Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

So I am Pyaar!
You're Introvert..
Sifa kuu yetu ni upendo na huruma. Ndio maana na Jesus hua anakuareferd as Introvert maana alikua/ana na huruma na upendo ulipitiliza kwa watu wake.

Upande wa kudhurumiwa nimedhurumiwa sana. Imagine nishawahi fyatua tofali 2000 kwenye kichuguu hafu sikupewa hata 100. Nilisamehe
Kingine ni kuonewa..unakua dustbin ya kila mtu. Watafanya makosa yao unatupiwa wewe just bcz huwezi jieleza vizuri.
Yan jamani asilimia 99 ya huo uzi ni mimi kabisa,.
Rafiki yangu mkubwa kabisa anaenipa kampani na anaenichangamsha, na ninaemalizia nae siku ni bia.
Maneno na watu staki,
Mtu anaongea kila saa naona kama ananipigia makelele.
Kitu ambacho siwezagi maishani ni kusema uwongo, nikishajua mtu fulani ni muongo muongo hata kama ni ukaribu nae huisha mapema kabisa.
Napenda sana kusema ukweli na sipendagi kumuuzi mtu kwa kweli.
Siku nikiwa nyumbani kama Sina shughuli huko nje stoki kabisa nje ni bia yangu na simu hadi jioni
 
Yan jamani asilimia 99 ya huo uzi ni mimi kabisa,.
Rafiki yangu mkubwa kabisa anaenipa kampani na anaenichangamsha, na ninaemalizia nae siku ni bia.
Maneno na watu staki,
Mtu anaongea kila saa naona kama ananipigia makelele.
Kitu ambacho siwezagi maishani ni kusema uwongo, nikishajua mtu fulani ni muongo muongo hata kama ni ukaribu nae huisha mapema kabisa.
Napenda sana kusema ukweli na sipendagi kumuuzi mtu kwa kweli.
Siku nikiwa nyumbani kama Sina shughuli huko nje stoki kabisa nje ni bia yangu na simu hadi jioni
Pole sana mkuu asee...
Shida yako ni hapo kwenye bia. Bia hutakiwi kuifanya kimbilio lako au kampani yako. Kunywa tu ili kujiburudisha ndugu
 
Naongezea sifa zengne tulizo nazo ma introvert...

1-: hatujui kuchagua vitu hasa rangi au umbo....yaani unaweza ukatoka nyumban kwenda dukan kununua labda nguo aina flan rangi flani ile nguo ukaikosa apo Sasa muuzaji anaweza akakuuzia rangi yyte ata usiopenda na ukashindwa ata kukataa...unalipa unasepa uku ukijifariji.

2-:wapekuzi sana wa mambo yaani Kama unamauhusiano na bint utampekua bila yeye kujua adi mambo yasiopekurika mwsho wa sku huwa tunabaki na siri moyoni wala hatuwaambii wale tulio wapekua..

3-: hatupendi kutishwaa....mfano kutishwa utoe kitu fulani ili upate kitu fulani,

4-:hatuwezi kusimulia vtu kwa mdomo...tunaweza tukasoma vtu tukavielewa Ila Kwenye kuvipresent tukashindwa.

5:- huwa tunatamani tuwe tofauti na tulivyo Ila tunajikuta tupo hvyohvyo,usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga tu.

6-:tunapenda Sana kufanya mapenzi Ila hatupendi tuonekane katk hali hyo...

7-: wapenzi wetu Mara nyingi ni wale marafiki zetu wa karbu sana...tulio wazoea ndo hao hao tunawatongoza.
Hyo No.5 ndo MTIHANI SANA hapo...
Anayejua solution yake atuambie
 
Duuu mpaka leo nimemface bibie mmoja tu kwenye kutongoza rafki yake aliniambia siwezi kutongoza,
Upande wa mziki Mimi napenda kuskiliza zile za jazz band lesi wanyika yaani zilizopita mpaka watu wananiita kijana mzee, tunaonekana sisi tumepitwa sana na wakati,
Tunaishi kibusarabusara tu nikiwa na hela hujui hata nikifulia hunidhanii.
 
Hili ni tatizo kubwa kwa intros ,tunachagua saaaana na kutafuta au kuona makosa zaidi kwa wengine sasa hii inaleta shida na kwa hulka za wanawake huwa wanatuona ni walalamishi na wa kulaumu kila kitu,sio wepesi kuridhika au kupongeza
Hapa kiongozi mim pamekuwa pagumu nikianzisha mahusiano sipendi yeyote ajue mpaka nijiridhishe kwamba yuko vzr kitabia cha ajabu nikiona makosa kidogo tu simwambii ikumbukwe hapo bado nimefanya siri, kwahyo direct najua kabisa huyu hanifaia nakoenda nako ndo hivohivo hata sijui nitapata mwansmke wa type gani.
 
I wish to befriend you
Yan jamani asilimia 99 ya huo uzi ni mimi kabisa,.
Rafiki yangu mkubwa kabisa anaenipa kampani na anaenichangamsha, na ninaemalizia nae siku ni bia.
Maneno na watu staki,
Mtu anaongea kila saa naona kama ananipigia makelele.
Kitu ambacho siwezagi maishani ni kusema uwongo, nikishajua mtu fulani ni muongo muongo hata kama ni ukaribu nae huisha mapema kabisa.
Napenda sana kusema ukweli na sipendagi kumuuzi mtu kwa kweli.
Siku nikiwa nyumbani kama Sina shughuli huko nje stoki kabisa nje ni bia yangu na simu hadi jioni
 
Daaaah kama mimi yani woot
Hapa kiongozi mim pamekuwa pagumu nikianzisha mahusiano sipendi yeyote ajue mpaka nijiridhishe kwamba yuko vzr kitabia cha ajabu nikiona makosa kidogo tu simwambii ikumbukwe hapo bado nimefanya siri, kwahyo direct najua kabisa huyu hanifaia nakoenda nako ndo hivohivo hata sijui nitapata mwansmke wa type gani.
Daaa kama mimi yaani
 
Back
Top Bottom