Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Khumbu hana wowowo ndogo namna hiiKhumbu huyo hapo
View attachment 1699940
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khumbu hana wowowo ndogo namna hiiKhumbu huyo hapo
View attachment 1699940
😀😀😀😀Khumbu hana wowowo ndogo namna hii
Kama ni chombo ya Maphorisa, ana udogo gani ??Haka hakapo kwenye tamthilia yoyote..chombo ya maphorisa hiyo..na kamekua maarufu sababu ya mapho na kana endorsement kibao..katoto kadogo kanakula mema
😂😂😂😂 Kadogo bwana..kubeba mapho ni matokeo tuKama ni chombo ya Maphorisa, ana udogo gani ??
Kwa Kubeba mjeba kama Maphorisa hakuna mtoto hapo 🤣
Aisee..hatariiSema South kuna 'Ngwengwe" hatari.
Watu wanaishi kwa Njugu tu.
Acha undezi! Konda rusha vitu ikiwezekana tulipishepicha ikitupiwa humu,lazima wabongo watoe kasoro sana.
watakueleza mbona demu wa kawaida sana.
kuna mapimbi hayajui kutofautisha picha za Photoshop na zile za kupiga kawaida
kuna mademu n pisi kali sana,lakini ukimpga picha ya kawaida anaonekana wa kawaida
nakushauri konda msafi,usitupie picha,tuache tuendelee kutengeneza picha zetu vichwani,ndo tunaupata utamu wa khumbu
Duh!!Chombo kama iyo bila kuzibua mbolea uongo
Huyu kumbu lazima tumfungulie kesi maana sio kwa kumtesa ndugu yetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yarabi roho yanguuuu!View attachment 1699932
konda msafi khumbu wako si Kama huyo ..19yrs old
Mkaruka na wengine tusindikize Uzi na mfanano wa khumbu
Fuatilia kwa ukaribu mkuu utapata mubashara kabisa. Matukio nimeyapanga hatua kwa hatua kulingana na mtiririko wa siku.Lakini bwana konda hicho chumba si ulikihama ukapata nyumba nyingine baada ya kwenda shule?