Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Hizo media zinatangaza habari za aina gani zaidi ya umbea na udaku na matakatakA tu
Waambieni watoto wenu wasome
Na kama vp,watafutieni channel nje huko waende,huku wabakie wmbea na wapenda udaku tu

Ova
Jamaa anataka kutuaminisha kubwabwaja kwenye radio nako kunahitaji elimu.
 
Jamaa anataka kutuaminisha kubwabwaja kwenye radio nako kunahitaji elimu.


Mkuu wa muhimbili Professor Janabi ni daktari bingwa. Ila pia ni content creator kwenye social media

Yeye amekuwa maarufu sababu ya content zake. Na hiyo imembeba kwenye kupata cheo. Maana rais na watu wengine wanaona uwezo wake mara kwa mara kwenye content zake.

Tofauti na wale madaktari bingwa wanaoishi kizamani... watu watajuaje ubingwa wao ?

Dunia ya sasa hivi lazima uwe na marketing skills na kuji Brand
 
Watu wanatafuta cheap labour ujanja ujanja tu hakuna kitu kingine...
✍️ hili siku hizi linaingia mpak kwenye mashirika binafsi (NGO). Unaambiwq piga mpira kuelekea golini... unapiga, nyavu zikitikisika tu! TAYARI USHAAJIRIWA KAMA MCHEZAJI uende kupiga watu chenga uwanjani
 
Tokea zamani walikuwa na structure ya elimu ambayo ni skill based, hiyo change of policy ni ku fine tune the already stable education system. mwalimu wangu wa peace Corp aliniambia kuwa in America mashuleni darasani ndio utamkuta mwalimu, so Kuna darasa la math, chemistry, physics etc, kama ukitaka kusoma physics pekee unashinda kwenye darasa la somo Hilo, ndio maana vijana walikuwa wanaweza maliza topics kwa muda mfupi na ku graduate wakiwa wadogo, na mahiri.
Huku kwetu mtoto wa darasa la saba ana masomo karibia nane, by the time anakuja ku specialize ni a level, na tayari alishajaza makorokoro kibao ambayo hayatumiii tena,
Wanafunzi huko Marekani wanadoma masomo mangapi jumla? Hapa tz o level masomo 7 na zaidi. Vipi Marekani?
 
Serikali inachangamoto hii ndio maana nchi haindelei.

Ina wafanyakazi unakuta kufungua excel hawezi ila ni mkuu wa idara ya tehama
 
Mbashindwaga vip kutupiamo
Screenshot_20240613_104259_Chrome.jpg


Picha
 
Kama kuna kigezo kingine cha kupima ubora wa digrii hizi za journalism kitumike hapa. Kigezo cha kukosa ajira hakiwez kutoa uelekeo wa kulitazama hili kisayansi au kitaalam zaidi. Suala la kukosa ajira ni kesi ya pyramidal scheme katika mfumo wa kutengeneza wataalam hao toka vidudu
 
Vijana wawe wabunifu.
Wasitumie mitandao ya kijamii kuangalia ngono na kutongozana na uchawa wa kingese.

Vyeti vitawaozea ndani.
Wakaze mattyakko kwenye ubunifu.
 
Vijana wawe wabunifu.
Wasitumie mitandao ya kijamii kuangalia ngono na kutongozana na uchawa wa kingese.

Vyeti vitawaozea ndani.
Wakaze mattyakko kwenye ubunifu.
Ubunifu.. kunyumbulika! Kujitafuta kimipango! Kuandaa wazo linaloweza kutekelezek kupitia taaluma yako. Weka mkakati jipozisheni katika mkakati huo.

Ingawa bado inaletaga ukakasi mana lazima upate sponsored!. Vipaji, wabunifu mitaanj wapo lakin hawajapata suluhu bado. Kuonekana tu nako ni safari nyingine mana mm naamin bongo hi kuna watu wanapiga mpira kuliko kamavinga mitaani huko! Nani anawajua ?
 
Kama swala Ni kusaga nacrown na Wasafi na mawingu sawa .


Who's behind all those?

Nyuma ya pazia .. unaongelea machozi ya samaki baharini .. who cares ... Hao host wanafika mamilioni au Malaki kamooon dude .....

Media zinaweza ajiri mamia .. maelfu .. kamooon dude..

Wake up
 
professional ni muhimu kuzingatiwa mwisho wasiku unakuta mtangazaji badala ya kuongea na mic anaongea na mwenziye
msanii anakuja studio watu wanashindwa kuendesha interview
professional na experience vinawabeba watu
mtu anaweza zingatiwa sababu ya umaarufu wake akajaboronga

tupo tutaona
 
Serikali inachangamoto hii ndio maana nchi haindelei.

Ina wafanyakazi unakuta kufungua excel hawezi ila ni mkuu wa idara ya tehama
Your right!!! Hivi tunavyojadili hapa android program ya Gepg haifanyi kazi kwa karibu miezi miwili sasa, toka walipojaribu ku upgrade. Na watu wa tehama hawasemi chochote.
 
Kwamba hili ni jipya ? Mbona bongo hawa presenters wengi ni talent over certificates ?

Lakini kumbuka knowledge sio mbaya na wala haimaanishi sababu hawa hawana vyeti basi hawana elimu (huenda wanayo elimu tena practical kuliko fresh from school)

 
Back
Top Bottom