Choddi
Member
- Jul 27, 2018
- 94
- 188
Asante kuna watu wana washwa sana[emoji1787][emoji28][emoji28]kwani amelazimishwa kusomaHivi kwani mlilazimishwa? We tulia zako kimya subiri a post usome upite vile. Sasa hapa mnataka kufanya mambo yawe mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kuna watu wana washwa sana[emoji1787][emoji28][emoji28]kwani amelazimishwa kusomaHivi kwani mlilazimishwa? We tulia zako kimya subiri a post usome upite vile. Sasa hapa mnataka kufanya mambo yawe mengi
Na wewe kilichokuua nini mama konda msafi😅Mambo vipi...
Naona wote maskini ,mtoa mada na wachangia mada.
Ndo mana nilimpiga chini konda msafi sababu ni fukara wa kutupwa, mpenda mteremko na ana mawazo ya kimaskini.
Sasa story hata haijafika kati kashaanza omba omba hela za bando.
Ooh mara itatokea jina la kampuni.
Kama bando si watu wamemchangia hao watatu....ana japo 5000.
Kwa nn asinunue bando la mwezi......
Umaskini huu utamuuaaa
NAONA MODERATORS WAANGILIE KATI SASA
PALE MTU ANAPOLETA UZI YEYE MWENYEWE
ALAFU ANAANZA PIGO ZA KUCHANGISHANA SIJUI HELA YA BANDO...
JF SIO SEHEMU YA KUENDESHA MICHANGO...
KESHO NA KESHO ATAKUJA MWINGINE HIO NDO ITAKUA NDO DESTURI HATA KWA STORY ZA UONGO NA KWELI
@jf moderator
Uzuri ni kwamba hakuna anayelazimishwa kuchangiaNAONA MODERATORS WAANGILIE KATI SASA
PALE MTU ANAPOLETA UZI YEYE MWENYEWE
ALAFU ANAANZA PIGO ZA KUCHANGISHANA SIJUI HELA YA BANDO...
JF SIO SEHEMU YA KUENDESHA MICHANGO...
KESHO NA KESHO ATAKUJA MWINGINE HIO NDO ITAKUA NDO DESTURI HATA KWA STORY ZA UONGO NA KWELI
@jf moderator
Lkn hujashikiwa nyundo utoe....ulikuwa na uwezo wa kupiga kimya na ku sign out kwa uzi huu..... Wanaotaka wangejua cha kufanya.NAONA MODERATORS WAANGILIE KATI SASA
PALE MTU ANAPOLETA UZI YEYE MWENYEWE
ALAFU ANAANZA PIGO ZA KUCHANGISHANA SIJUI HELA YA BANDO...
JF SIO SEHEMU YA KUENDESHA MICHANGO...
KESHO NA KESHO ATAKUJA MWINGINE HIO NDO ITAKUA NDO DESTURI HATA KWA STORY ZA UONGO NA KWELI
@jf moderator
yes why notAaah upite na inbox kwangu
Achana na watu wajinga mwenyewe nastori Kali sana Ila kulingana na ustaarabu mbovu wa watu sintaweza kuileta hapa pia ukwel ni mvivu sana wa kuandika naweza kukorofishana na watu wote humuHabari wakuu? Hii stori nitaimalizia japo kuna baadhi ya watu ustaarabu kwao ni zero. Kuandika stori ndefu kama hii natumia muda wakuu. Kama nilivyosema tokea awali sikutegemee kama ningetumia muda mrefu kuimaliza, nadhani nilikuwa nimei-underestmate. Anyway mniwie radhi, nitaimalizia. Nina majukumu pia jamani. Ila wabongo mbona mnakuwa hivi? Kuna watu nimesoma comments zao kama una roho nyepesi unaachana na stori yenyewe.
daaaam! nimerud kusoma upya....sisi wenye tukuyu kiss inabd tujifunze french aisee....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]part ingine alivyoenda gheto kwa msela akakuta wameharibu dirisha jamaaa alikua anahofu khumbu atamaind ila kinyume na matarajio khumbu wala haku worryYangu ni hapo hapo msibani hapo kwenye French kiss tu hapo yaani hapo tu ebu ngoja nitaendelea kukumbuka nyingine
Biafra. NH jirani kabisa na green bar. Zamani yego store. Si unaona palivo patamKamunyonge shehemu gani mkuu
kabisa yaani hayo makabila nayajua kiundani si kawaida hata nahisi uchawi kila nikiwaona japo hawaja nitenda.Mkuu umetaja hadi kabila langu ngoja basi niombe undugu wa hiyari kwa konda msafi
Aaaah! Jk yule Mtoto wa chief yule baraka za uongozi zimo tele. Lkn huyu ni mtoto wa mchawi duuu! Hafai nchi imeharibika hapa natafuta chimbo kali ni km ametumwa na shetaniAlirudi enzi ya JK...
Ingekuwa enzi ya JIWE thubutuuu...
Shikishwa ukuta[emoji1]Watoto wa kike kuanzia 16yrs hadi 23yrs ni noma sana!Katikati ya msiba wa bibi yake mpendwa anashika ukuta![emoji124][emoji124][emoji124]
Hizi Ni njaaa....WAIMBA MAPAMBIO NI WENGI MAANA MNAJIANDAA KUTUNGA STORY ZENU MJE MCHANGIWE HELA YA BANDO[emoji625]Lkn hujashikiwa nyundo utoe....ulikuwa na uwezo wa kupiga kimya na ku sign out kwa uzi huu..... Wanaotaka wangejua cha kufanya.
Mwaka gani??Hayo mambo yalianza kitambo sana hata wewe haujaingia JF, huko kitambo sana na hao moderator walitua kuna mtu anaitwa lara 1 sijui yuko wapi dada wa watu yule.
😂😂😂😂Mambo vipi...
Naona wote maskini ,mtoa mada na wachangia mada.
Ndo mana nilimpiga chini konda msafi sababu ni fukara wa kutupwa, mpenda mteremko na ana mawazo ya kimaskini.
Sasa story hata haijafika kati kashaanza omba omba hela za bando.
Ooh mara itatokea jina la kampuni.
Kama bando si watu wamemchangia hao watatu....ana japo 5000.
Kwa nn asinunue bando la mwezi......
Umaskini huu utamuuaaa