Fountain of Youth
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 1,026
- 2,299
- Thread starter
- #81
DUCE hamna ku-disco uki-carry mara 2?Kitakuwa DUCE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DUCE hamna ku-disco uki-carry mara 2?Kitakuwa DUCE
Sio DUCE mkuuKitakuwa DUCE
Sio DUCE mkuu
🤣🤣🤣We jamaa wahadhiri wa TEKU wanakuzoomAu ni TEKU
Itakua wahadhiri wao MOCU hawana kasumba ya kufelisha wanafunzi kwa sifa na makusudiMOSHi COOPERATIVE UNI. UKI SHINDWA CHOMOA CARRY , WEEE NI BYE BYE MZEEEE
Conas,coet na coict haiapply ila first year kweny CL111 Ina apply asije dogo akajichanganya😂😂Coursework kuwa above 16 haiapply kwa college za CONAS na COET- UDSM kutokana na ugumu wa kozi na utata wa wahadhiri
CL mziki mwingine🤣. Walimu wa COHU walikua wanasema eti CL ya COET na UDBS na COICT inakua sio ngumu kama yao eti maswali ya CL ya COHU yanakuaga magumu zaidi?Conas,coet na coict haiapply ila first year kweny CL111 Ina apply asije dogo akajichanganya😂😂
UDOM ukicarry mara ngapi unadisco? Vipi wana coursework ya 16?Pia Udom carryover haisumbui
Masters na umeolewa ama kweli we ni fanta si cocaNshamalizaaa.
Nachukua Masters.
Sua malecturer wengi wanafukuliwa mtaro nina example kabisaSup/probation ni kawaida sana chuoni.
Kwenye crew yetu hapo SUA ilikua huwezi kutukosa Mazimbu a.k.a September Conference kwenye Probation
Ni was***nge sana ndo maana nasoma private zinazojielewa malecturer washkaji hivyo vizee vinataka [emoji383] kwa midume au pussy kwa jike zikojoe ilihali afya+nguvu za kiume hawana its a pity [emoji23][emoji23][emoji2961]Kuna mwamba yeye hatoi A kabisa kwenye somo lake unakuta watu wawili au mmoja ana B+ then B kama 4 , C kama 8 the rest wamesup kabisa yaani mkifanya pepa anakamata robo 3 ya darasa. Kuna mwaka dogo mmoja akapiga A babu ikabidi asahihishe pepa la dogo mara 3 anaangalia makosa ili amkate (story alituhadithia mwenyewe) ila hakuyapata ikabidi ampe dogo A yake hawa wazee watakuja kuua watu
Chuo sexy sanaPia Udom carryover haisumbui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha nlkua na sup nne mwaka wa mwisho. 2 za semester 1 ya 3rd yr mbili za carry over za 2nd yr. Ile week sijui niltokaje TU .all in all sijui kwnini waliamua kututenga graduation ..wenye sup ikawa november uko...
...
Mi shule ilinitema advance tuuuuuuMaisha ya chuo ni safari ndefu sana.Elimu yangu ya O level na Advance hazikuwahi nipa shida.Ila ya chuo nikiri kusema nimestruggle sana kumaliza.
Nilidisco nikiwa mwaka wa kwanza semister ya kwanza!!Sikukata tamaa niliapply tena course hiyo hiyo mwaka unaofuata na nikafanikiwa kupata!!
Awamu ya Pili nielienda vema kabisa,ikafika mwaka wa 3 ndo balaa likarudii..semister ya 1 nikapata supp moja na semister ya pili nikalamba supp 4!!
Kiukweli sikumbuki kilitokea nini,ila mwisho wa siku nilichoma 4..moja nikacarry na hatimae nikahitimu mwaka uliofuata!!
Nilichojifunza Shule kuna mda inaweza kukutemaa!!
Hivi wee uko timamuuuu?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Masters na umeolewa ama kweli we ni fanta si coca