Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Ushaanza kudundadunda naona

Nadunda dunda kivipi huku nasimamia maneno niliyosame mwanzo. Tazama screenshot ya jibu nililokupa mwanzo.

Screenshot_20240612-225610_Firefox.jpg
 
Vipi ITV nao wanaajiri kwa mtindo hup, namaanisha gazeti la uhuru ni wangaaalia tiktok.

Wasafi, Clouds na Clown ni media za burdening na sio journalism, journalism ni sehemu tu kwao jiulize wanaofanya kipindi cha taarifa ya habari nao wamewatoa tiktok....REASONING

Nikiona mtu anachanganya 'R' na 'L' huwa ninajiuliza, hivi shule alienda kweli?

Kama alienda shule, mwalimu ndiye alielekeza hivyo?

How neno "crown" uandike "clown"?
 
GPA na DEGREE haina umuhimu hasa UKIWA nayo.... ukiwa hauna ndio utajua umuhimu wake..

My take.

Kila mtu ajitathmin na ajitambue mapema hasa hao waliopo Chuoni, Mtaani etc.

Mie nilichosoma na ninachofanyia kazi ni vitu viwili tofauti..
Elimu rasmi kwa kile unachotaka kufanya ni jambo jema kulipata maana si tu inakupa uwanja mpana wa kujua nadharia, historia na mengine kuhusu tasnia hiyo lakini pia inakujenga katika kuwa professional.

Elimu rasmi inaweza kuwa kuingia darasani kwa kipindi fulani hadi ukamaliza kozi husika au kwa kupitia mentorship.

Hao mnaosema wamechukuliwa kutoka tik tok wanaweza kuwa na hizo degree au diploma mnazozibeza au wanaenda kupitia program ya mentorship ndani ya taasisi husika au hata kusoma kabisa katika taasisi rasmi za elimu.
 
This time round naona kuna media nyingi za hapo bongo zina fanya makosa yakuji rudia, kwamba ukiwa maarufu unaingizwa kwenye media despite kuwa hauja somea journalism, mass media/mass communication. List ya popular people ambao wako kwenye media hizi kubwa ni wengi na hawana hiyo taaluma. Mfano baba levo, mwijaku yes amesoma but hajasomea journalism studies, zembwela etc
 
Huu ni wakati wa kutumia vipaji tu,,,,vyeti kwa sasa karibia kila mtu anavyo
Cheti ni muhimu pia ila at least kiambatane na kipaji, huwa naangalia YouTube channels Kuna jamaa yupo USA yeye ni aircraft engeneer, the way anavoielezea complex mechanical stuff za kwenye ndege in a laymans language, unaona kabisa kipaji kimekutana na maarifa.
 
Kulingana na maudhui yao sidhani kama crown media na wasafi wanahitaji journalists, bali wao wanataka content creators hasa wa vichekesho na udaku; kwa journalisits wanahitaji wachache sana kwa ajili ya kufanya mahojiano ya habari lakini siyo utangazaji. Journalists graduates wanahitajiwa na vyombo vya habari siyo hivi vyombo vya burudani. Nadhani kwa Tanzania watu wanaosomea field ya Journalism wanatakiwa kuwa ni wasemaji wa makampuni, yaani "Company Spokesperson" siyo kuwa watangaza udaku na wachekeshaji.
 
Same tu me, nilichosomea na nachofanya now ni tofauti ila kupitia knowledge niliyopata skuli nai apply kwenye mitikasi yangu ya sasa..

Elimu ya darasani ina nafasi yake katika maisha si ya kuibeza kabisa..

GPA na DEGREE haina umuhimu hasa UKIWA nayo.... ukiwa hauna ndio utajua umuhimu wake..

My take.

Kila mtu ajitathmin na ajitambue mapema hasa hao waliopo Chuoni, Mtaani etc.

Mie nilichosoma na ninachofanyia kazi ni vitu viwili tofauti..
 
Millard ayo hana digrii wala diploma ila amewai ajiriwa ITV na kipindi chake kilikuwa taarifa ya habari
Sio kweli jamaa kasoma mkuu. Ukisikiliza story yake wakati anasomea journalism na hustpe za field mpaka kupata IPP hadi kuondoka na mama yale akitaka abaki pale
 
Back
Top Bottom