Ni ujinga kufikiri utaupata uongozi wa juu kabisa wa CDM bila kumshirikisha Mbowe.Chama ni wanachama na sio kuungwa mkono na machawa.
Huku mawilani tumeshawapa msimamo wajumbe wanaotuwakilisha.
Wakifanya makosa chama watakiua na watabaki wao na mbowe.
si kweli, Lisu ana uwezo wa kujenga hoja, ameteleza kwa hili la kugombea uenyekiti kwa kuropka hovyo, short of that Lisu is smart upstairsFreeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.
Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.
Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.
Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.
Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.
Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).
Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.
Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.
Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.
Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.
Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.
Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.
Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.
Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.
Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.
NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Chadema ndio chama kikuu cha upinzani chini ya Mbowe iweje uchaguzi huu ndio kisiwe chama cha upinzani?Ni UONGO kabisa, ila wewe bunaona hivyo kwasababu anakubalika na Serikali kwa makubaliano MAALUMU ya kuramba ASALI, chini yake hana Nia ya kutwaa Dola, anasaidia CCM kubaki MADARAKANI!!!!
CHADEMA chini ya MBOWE SIO CHAMA CHA UPINZANI
Mbowe hawezi muachia chama mtu kama Lissu ambaye hajawai kufanya fundraising hata ya madawati.Ccm ndo wanamtetea mbowe wanajua Lissu akichukua nafasi anatia mchanga chakula ya wachumia tumbo wa ccm.
Nkurunzinza mbowe akae penmbeni miaka 30 ya kuchumia tumbo inatosha
Uongozi ni zaidi ya kujenga hoja. Lissu anapwaya sana kwenye maeneo mengi ya uongozi. Anafaa kuongozwa.si kweli, Lisu ana uwezo wa kujenga hoja, ameteleza kwa hili la kugombea uenyekiti kwa kuropka hovyo, short of that Lisu is smart upstairs
Maccm mnahangaika sana na siasa za Chadema na mnamuogopa sana Lissu.Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.
Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.
Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.
Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.
Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.
Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).
Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.
Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.
Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.
Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.
Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.
Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.
Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.
Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.
Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.
NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Zipi hizo wakati CCM anaenda tena kuzoa majimbo yote huku yeye akichekelea tu maridhiano. Tunahitaji radical opposition ndio tutaona mabadilikoMbowe atakuja na siasa mpya
Lissu ndio anatumika na ccm kuibomoa chademaMaccm mnahangaika sana na siasa za Chadema na mnamuogopa sana Lissu.
FAKE NEWS! ... TUPA KULEEE!
Mmeshaanza kubadili ukweli kama kawaida ya mashetani!!?Lissu alimualika Abdul nyumbani kwake wakubaliane nini?
Daaaah!!!Ni ujinga kufikiri utaupata uongozi wa juu kabisa wa CDM bila kumshirikisha Mbowe.
Shimba ya Buyenze ... mtembelee Bon yai X!FAKE NEWS! ... TUPA KULEEE!
Duh.Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.
Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.
Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.
Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.
Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.
Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).
Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.
Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.
Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.
Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.
Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.
Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.
Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.
Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.
Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.
NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Chama cha Mbowe siyo?Ni ujinga kufikiri utaupata uongozi wa juu kabisa wa CDM bila kumshirikisha Mbowe.