Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Hii thread nimeipenda sana...
Kwanini tusianzishe LIVE MEETINGS kwenye mikoa tuliyopo kwa ajili yetu sisi Introverts; ili tutiane moyo, tuelimishane, tujengane na tutafute suluhisho za kudumu kwa mambo yanayotusibu katika maisha?
Halafu si vibaya tuanzishe hata telegram group letu jamani.

NB: Mimi sipo social sana, ila napenda ku'volunteer na kuwasaidia watu na jamii kwa ujumla. Pia, mimi kwa sasa nina Confidence katika maswala ya kujieleza na kufanya Presentation mbele za watu.
Sisi wengine bado kujieleza ni ngumu tukikutana inakuwaje?
 
hapana mkuu haiko hivyo..kila nyota ina nyota ambazo inaendana nazo kwenye suala la mahusiano..hasa hasa nyota ambazo mnashare elements (moto,hewa,maji na udongo)

mfano mwanaume wa nyota ya simba anatakiwa kuwa mwanamke wa nyota ya kondoo ,mshale na mizani

nk
Hizo nyota tunajuaje sasa?
 
Sisi wengine bado kujieleza ni ngumu tukikutana inakuwaje?
Wala usijali... Kumbuka, "birds with the same colour fly together". Hakuna kitakachoharibika my friend.
Tena umenikumbusha, natengeneza group la telegram muda si mrefu halafu nitatupia huku JF hiyo link, ili Introverts tu'join.
 
Hivi kuna mtu Extrovert kuzidi baba levo[emoji3][emoji3]
Kwa unaowafaham wewe!.. kwaninaowafaham mimi baba Levo haingii hata robo. Classment wangu ilikua wakati wa likizo tukiwa safarini Behewa zima linamsikiliza yeye full vicheko mpaka watu wa mabehewa mengine wanasogea wajue watu wanafurahi nini.
 
introvert anatakiwa kuwa kama alivyo! akijaribu kuchepuka na kufuata tabia kama za flani anapotea kabisa kama unabisha niulize mimi
 
Back
Top Bottom