Jinsi maombi yanavyoshusha Imani yako kwa Mungu

Jinsi maombi yanavyoshusha Imani yako kwa Mungu

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, kungekuwa hakuna haja ya kuomba wala kushukuru.

Hizi habari za kuomba na kushukuru kuwepo zinaonesha Mungu huyo hayupo.

Na habari za kuwepo kwake zimetungwa na watu tu.
Asante Kwa maoni yako kuhusu Mungu.
 
Sijawahi kumsikiliza hiyu Bwana, Ila ninachojua wengi wa aina yake Huwa wanachanganya.
Unaweza kuona baada ya kushukuru Tena aliowaaminisha wanamagonjwa na wamefungwa.
Niliwahi kfuatilia mmoja anaitwa Kuhani, anawaaminisha waumini wamelogwa na wako kwenye vyama vya wachawi, anawaambia wakili hivyo.
Wakati huohuo anawaambia wameokoka. hayo tunayaita Satan and not Christ Conscious churches

Kama wanaaminishwa kupata Kwa Kushukuru, watakuwa ni waumini imara Sana wasio na hofu.
Bas mfatilie mkuu simpigii promo ila kabla ya ibada utasiki akusema kbsa paza SAUTI ya shurkrani nimemuelewa sana
 
Hata kama huna dini. Hii ni kanuni. Ukiitumia inazaa matunda.
Wakristo wengi wanaahangaika eti wamefungwa kumbe midomo yao ndio imewafunga Kwa kutokushukuru na kubaki wakitazamia kuona Mungu atafanya kitu katikati ya bidii zao. Huku wakiepuka negativity Kwa gharama zote.

Haya ni maarifa, tu watu wanatakiwa kuyatest.
Tough time never last tough people do.
Nyakati ngumu haziwezi fika mwisho lakini wenye imani kuu upenya
 
Ibrahim aliamini atarudi na mtoto, hata kama angemchimja na kumchoma. Mungu angemrudisha Kwa manjia elfu aliyonayo.
Ndio maana anaitwa Baba wa Imani.
Ushahidi
Waebrania 11:19
[19]akihesabu ya kuwa Mungu aweza kumfufua hata kutoka kuzimu; akampata tena toka huko kwa mfano.
Accounting that God was able to raise him up, even from the dead; from whence also he received him in a figure.

Ni sahihi kumwambia maskini ni aseme ni tajiri. Ushahidi wa utajiri wake sio vitu vya kugusika alivyonavyo, ushahidi ni neno la Mungu lililosema hivyo. Imani ni uhakika wa usichonacho, uhakika hup ni neno la Mungu usilolitilia mashaka.
Kila mkristo anayejitambua ni Tajiri kuliko Elon Musk Kwa sababu, unafanyika mtoto wa Ufalme na mrithi wa Vyote alivyonavyo Mungu. Hata kama Hauna Sasa vitakuwa vyako siku akirudi.

Ni dhambi mkristo kukili huna kitu, maana imeandikwa.
Wafilipi 4:19
[19]Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.
But my God shall supply all your need according to his riches in glory by Christ Jesus.

Ni KOSA mkristo kukiri udhaifu, maana imeandikwa.
Yoeli 3:10
[10] aliye dhaifu na aseme, Mimi ni hodari.
... let the weak say, I am strong.

Pia udhaifu wako (kiuchumi, kiroho,kimahusiano ndio kigezo Cha kufanywa imara. Udhaifu ni advantage.) Paulo aliandika katika udhaifu ndipo nakuwa imara.

Kwa Nini watu hawapati au hawaoni. Wengi hatujua maana ya tajiri Kwa mtazamo wa biblia. Ni kuwa na financial freedom hata unaishi chini ya Dola Moja. Pia wanavunja kanuni nyingine mfano. Utajiri wa Mungu inahitaji bidii , ndio maana anasema Wenye bidii watakaa na wakuu
Abraham kuitwa baba wa imani hakuna uhusiano wowote na yeye kuamini atarudi na Issack

Abraham anaitwa Baba wa imani kwasbabu yeye ni joint kwenye dini kuu mbili

Mungu angejua kuwa Abraham ameshtukia plan ya Mungu na kwamba kivyovyote vile lazima Issack awe salama, unadhani point ya Mungu kumpima imani Abraham ingekuwa na mashiko gani?

Ni sawa na wewe uweke spy app kwenye simu ya mkeo kwa kificho, halafu mkeo akastukia kuwa kuna spy app umemuwekea

Akawa anapita njia ambazo hanaswi na mtego wako, je hiyo itakuwa ni kipimo kuonesha mkeo haku cheat?
 
Abraham kuitwa baba wa imani hakuna uhusiano wowote na yeye kuamini atarudi na Issack

Abraham anaitwa Baba wa imani kwasbabu yeye ni joint kwenye dini kuu mbili

Mungu angejua kuwa Abraham ameshtukia plan ya Mungu na kwamba kivyovyote vile lazima Issack awe salama, unadhani point ya Mungu kumpima imani Abraham ingekuwa na mashiko gani?

Ni sawa na wewe uweke spy app kwenye simu ya mkeo kwa kificho, halafu mkeo akastukia kuwa kuna spy app umemuwekea

Akawa anapita njia ambazo hanaswi na mtego wako, je hiyo itakuwa ni kipimo kuonesha mkeo haku cheat?
Asante Kwa hoja.
Ila kumbuka tu, Mungu Ndiye aliyemchanganya. Kamwambia mtoto atakayezaliwa na mkeweSara first born Ndiye atakaye rithi.

Hapohapo anamuambia amuue huyohuyo mrithi. Alafu Mungu sio muongo.

Ndio maana aliaminihata kama akifa, Bado Ile kauli ya Kwanza otatekelezeka kupitia huyohuyo aliyeuwawa.
Ndio maana nikakupa mstari aliamini Mungu angemfufua. Sio maoni yangu ni andiko.


Ila naheshimu utofauti wetu wa maoni katika hili.
 
Asante Kwa hoja.
Ila kumbuka tu, Mungu Ndiye aliyemchanganya. Kamwambia mtoto atakayezaliwa na mkeweSara first born Ndiye atakaye rithi.

Hapohapo anamuambia amuue huyohuyo mrithi. Alafu Mungu sio muongo.

Ndio maana aliaminihata kama akifa, Bado Ile kauli ya Kwanza otatekelezeka kupitia huyohuyo aliyeuwawa.
Ndio maana nikakupa mstari aliamini Mungu angemfufua. Sio maoni yangu ni andiko.


Ila naheshimu utofauti wetu wa maoni katika hili.
Kumbuka lengo la Mungu lilikuwa ni kuipima imani ya Abraham

Na ili lengo lifanikiwe kikamilifu maana yake Abraham hatakiwi kujua ukweli kuwa ni setup, ili kama alikuwa ana pretend kuwa na imani thabiti mbele za Mungu aumbuke kwasbabu atakataa kumchinja mwanaye na mwisho wa siku akose kuaminiwa na Mungu

Sasa Abraham kaishajua kuwa hili ni jaribio kuwa haitotokea zoezi la kumchinja wanae likafanikiwa unafikiri tunaweza kumsifu Abraham kuwa ni mcha Mungu ambaye ana imani na Mungu?
 
Kumbuka lengo la Mungu lilikuwa ni kuipima imani ya Abraham

Na ili lengo lifanikiwe kikamilifu maana yake Abraham hatakiwi kujua ukweli kuwa ni setup, ili kama alikuwa ana pretend kuwa na imani thabiti mbele za Mungu aumbuke kwasbabu atakataa kumchinja mwanaye na mwisho wa siku akose kuaminiwa na Mungu

Sasa Abraham kaishajua kuwa hili ni jaribio kuwa haitotokea zoezi la kumchinja wanae likafanikiwa unafikiri tunaweza kumsifu Abraham kuwa ni mcha Mungu ambaye ana imani na Mungu?
Hakujua kama halitatokea. Mungu aliingilia kati akiwa kwenye mchakato wa kumchinja.

Andiko linasema, aliamini Bado ahadi ingetimia kupitia huyohuyo Isaka. Maana yake hata kama angekufa Bado Mungu angejua namna ya kumrudisha. Ndio msingi wa Ile Imani Kali.

Mungu alikuwa anataka kumpima tu ibrahim Yuko tayari kutoa vyote Kwa ajili yake. Na alithibitisha Hilo ndio maana zoezi likasitishwa.

Sio kwamba alijua hafi.
 
Me naona kama sala ya Bwana ipo kama muhtasari. Kukemea pepo kunaonekana ndani ya maneno haya
"...utuokoe na yule mwovu kwakuwa ufalme ni wako na nguvu ....."
Neno "utuokoe" ni ombi la kusihi hivyo shetani hawezi kuondoka kwa kumsihi bali huondoka kwa Kupingwa (kukemewa) vikali.

Sasa kwenye sala ya Bwana hakuna kemeo lolote
 
Katoto kadogo hakajui kushukuru au kuomba, sisi watu wazima ni kama Mungu wa haka katoto. Ni juu yetu kukalisha na kukalinda. Na sisi binadamu mbele ya Mungu ni sawa na haka katoto, tena akili yetu ni finyu zaidi ya haka katoto mbele ya Mungu.
 
Tumezoea kudhani kuwa maombi yanakuza Imani. Ni kweli tumesisitizwa kuomba, lakini asilimia karibu 99 ya Sala zako hazipaswi kuwa Maombi Bali Shukrani.

Kuombaomba na mbaya Zaidi kuombewa kunapumbaza na kushusha Imani.

NINI KITAONGEZA IMANI YAKO?

SHUKRANI.
Unatakiwa kushukuru Muda mwingi Kwa vitu ambavyo huna kana kwamba tayari unavyo.

KWA NINI USHUKURU NA SIO KUOMBA?
Tayari Mungu karibu Kila unachokiomba ameshasema amekupa. Badala ya kuomba shukuru Kwa kupewa Kisha Anza kuchukua hatua za kivitendo bila shaka kana kwamba tayari hicho kitu kipo na unacho.

Mfano, Yesu hakuomba ili mikate5 na samaki 3 vilishe watu 5000 (wanaume). Alishukuru Kwa sababu tayari Kuna andiko linasema Kila chenye Mwili akipa chakula chake Zaburi 136:25.

Kiwango chako Cha imani kinapimwa hivi.

Kuombewa ----Mtoto mchanga kiimani.
Kuomba ------Mvulana au msichana kiimani.
Kushukuru nakusifu ---- Mtu mzima na mkomavu kiimani.

Kama umeelewa, andika Amina.

Muebrania
Mitale na Midimu
amina, filemon 1:6
 
Back
Top Bottom