Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Hapo nimeona sifa kadhaa; aibu, marafiki wachache, uwezo mdogo wa kujielezea na kuongea mbele za watu ingawa nikiwa mbele ya watu nnao wajua huwa naongea, pia kama nikipatwa na matatizo huwa nasimulia kwa wachache ila baadae huwa najilaumu kwa kuona kwamba hata nilivyosimulia hakuna msaada uliotokea na kwamba ningekaa kimya kisingeharibika kitu, nina asili ya kupenda usafi na vitu viwe ktk mpangilio.
Anamaanisha kuongea mbele ya kadamnasi na pia kunakuwaga na shida ya kigugumizi na hofu uchwara
 
Naongezea sifa zengne tulizo nazo ma introvert...

1-: hatujui kuchagua vitu hasa rangi au umbo....yaani unaweza ukatoka nyumban kwenda dukan kununua labda nguo aina flan rangi flani ile nguo ukaikosa apo Sasa muuzaji anaweza akakuuzia rangi yyte ata usiopenda na ukashindwa ata kukataa...unalipa unasepa uku ukijifariji.

2-:wapekuzi sana wa mambo yaani Kama unamauhusiano na bint utampekua bila yeye kujua adi mambo yasiopekurika mwsho wa sku huwa tunabaki na siri moyoni wala hatuwaambii wale tulio wapekua..

3-: hatupendi kutishwaa....mfano kutishwa utoe kitu fulani ili upate kitu fulani,

4-:hatuwezi kusimulia vtu kwa mdomo...tunaweza tukasoma vtu tukavielewa Ila Kwenye kuvipresent tukashindwa.

5:- huwa tunatamani tuwe tofauti na tulivyo Ila tunajikuta tupo hvyohvyo,usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga tu.

6-:tunapenda Sana kufanya mapenzi Ila hatupendi tuonekane katk hali hyo...

7-: wapenzi wetu Mara nyingi ni wale marafiki zetu wa karbu sana...tulio wazoea ndo hao hao tunawatongoza.
Namba 1 na 7 labda ni sifa binafsi but sio sifa jumuishi za kundi letu
 
Introvert mie napata tabu sana ktk kufanya maamuzi magumu/seriously uongozi haunifai!!!!!

But vipi nikijengwa kuwa kiongozi nitashindwa kutimiza majukum yangu kwasababu n introvert??
hii ni shida yako binafsi sio ya kundi letu
 
Ni kweli mimi mwenyewe nilichelewa sana mahusiano.
Mimi nilipata demu wa kwanza na kumvua nguo nikiwa chuo na umri wa miaka 25.
Nilioa nikiwa na miaka 34
Binafsi sina hakika kama sababu ni uoga but kwangu nahisi sababu ni zaidi ya hizi za kuwa intro maana nilichelewa sana kuwa na mademu na mimi ilikuwa the same age nikiwa chuo pia ingawa wanawake walikuwa wananitaka wengi si unajua tuna akili na ile ukimya
 
Mimi ninazo chache za introvert na choleric..
mahusiano naona kama nipo maabara ya chemical hatari sana bado nachaguo hope ntapata malaika.
Hili ni tatizo kubwa kwa intros ,tunachagua saaaana na kutafuta au kuona makosa zaidi kwa wengine sasa hii inaleta shida na kwa hulka za wanawake huwa wanatuona ni walalamishi na wa kulaumu kila kitu,sio wepesi kuridhika au kupongeza
 
Mimi kama introvert yaani!
87654321.jpg
 
introverts wote wana sifa hizi

- Wana uwezo mkubwa kiakili (high intelligence Quotient)
- Ni wagunduzi wa mambo makubwa ya kisayansi
- Wanamudu vizuri masomo ya sayansi na hesabu
- Ni watu wenye pole pole na wasio na maneno mengi
- Wana hisia kali za upendo na ni kundi linalosadikika kuwa na upendo wa dhati

- Wanawajali sana wenzao hasa wanapokuwa katika shida na matatizo(i.e ndio maana hawa huwa waombaji –wanamaombi wazuri sana kiimani)

Sifa zao nyingine ni pamoja na;

- Wana huruma sana na hawapendi kuona wengine wakionewa
- Wanajitolea kwa haraka na kwa dhati katika mambo ya wengine

- Huondoa uchungu wao kwa machozi (wakiumizwa hulia haraka, hasa kwa upande wa wanawake/wasichana)

- Hawajiamini kwa mambo wanayoyafanya (hata wakiwa darasani si wepesi wa kunyoosha vidole ili kujibu maswali)

- Wanahesabu kushindwa kuliko kufanikiwa (mfano akitaka kuanzisha duka; badala ya kuwaza itakuwaje nikipata faida wanawaza itakuwaje kama duka litaibiwa ama kuungua moto, kwa maswali hayo anajikuta hata anafikia katika uamuzi wa kuahirisha uanzishaji wa mradi huo)

- Wakata tamaa wanapokosolewa.
- Wanapenda sana kutiwa moyo kiuhalisia.

Nyinginezo ni;

- Wanapenda kusoma, kusikiliza, na kusimulia mambo yenye tafakari na uchambuzi wa kina (hawapendi umbea)

- Wanapotoa mawaidha mahubiri ama ushauri wengi(wanaosikiliza) huwa wanaguswa nao na hubadilika haraka kutokana na mawaidha hayo ama ushauri ama mahubiri hayo.

- Hawapendi kuvunja taratibu, sheria za eneo husika.
- Wanapenda usafi na mpangilio mzuri wa vitu vyao

- Ni wa vumilivu sana katika hali mbalimbali (mfano wanapoonewa ama kuumizwa).

- Hawapendi kufuatilia mambo ya wengine pasipo sababu za msingi.

- Ni kundi mojawapo linaloathiriwa sana na magonjwa ya mashinikizo kutokana na kuwa wanawaza sana.

- Ni wagumu wa kusahau na hiyo imewasababishia kuwa wagumu wa kusamehe.

- Wanaumia sana wanapokosea ama kushindwa jambo Fulani

Pia, wanafahamika kwa;

- Wanajeruhika mioyo yao kirahisi (i.e wakiingiwa na pepo wabaya si rahisi kuwatoka kwa sababu ya kutunza uchungu kwa muda mrefu mioyono mwao)

- Wana busara na hekima nyingi
- Ni watu ambao wakiishika imani fulani wanajitahidi kuitimiliza sheria yote.
- Ni wepesi wa kutubia makosa yao na kutubu kwa ajili ya wengine.
- Wana aibu nyingi sana hasa kwa watu wasiowafahamu wala kuzoeana nao
- Ni kundi la watu wanoridhika haraka

- Masikini wengi kiuchumi duniani ni wa kutoka katika kundi hili kutokana na uoga wao wa kuanzisha mambo kwa kuhofia kushindwa.

- Watoto wanaozaliwa katika kundi hili inasadikiwa ni wengi huwa na ndoto za kufanikiwa mapema lakini ni wachache mno ambao huweza kutimiliza ndoto zao kutoka na uoga wa kuanzilisha mambo mapya.

- Kundi linalopenda amani na utulivu
- Wanaogopa sana matatizo, vikwazo na changamoto

- Katika familia baba na mama wakiwa melancolin upo uwezekano mkubwa kwa watoto kuharibika maadili kwa sababu hawa melancolin si wepesi wa kuadhibu.

Wana sifa nyingi sana, nyinginezo ni;

- Mara nyingi hupenda kuonesha sura za tabasamu hata kama wapo katika matatizo makubwa

- Hawapendi kumueleza kila mtu mambo yao binafsi
- Ni kundi la watu wenye marafiki wachache
- Wakati mwingine hupenda kujikataa.
- Ni waaminifu na wasema ukweli
- Wanapenda kusaidia wengine kupita hata uwezo wao
- Ni waaminifu sana kwa mambo ya kawaida na yale ya kiimani
- Hawapendi kujionesha mbele ya macho ya watu

- Hawa hawafai kuwa viongozi (si wazuri sana) kwa sababu wanapenda kusikiliza na kutafakari kila wanachoshauriwa hivyo hujikuta kuwa wanayumba kimisimamo. (mfano kama mkurugenzi/mwenyekiti wa eneo Fulani akiwa ni melancolin yafaa sana msaidizi wake awe ni colerick

Kingine kinachowanyima sifa ya kuwa viongozi wazuri ni kutokuwa na uwezo wa kujieleza kwa kujenga hoja zenye ushawishi mkubwa [Musa wa biblia alikuwa ni mmoja ya watu wa kundi hili, alikuwa hajiamini, anakata tamaa mapema, mlalamishi, asiyeweza kujieleza, licha ya kupewa msaidizi na Mungu bado tabia zake zilimuathiri na akajikuta anakosa nchi ya ahadi-Kaanani].

- Wanauhesabu upendo wa dhati kutokana na mambo wanayofanyiwa na sio kuambiwa (wanafurahia sana vitendo kuliko maneno}

- Kwa upande wa wasichana inasemekana kuwa ndio ambao wanasumbuliwa zaidi na maumivu ya hedhi, na kujifungua.
Yaani mkuu, mimi kabisa, niko hivi 99%[emoji848][emoji848]
 
So I am Pyaar!
You're Introvert..
Sifa kuu yetu ni upendo na huruma. Ndio maana na Jesus hua anakuareferd as Introvert maana alikua/ana na huruma na upendo ulipitiliza kwa watu wake.

Upande wa kudhurumiwa nimedhurumiwa sana. Imagine nishawahi fyatua tofali 2000 kwenye kichuguu hafu sikupewa hata 100. Nilisamehe
Kingine ni kuonewa..unakua dustbin ya kila mtu. Watafanya makosa yao unatupiwa wewe just bcz huwezi jieleza vizuri.
Dah! Kweli tunafanan aisee
 
Na wengi wao ni wanachama wa CHAPUTA hivyo wengi wao huishiwa nguvu za kiume na kupeleka kua stressed mwishoni hujinyonga Kwa kusalitiwa . Believe me
Usichokijua mkuu watu wa hivi ndio huwala sana wanawake kimya kimya na kwa jinsi tulivyo wanawake wengi wanatupenda wenyewe kutokana na jinsi tunavyoonekana wapole pia tuna ile kujali sana wala hatutumii nguvu kubwa kutongoza.
Mfano mimi nikimtaka mwanamke siwezi kumwambia direct nakupenda sijui nataka nini, hua naanzisha tu story za kiaina za namna hiyo na utani mwingi mwishowe wanajikuta washaliwa,

Mi ni kitombi hadi najiogopa, kuna saa najiangalia sana kwenye kioo afu najiuliza hivi ni mimi nafanya uchafu wote huu?

Na hizi simu zimekuja kuturahisishia sana maana kutongoza live hua shida sana.
 
Back
Top Bottom