mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Tumezoea kudhani kuwa maombi yanakuza Imani. Ni kweli tumesisitizwa kuomba, lakini asilimia karibu 99 ya Sala zako hazipaswi kuwa Maombi Bali Shukrani.
Kuombaomba na mbaya Zaidi kuombewa kunapumbaza na kushusha Imani.
NINI KITAONGEZA IMANI YAKO?
SHUKRANI.
Unatakiwa kushukuru Muda mwingi Kwa vitu ambavyo huna kana kwamba tayari unavyo.
KWA NINI USHUKURU NA SIO KUOMBA?
Tayari Mungu karibu Kila unachokiomba ameshasema amekupa. Badala ya kuomba shukuru Kwa kupewa Kisha Anza kuchukua hatua za kivitendo bila shaka kana kwamba tayari hicho kitu kipo na unacho.
Mfano, Yesu hakuomba ili mikate5 na samaki 3 vilishe watu 5000 (wanaume). Alishukuru Kwa sababu tayari Kuna andiko linasema Kila chenye Mwili akipa chakula chake Zaburi 136:25.
Kiwango chako Cha imani kinapimwa hivi.
Kuombewa ----Mtoto mchanga kiimani.
Kuomba ------Mvulana au msichana kiimani.
Kushukuru nakusifu ---- Mtu mzima na mkomavu kiimani.
Kama umeelewa, andika Amina.
Muebrania
Mitale na Midimu
Kuombaomba na mbaya Zaidi kuombewa kunapumbaza na kushusha Imani.
NINI KITAONGEZA IMANI YAKO?
SHUKRANI.
Unatakiwa kushukuru Muda mwingi Kwa vitu ambavyo huna kana kwamba tayari unavyo.
KWA NINI USHUKURU NA SIO KUOMBA?
Tayari Mungu karibu Kila unachokiomba ameshasema amekupa. Badala ya kuomba shukuru Kwa kupewa Kisha Anza kuchukua hatua za kivitendo bila shaka kana kwamba tayari hicho kitu kipo na unacho.
Mfano, Yesu hakuomba ili mikate5 na samaki 3 vilishe watu 5000 (wanaume). Alishukuru Kwa sababu tayari Kuna andiko linasema Kila chenye Mwili akipa chakula chake Zaburi 136:25.
Kiwango chako Cha imani kinapimwa hivi.
Kuombewa ----Mtoto mchanga kiimani.
Kuomba ------Mvulana au msichana kiimani.
Kushukuru nakusifu ---- Mtu mzima na mkomavu kiimani.
Kama umeelewa, andika Amina.
Muebrania
Mitale na Midimu