nikapiga pepa la sup Septemba nikatoboa matokeo kuja nina C nikagraduate.

Sikuwahi kufeli somo lingine zaidi ya hili katika maisha ya chuoni lakini nikiri hili somo lilinipeleka mpela mpela kila nikikumbuka sina hamu tena na kusoma.

Kitu nilichojifunza: Kosa kubwa nililolifanya ni kuruhusu kufeli sup na kubeba somo kwenda nalo mwaka unaofuata nikidhani nitapata muda wa kulisoma wakati ni tofauti kabisa muda unakuwa mdogo na mambo yanazidi kuwa mengi.
Pole na pia hongera kuhitimu
 
Kijana pole sana, Mie story yangu kwa kweli jinsi nilivyograduate Mungu tu alinisaidia..... Soo.. Interesting
 
Watu wanaona noma miaka ya nyuma kwa hizi college coursework ya 16 ilkua ina matter watu wakawa wanadisco sana. Imeondokewa lakini bado mambo hayajabadilika bado watu wanaliwa vichwa tu ukisema uweke 16 watakaofaulu hawatozidi 10 CONAS na COET
Hasa COET hapo ni hatareeee tupuuu. Lol
 
Nilijua tu ntakuona hapa msomi jike [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aaah we dada unanichekeshaga sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em niwacheee naweee, hata sisomi mbna mie.
 
Back
Top Bottom