mbwe
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 1,174
- 2,912
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daah wabongo ukiwambia pesa tu huwaon sijui kwann tunapenda Sana vitongaSpd ya comment imepungua mara baada ya wadau kuona 0676405024..... .... Wakuu vipi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daah wabongo ukiwambia pesa tu huwaon sijui kwann tunapenda Sana vitongaSpd ya comment imepungua mara baada ya wadau kuona 0676405024..... .... Wakuu vipi tena
Au wenzetu wapo misibani nn!! Mbona sio kawaida![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daah wabongo ukiwambia pesa tu huwaon sijui kwann tunapenda Sana vitonga
Wa 🇹🇿🇹🇿 mkuuMh
Mh! Khumbu gani huyu?😐
Yangu ni hapo hapo msibani hapo kwenye French kiss tu hapo yaani hapo tu ebu ngoja nitaendelea kukumbuka nyinginehahahahahahha ujue sometimes hamasa zinasababisha utende kitu.....kuliwa msibani kiukweli nimehamisika mno
my best part story nzima......and you best yako ni ipi??
But still ni mayor... Haileti sense. Kabisa. Yaani mayor wa jiji la Durban akawe na chokoraa asiweza hata kujinunulia breakfast ya mama mtilie. Yaani mayor ana share dem na wauza mitumba? Yaani kibongo bongo ni mayor wa Dar ana share dem na wauza mitumba wa karume. Huku kapaki v8 lake. Kwanza huyo mayor anakutana wapi na kidemu kama hicho. Mayor wa jiji la Durban sio mchezo wandugu... Anyway watanzania tumezoea kudanganywa. Its ok
Kuna mambo mengi yanafanyika humo ndani,
1. Full body massage
2. Bj deep throat
3. Gf Experience
4.Greek
5.mistress
6.teasing
Yapo mengi tu yanafanyika humo ndani
Hayo nimachache
Nani aliliwaHahhaa yaani wewe bila kuliwa msibani usingechanga
Mkuu niliyemjibu ameelewaNani aliliwa
Kuna demu mmoja singida alinifanyia ujinga huo. Nilimpa hela sh 90,000 kuwa akaanzie biadhara kumbe yeye njama yake ni kurudi kwa jamaa yake. Alirudi ,ila nikamwambia hela yangu itarudi kwa njia yoyote
Safi sanaJamani michango ya bundle iendelee kwa konda msafi
Wabongo bhana..Stori imevutwa vutwa sana, chenga chenga nyingi, sababu kila uchwao, mashart lukuki na sasa hata ile ladha yake hakuna tena, msema ukweli mpenz wa Mungu.
Kwa sasa ungeachia hapa tu iishie hapo ilipoishia lakin haya ya kuomba bundle sijui watu wachangie hela kujishushia credibility,
Wabongo nuksi. Haijaulikana hata wanataka nini?Wabongo bhana..
Hampendi kuambiwa ukweli,Wabongo bhana..