Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

 
pigeni kelele,lalamikeni muwezavyo!!!
Sisi tupo paleee tunawasubiria mnavyokuja mikono nyuma mmejaaa shida..Kila mkataba mnasaini tuuu...

WW kama hutaki mikopo bana matumizi Yako,acha tamaaa ya vilivyo nje ya kipato chako,acha uzinzi maana wengi wenu ngono NDio zimewatia umaskini,, ..

Mnapiga kelele humu wakati mnapambana Kila Kona mpewe mikopo Kwa tamaaa zenu au ujinga wenu...
 

Attachments

  • IMG_1508.jpg
    78.2 KB · Views: 42
  • IMG_1507.jpg
    81.2 KB · Views: 44
View attachment 2676736
View attachment 2676737
Kibaya unapewa sound kua unakatwa kwa reducing balance af brother Mpwayungu Village sisi tuna lalamikia utaratibu mzee sio inshu ya utak Acha mbona kama mwalimu uliechangamka we jamaaa [emoji28]
Haya mambo ya mamikopo bhana wanaweza wafanyabiashara tu tena zaidi wawekezaji ila nyie hamjui ndio maana mnajipeleka na shida zenu ambazo hata ukisave mshahara wako unaweza ukaanza kabiashara kako ambako katatatua shida ndogo ndogo. Mikopo Kwa raia masikini haina Tija kwahiyo sio lazima sana

Masikini pambana upate nyumba na biashara ndogo ndogo tu basi
 
**Usiwastu Usiwastue tuzidi kujineemesha kupitia Walimu wa huko Halmashauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…