Jinsi maombi yanavyoshusha Imani yako kwa Mungu

Jinsi maombi yanavyoshusha Imani yako kwa Mungu

Katoto kadogo hakajui kushukuru au kuomba, sisi watu wazima ni kama Mungu wa haka katoto. Ni juu yetu kukalisha na kukalinda. Na sisi binadamu mbele ya Mungu ni sawa na haka katoto, tena akili yetu ni finyu zaidi ya haka katoto mbele ya Mungu.
ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu.
waefeso 4:14


utoto ni stage katika ukristo sio ukomo. Asante lakini kwa mchango mzuri.
 
Back
Top Bottom