Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah alichosahau kuainisha ni kuwa Introverts wa kike wanadumu sana katika mahusiano esp. wakiwa coupled na Male Extroverts.Hii mada kigugumizi mno,,,
Popote alipo Extrovert yeyote aje tuungane kwaajili ya biashara nasikia MNA kismati.
Njoo bobo tuyajenge basi kimwali😍
Yaani mnajua kuwadadavua ma introvertHahahah alichosahau kuainisha ni kuwa Introverts wa kike wanadumu sana katika mahusiano esp. wakiwa coupled na Male Extroverts.
Extroverts are so entertaining patners na rahisi ku form peers. And i guess this is what makes them good leaders and business managers!
Ha ha hah Uzi umenipatisha mchumba jaman.Njoo bobo tuyajenge basi kimwali😍
Yeah you gotta be happy beibs...got that package for yuh!😍Ha ha hah Uzi umenipatisha mchumba jaman.
Ha ha hah haya poa bhana.Yeah you gotta be happy beibs...got that package for yuh!😍
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] una demu?Mie rafiki zangu wananiuliza we mwenzetu una demu kweli?
Hilo swali naulizwa sana wengine wananipa majina domo zege huezi kua na demu.
Mwengine aliwahi kunambia jamaa angu tatizo lako unatafakari sana hata sehem ya kukanyaga mguu unapotembea.
Sipendi sehemu ya watu wengi nikiona watu mara nyingine adi nawakimbia.
Nilipokua mdogo niliwahi kuugua sana hospitali madaktari waliponifanyia vipimo wakawambia wazazi mtoto anafikiri sana anahitaji kurelax nikapelekwa isolation kwa wiki tatu.
Nilizaliwa 10 september.
hahahah usiwaze bob,nitakuzingatia mzee 😂Kirahisi tu umepata mchumba, kweli mwenye navyo huongezewa.
Btw uzi ni wangu so nahitaji cha udalali🙄🙄
Hadi wewe ni introvert kumbe ni wengi hivi lkn huku niliko mbona introverts tupo wachache sana hahaBasi kumbe hata mie ni introvelt,,nina marafiki hawazidi wawili mpaka sasa,,sina mazoea na wanadamu kwa sana,labda anizoee yeye kwanza..
Ha ha ha hahKirahisi tu umepata mchumba, kweli mwenye navyo huongezewa.
Btw uzi ni wangu so nahitaji cha udalali🙄🙄
Kijana hujambo..?Aisee..
Upewe tuzo ya kuvaa mask mbalimbali!Sijambo kiongozi.. Lete habari
Achana na hilo vipi mask uliyovaa sahivi ndo yamilele au nayo utaivua maana ni Kama watuchora fulani hivi..!Hahaa kabla ya kunipa tuzo inabidi upewe tuzo ya mtongozaji bora
Ha ha! Ila hili litakuwa linafanyika na kitu kikubwa nyuma ya pazia! Nashuku tu ila msalimie nanihino..😜Two weeks to come inarudi iliyozoweleka..
Nawachora tu kiongozi
Nawewe ni introvert?Tumefanana, uonevu kwangu ni mwiko