Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Na ni Mungu huyo huyo aliyesema usiseme uongoImani chanzo chake ni kusikia neno la Mungu.
Mungu amesema Usiue. Sasa Imani ni kutoua.
Imani ndio inakutaka uamini kitu unacho hata kama huna. Na sioaneno unaanza kuchukua hatua KATIKA ya Kutokujua. Ukitaka Hadi ujione ndio uamini hiyo sio Imani ni EVENT.
Ibrahim aliamini akaenda asikokujua.
Ibrahim aliamini atarudi na mtoto wake licha ya kujua anakwenda kumchinja.
Musa aliamini bahari itaachia kabla hajaona iachie na hajwahi kuona tangu azaliwe.
Yesu alishukuru kupata mikate ya kulisha watu 5000 wakati haipo.
Imani ni independent na 5 senses ikiwepo kuona. Ndio maana ukiwa na Imani Kali lazima uonekane chizi. Paulo alionekana mpumbavu tu.
Ushahidi kuwa hicho kitu unacho hata kama hakipo sio kuonekana kw hico kitu Bali ni Hilo neno lililosemauna ho au UTAPEWA ndani ya biblia.
Na ushahidi kwamba utapata hata kama ni pesa. Utaondoka Kwa bidii ukiamini kabisa fursa yoyote itakayojitokeza ndio sehemu ya udhihirisho a neno unaloamini. Ndio maana mtu wa Imani ni mtu wa action.faitj without action Is a deadfaith.
Sasa kama wewe ni masikini halafu mnamdanganya kuwa we ni tajiri huoni kwamba hiyo ni dhambi?
Ibrahimu hakuamini atarudi na mtoto wake kwasababu lilikuwa ni agizo LA Mungu na hakujua kama hill no jaribio amepewa
Ukisema aliamini atarudi na Issack maana yake alijua exactly kuwa anaenda kujaribiwa
Na Abraham akishajua kuwa hili ni jaribio maana yake hiyo inakuwa ni cheating amefanya na majibu yanayopatikana hapo hayawezi kuwa sahihi
Na Mungu angejua kuwa huyu Abraham amekwishajua lengo la yeye sio kumuamuru amchinje mwanae basi agizo hilo lisingetumika kama kipimo cha imani