Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Watu kama dr Shaun Murphy naamini ndio hawa introvert waukweli
 
Jitahd kukaa maeneo yenye watu wanaopiga story mfano kwny vibandaumiza n.k mm ni introvert ila sometimes naongea mpaka huezi amini kama ndo mm.
Kwa mazingira niliyopo hakuna vijiwe wala vibanda umiza labda uende bar nami siendi sehemu hizo. Lakini hata nikisema nijichanganye bado sikawii kuboreka, kwanza hua naona stori zao hatuendani napenda marafiki zangu wawe na miaka 35+
Shida yangu kubwa ni aibu na kutoweza kuongea mbele za watu
 
Duuuh kumbe hii tabia ya kupenda kujitegemea n kwa introvert wote asee. Mm home cjawahi kuznguliwa chochote yaan mda mwngne narud saa 7 usku lakn hakuna anaeniuliza. Lakn nliamua tu kutafta geto langu yaan nlijikuta tu nlijiskia tu kujitegemea
Ndio mkuu afu ndio maana wagunduzi wa vitu vikubwa hapa duniani ni introverted. Hautegemei mawazo sana ya watu. Hapa natoka chuo soon ola nyumbani hawajui ya kuwa Januari nasepa home.
 
Ndio mkuu afu ndio maana wagunduzi wa vitu vikubwa hapa duniani ni introverted. Hautegemei mawazo sana ya watu. Hapa natoka chuo soon ola nyumbani hawajui ya kuwa Januari nasepa home.
Introvertism inaenda sambamba n higher intelligence. Introverts wengi wanauwezo wa kufikiria karibia wanasayansi wote walikua Introverts.
Hatupendi kua tegemezi wala kusaidiwa
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ulikuwa darasa la ngapi?
 
mzee unateseka kuwa introvert?? aisee nina maongezi marefu na wewe PM
 
una demu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]?
 
Introvertism inaenda sambamba n higher intelligence. Introverts wengi wanauwezo wa kufikiria karibia wanasayansi wote walikua Introverts.
Hatupendi kua tegemezi wala kusaidiwa
ushasoma kitabu chochote kuhusu introverts?
 
Mwenyezi Mungu akubariki na azidi kukupa afya njema na kukuepusha na shari pamoja na mitego ya wanadamu.
Hakika wewe ni mwanga (Light) na sio Giza (Dark) usichoke kuandika na kuyaishi maisha mema. Hili kufungua mlango wa maarifa na kuongeza kujitambua na kuyaishi maisha matakatifu.
Najua wewe ni Grateful person, sometimes unakatishwa tamaa na Ungrateful people.
Don't regret to be such a kind of person..........Always be Grateful and Humble.
Be blessed The Man Of Wisdom

sina mkuu🙄
🤭🤭🤭🤭😆😆😆😆
 
Hivi mwendazake anaangukia kwenye kundi gani hapa nimewaza tu maana walimpa sifa za shujaa wa Afrika
 
so ukiishi maisha mema milango ya maarifa inafunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya nyuzi makini kabisa jamii forum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunapata shida sana hii hali nnayo mm siwez interact na watu asee nko very selective kwenye marafiki in short sina marafiki wengi,nnapenda kukaa ndan muda mrefu ,furaha yangu ni kusafiri kimawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…