Ibrahim aliamini atarudi na mtoto, hata kama angemchimja na kumchoma. Mungu angemrudisha Kwa manjia elfu aliyonayo.
Ndio maana anaitwa Baba wa Imani.
Ushahidi
Waebrania 11:19
[19]akihesabu ya kuwa Mungu aweza kumfufua hata kutoka kuzimu; akampata tena toka huko kwa mfano.
Accounting that God was able to raise him up, even from the dead; from whence also he received him in a figure.
Ni sahihi kumwambia maskini ni aseme ni tajiri. Ushahidi wa utajiri wake sio vitu vya kugusika alivyonavyo, ushahidi ni neno la Mungu lililosema hivyo. Imani ni uhakika wa usichonacho, uhakika hup ni neno la Mungu usilolitilia mashaka.
Kila mkristo anayejitambua ni Tajiri kuliko Elon Musk Kwa sababu, unafanyika mtoto wa Ufalme na mrithi wa Vyote alivyonavyo Mungu. Hata kama Hauna Sasa vitakuwa vyako siku akirudi.
Ni dhambi mkristo kukili huna kitu, maana imeandikwa.
Wafilipi 4:19
[19]Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.
But my God shall supply all your need according to his riches in glory by Christ Jesus.
Ni KOSA mkristo kukiri udhaifu, maana imeandikwa.
Yoeli 3:10
[10] aliye dhaifu na aseme, Mimi ni hodari.
... let the weak say, I am strong.
Pia udhaifu wako (kiuchumi, kiroho,kimahusiano ndio kigezo Cha kufanywa imara. Udhaifu ni advantage.) Paulo aliandika katika udhaifu ndipo nakuwa imara.
Kwa Nini watu hawapati au hawaoni. Wengi hatujua maana ya tajiri Kwa mtazamo wa biblia. Ni kuwa na financial freedom hata unaishi chini ya Dola Moja. Pia wanavunja kanuni nyingine mfano. Utajiri wa Mungu inahitaji bidii , ndio maana anasema Wenye bidii watakaa na wakuu