scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Ndo hivyo kama huna experience acha tu ndugu yangu hata kama GPA ipo, incomplete tu ilikuwa inatosha kukuondoa chuo, yaani hata usipofanya quiz akiamua kukubania utakiona cha motoHumu ndani mnatiana pressure za bure ku carry mara mbili sio shida wala mtu hawezi disco labda kama GPA yake iwe ndogo sana ndio anaweza disco tofauti na hapo ni uongo vijana someni vizuri hizo prospectus za vyuo vyenu
Ni SoMo Gani hili 😂😂Mwaka wa kwanza chuoni niliikuta hii course katika harakati za hapa na pale nikapata coursework ya 11/40 kupiga UE nikala mzinga. Kufanya sup ikanishinda nikacarry.
Mwaka wa pili nikawa natumia uzoefu kuisoma hii course darasani siingii. Lahaula coursework kutoka nina 9/40 kufanya UE sikuchomoa. July mwishoni nikaripoti field muda wa kusoma hakuna kushituka September hio kufanya sup sikuchomoa ikabidi nicarry tena (Kimoyo moyo nikajisemea next time nitaipiga KO kwenye UE tu 🤣 ngoja niikamie)
Mwaka wa mwisho mambo yakazidi kuwa mengi zaidi research na course zikawa nyingi nikajikuta narudia yale yale makosa nikawa siingii class coursework kutoka ikasoma 8/40 kupiga UE nikafeli tena kumfata Lecturer alikua mmama akaniambia "yani wewe ujikaze tu kwa coursework hiyo sidhani kama utatoboa".
July-September nilisoma kama kichaa sikuwahi soma hivi kabla soma sana vitabu, articles,zurura sana YouTube nikapiga pepa la sup Septemba nikatoboa matokeo kuja nina C nikagraduate.
Sikuwahi kufeli somo lingine zaidi ya hili katika maisha ya chuoni lakini nikiri hili somo lilinipeleka mpela mpela kila nikikumbuka sina hamu tena na kusoma.
Kitu nilichojifunza: Kosa kubwa nililolifanya ni kuruhusu kufeli sup na kubeba somo kwenda nalo mwaka unaofuata nikidhani nitapata muda wa kulisoma wakati ni tofauti kabisa muda unakuwa mdogo na mambo yanazidi kuwa mengi.
Nilijua tu ntakuona hapa msomi jike 🤣🤣🤣🤣 aaah we dada unanichekeshaga sanaAseeeeeh poleee sanaaaaa. Kitu naogopaaa n Sup, carry na Disco.
Eeeh Jah asimamiee nisepeee mazimaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hvyo vitu ni hapanaaaa.
Pole na pia hongera kuhitimuMwaka wa kwanza chuoni niliikuta hii course katika harakati za hapa na pale nikapata coursework ya 11/40 kupiga UE nikala mzinga. Kufanya sup ikanishinda nikacarry.
Mwaka wa pili nikawa natumia uzoefu kuisoma hii course darasani siingii. Lahaula coursework kutoka nina 9/40 kufanya UE sikuchomoa. July mwishoni nikaripoti field muda wa kusoma hakuna kushituka September hio kufanya sup sikuchomoa ikabidi nicarry tena (Kimoyo moyo nikajisemea next time nitaipiga KO kwenye UE tu 🤣 ngoja niikamie)
Mwaka wa mwisho mambo yakazidi kuwa mengi zaidi research na course zikawa nyingi nikajikuta narudia yale yale makosa nikawa siingii class coursework kutoka ikasoma 8/40 kupiga UE nikafeli tena kumfata Lecturer alikua mmama akaniambia "yani wewe ujikaze tu kwa coursework hiyo sidhani kama utatoboa".
July-September nilisoma kama kichaa sikuwahi soma hivi kabla soma sana vitabu, articles,zurura sana YouTube nikapiga pepa la sup Septemba nikatoboa matokeo kuja nina C nikagraduate.
Sikuwahi kufeli somo lingine zaidi ya hili katika maisha ya chuoni lakini nikiri hili somo lilinipeleka mpela mpela kila nikikumbuka sina hamu tena na kusoma.
Kitu nilichojifunza: Kosa kubwa nililolifanya ni kuruhusu kufeli sup na kubeba somo kwenda nalo mwaka unaofuata nikidhani nitapata muda wa kulisoma wakati ni tofauti kabisa muda unakuwa mdogo na mambo yanazidi kuwa mengi.
UDSM, UDOM, ARDHI most of other unis C ni 40Kozi nyingine C huwa ni ngapi?
Maana medical schools C inaanzia 50.
Somo fulani mkuu🤣🤣 ila lile somo hii kichwa iligoma kabisa kulielewa nilikua naona kama kigirikiNi SoMo Gani hili 😂😂
Litaje basiSomo fulani mkuu🤣🤣 ila lile somo hii kichwa iligoma kabisa kulielewa nilikua naona kama kigiriki
Mkuu nikilitaja na hizo details nilizoweka kutakuwa hakuna anonymity tena acha ibaki hivyo tuLitaje basi
Ilikuaje mkuu share watu wapate cha kujifunzaKijana pole sana, Mie story yangu kwa kweli jinsi nilivyograduate Mungu tu alinisaidia..... Soo.. Interesting
SUA hao... wale jamaa ni wauaji.Sio tu uki carry zaidi ya mara moja.
Hata hiyo course work yako ya under 16 usingefanya UE.
Kuna vyuo kwenye hii nchi, ni kama wako vitani
Hasa COET hapo ni hatareeee tupuuu. LolWatu wanaona noma miaka ya nyuma kwa hizi college coursework ya 16 ilkua ina matter watu wakawa wanadisco sana. Imeondokewa lakini bado mambo hayajabadilika bado watu wanaliwa vichwa tu ukisema uweke 16 watakaofaulu hawatozidi 10 CONAS na COET
Nakubaliana na yeye, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwanangu mmoja alikuwa muoga sana wa sup ananiambia pora gpa iee hata ya 2 ila nisiwe na sup
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em niwacheee naweee, hata sisomi mbna mie.Nilijua tu ntakuona hapa msomi jike [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aaah we dada unanichekeshaga sana
Kumbe bado mwanachuo....hongeraAseeeeeh poleee sanaaaaa. Kitu naogopaaa n Sup, carry na Disco.
Eeeh Jah asimamiee nisepeee mazimaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hvyo vitu ni hapanaaaa.
Nshamalizaaa.Kumbe bado mwanachuo....hongera
Acheni kuendekeza mapenzi pigeni shule vijanaUmeongea ukweli malecturer wa public unis wanaona sifa kufelisha wanafunzi
Mapenzi na carryover wapi na wapi mkuuAcheni kuendekeza mapenzi pigeni shule vijana