Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

Serikali ishue riba Kwa watumishi wote, Cha kushangaza madiwani na wakuu wa wilaya wana riba ZAO na JWTZ nao wanariba ZAO walimu na watumishi wengine riba juu .WAARABU karibuni labda mambo yatabadirika
 
Serikali ishue riba Kwa watumishi wote, Cha kushangaza madiwani na wakuu wa wilaya wana riba ZAO na JWTZ nao wanariba ZAO walimu na watumishi wengine riba juu .WAARABU karibuni labda mambo yatabadirika
Waarabu?
Yaani kama tumeshindwa kuitendeana vema sisi kwa sisi tusitegemee mgeni atatutendea vema!
Wakija nchini wamekuja kuchuma na wachumwaji ndio sisi.
Tafakarii
 
""Ajira ni yako, si ya Familia yako""...mkuu hili ni neno asee, linachoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] linakumbusha.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Daaah! NMB wezi sana, mimi nilifanya process zote nikabakisha kusainiwa na Boss wangu. Nilipochukua kwenda kuusoma mkataba nyumbani nilisikitika sana, hadi leo nina ule mkataba sijawahi kuonekana tena machoni panyule afisa.

Mimi nilitakiwa kulipa riba ya 105% kwa miezi 96.
 
Saccos ipo vizuri. Mfano walimu siku wakija kujielewa nakufuta kikundi chao cha hovyo CWT wakaanzisha saccos moja matata alafu wakakopeshana kupitia hiyo saccos nadhani hata mpwayungu village angetamani kurudi kufundisha.
Sahihi kabisa kiongozi
 
FL ni changamoto sana.

Huoni riba ilikua almost 14% pa?

Ulitaka mkopo wa miaka 8. Kumbuka hiyo ni biashara.
Hiyo benki siyo wezi. Unapewa ulichoagiza.
 
Elezea kidogo mkuu nbc wanatoa chochote how
 
Lengo lao hamtakiwi kuwa matajiri. mnatakiwa kuwa masikini.
 
Hivi top up zinaathari gani mkuu??nahitaji kuelewa hapa
 
FL ni changamoto sana.

Huoni riba ilikua almost 14% pa?

Ulitaka mkopo wa miaka 8. Kumbuka hiyo ni biashara.
Hiyo benki siyo wezi. Unapewa ulichoagiza.

Kabla ya kuomba mkopo tunawatumia wao kutupatia ushauri wa nini nifanye, sio kila mmoja amesoma uchumi.

Cha ajabu ushauri wanaonipatia hata mimi nisiesoma uchumi siwezi kumshauri mtu afanye.

Actually riba ilikua 16% plus hiyo processing fee ilikua almost 4 Million.

Hizi benki zinatakiwa kuwa msaada kwa watumishi kwasababu ndio kundi kubwa zaidi linalozifanya ziwe hai, maana yake zilitakiwa kuweka mikopo isiyoumiza sana, angalau riba 11% per annual.
 
Hivi top up zinaathari gani mkuu??nahitaji kuelewa hapa
Ukitop up unachokifanya ni kuongeza muda wa mkataba na kadri mda unavokuwa mkubwa na riba inakuwa kubwa.
Chukulia ulikuwa na mkopo wa 6M kwa miaka miwili ambapo ulitakiwa kulipa 840000 zaidi, baada ya mwaka ukatop up 6M zingine hapa utapaswa kulipa hii 6M ya pili ndani ya miaka mitatu coz wanaesabu kutoka siku ulipochukuwa hela. Kwa hiyo kwa miaka kulipa 1,260,000 zaidi kwa 6M ya pili badala ya 840,000.


Mwenye ujuzi anaweza kuelezea vizuri zaidi.
 
Mie nashauri Kwa mwenye malengo kopa fanya malengo hatuna bima za maisha unaweza ajiriwa ukafa ndani ya miaka miwili na hujafanya kitu

Kujichanga mdogo mdogo ni ngumu sanaa hasa hasa ukitaka kujenga huwezi toboa kirahisi lazima ukope tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…